Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

Hata mm huwa namuona jaji mkuu kama mwenye upeo mzuri, lakin hataki katiba mpya.... Mtu wa fani ya sheria ndiye a natakiwa awe rais kwa sasa
 

Atakataa hakuwa Msaidizi namba moja wa JPM kwa mujibu wa Sheria ambayo ndiyo CAG aliyoitumia? Aukatae basi na Urais kama mambo ni rahisi kiasi hicho.
 
Mzee wetu, Babu yetu wa Taifa, hakika ni Hazina kubwa kwa Taifa letu.
Mungu aendelee kumtunza.

Kuwepo kwake tu billa hata kuongea ni nguvu tosha kwa Rais wetu Mama Samia pia tunamuombea Mungu amlinde na kila aina ya maaduni.
 

Jiwe aliingilia mihimili yote hata mahakama; Mpaka akawa anateua majaji kwenye mikutano ya hadhara!! Jaji Mkuu yuko kimyaaa huku akijua utaratibu ulikuwa unavunjwa! Hiyo sio sifa nzuri ya kiongozi.
 

Mahakama za yule wa tuhuma za mauji ya Kanumba ndio zilikuwa zikitoa haki. Kumbafu mkubwa.
 

Mzee Ruksa katumika kama njia tu wengine wanafuata. Na watakuwa wamemlisha maneno ya kuongea. Kaanza vizuri kwa kuruhusu uzalilishwaji wa mwendazake?

Na waweke video clip tumsikie akiongea akiongea kama yule Waziri mrembo mjumbe wa Mwigae Kenyatta.
 
Hata mm huwa namuona jaji mkuu kama mwenye upeo mzuri, lakin hataki katiba mpya.... Mtu wa fani ya sheria ndiye a natakiwa awe rais kwa sasa

Jaji mkuu nduye asiyetaka katiba mpya? Mimi na fikiri ni yule asiyetaka miguvu na na mibavu kwenye kodi. Ila katiba mpya miguvu na mibavu itumike kuikalia. Bahati mbaya nimesahau kwa kilugha tabia ya aina hii huitwaje?
 
Jiwe aliingilia mihimili yote hata mahakama; Mpaka akawa anateua majaji kwenye mikutano ya hadhara!! Jaji Mkuu yuko kimyaaa huku akijua utaratibu ulikuwa unavunjwa! Hiyo sio sifa nzuri ya kiongozi.

Ukiteuliwa kwenye mkutano wa hadhara inamaanisha mchakato haukufuatwa? Hebu taja majaji walioko ambao hawana sifa za kuwa majaji. Hiki cheo na fikiri vigezo vyake ni international inclusive sio lokali tu.
 
Ngojea nione atachukua muda gani kukutana na mkwere (mshua ake riziwani)
 
Ukiteuliwa kwenye mkutano wa hadhara inamaanisha mchakato haukufuatwa? Hebu taja majaji walioko ambao hawana sifa za kuwa majaji. Hiki cheo na fikiri vigezo vyake ni international inclusive sio lokali tu.
Huyo Jaji aliepandishwa cheo kwenda mahakama ya Rufaa kwa kuandika judgement kwa Kiswahili; je huo Ndio utaratibu wa kupandishwa cheo katika mahakama? Sio siri kuwa kuna mahakimu [ wanajulikana] walipandishwa vyeo kwa kutoa hukumu kandamizi dhidi ya wapinzani wa ccm!
 
Hiyo taarifa ya Msigwa inachanganya , letter head inasema ikulu chamwino dodoma ,

Yeye kasaini Ikulu Dar es salaam.

Kwanini asitumie tu ile letter head ya ikulu inayoonesha , Barack Obama Road, DSM?? Tujue moja?
 

Waliangalia kigezo hicho tu cha kuandika hukumu kwa kiswahili. Acha ujanja ujanja kama wa Spika Ndugai. Leo amnajidai itangazwe tender wakati aliwapigia chapuo Wachina kwa presentation yao. Contradiction baada ya contradiction nyengine. Ooh sijui wa Oman wanajenga bandari Zanzibar sasa si jambo la manufaa na afya hilo. Hakuna Mtanganyika anayetaka kulipa kodi yake halafu ikatumike kumnunulia Mzanzibari umeme, hakuna.

Kwa hatua hii nampongeza Mh Rais Mwinyi Jr. Makontena ya Malawi ,Congo yakifika bandarini Zanzabar bado yatahitaji kutumia miundo mbinu ya Tanganyika kufika final destinations zake. Kwa nini mwenye akili asimsupport Mh Rais Mwinyi jr kwa ubunifu huu ?
 

Majibu yako hayaendani na nilichoandika kuhusu uhuru wa mahakama kuingiliwa!! Rais Mwinyi anakujaje hapo?
 
Majibu yako hayaendani na nilichoandika kuhusu uhuru wa mahakama kuingiliwa!! Rais Mwinyi anakujaje hapo?

Watanganyika wangekuwa na masharti kama ya Wachina ZESCO ingekuwa ni mali ya TANESCO sasa.
 
Unasema uongo mpaka unajidanganya mwenyewe! Hebu ongeza sauti kidogo...Ndugai alisababisha makonda akatimuliwa kazi? Are you serious?

Iko hivi, Ndugai kusema Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni lugha ya staha tu kwa mwendazake. Angetaka kuweka ukweli wote hadharani angesema Magufuli alikuwa hashauriki lakini alichagua maneno ya kumstahi mwendazake.

Ndiyo! Magufuli alikuwa hashauriki. Na tatizo lake kubwa alikuwa anapenda kujua kila kitu.Matokeo yake hakujua,aliishia kuwa mjuaji tu.
Mfano mzuri ni lugha. Magufuli alikuwa anaweza kuongea lugha nyingi mno juujuu tu! Kwa undani,hakuna lugha aliyokuwa anaimudu. Siyo kisukuma,kiswahili wala kiingereza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…