Rais Samia Suluhu Hassan: Alama ya mwisho ya anguko la Utawala wa CCM, Tanzania

Very weak Governance and power of transitional politics. But good to remain with current eyesight you have. You need to synthesis your political transition analysis for it to show the way forward.
 
Huna hoja Ila una mkusanyiko wa maneno tu uliyoyaweka pamoja.
 
Sasa Tanganyika inatawaliwa na Zanzibar, yote hayo yamesababishwa na katiba dhaifu iliyoandaliwa na CCM yenyewe kulinda maslahi yao
 
Wazee ndiyo mizizi ya ccm.




Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Wrong premise. CCM haitegemei kueleweka na wananchi; inasimikwa madarakani na vyombo vya dola na taasisi zake, period. Ushindi wa CCM kwenye uchaguzi huamuliwa na mwenyekiti wa chama hicho. CCM ina uwezo hata wa kulipanga Bunge inavyotaka kama ilivyofanya Oktoba 2020 kwa kuogopa nguvu kubwa ya upinzani kisiasa.

Right kuhusu mgogoro ndani ya chama lakini wrong again kulinganisha enzi za Lowassa/Membe na za Magufuli/SSH. Magufuli alifanya MAMBO huko ccm. Alipindua status quo na kujenga himaya yake binafsi inayotisha sana. Tunaona dhahiri jinsi SSH anavyojitahidi “kunyata” katika mwendo wake kuepuka kutibua “legacy” ya mwendazake huku akijenga taswira ya “kurekebisha mambo”.

Hivyo, tumaini kuu la CCM dhidi ya “unabii” wa mleta mada ni kuhakikisha kelele za legacy ya JPM zinazimika mapema na mizigo mizito aliyolitwisha taifa inatuliwa mapema bila kuzidi kuumiza system na wananchi. Real mkingamo. Yetu macho.
 
CCM hii haina tofauti na Bokoharam, CCM hii ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 
CCM hii haina tofauti na Bokoharam, CCM hii ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.View attachment 1843097
Nasikia pia huwa wanawakamata na kuwaminya kwa pliers makende ya wapinzani wao, yaani hii ccm ni sawa na wale ma NAZI wa ujerumani walioangukia pua enzi zile, nabii kesha tabiri kuwa huwa mama ndiye rais wa mwisho kutoka CCM [emoji3][emoji3]
 
kama shetani alianguka itakuwa ccm? Uongo haujawahi kuushinda ukweli hata mara moja!
Kijana naomba nikusaidie ili kesho yako iwe ya mwanga na pia ujue unapigana na nani kisiasa.
Hii itakusaidia huenda michango yako inayofuata ikiwa ya kielimu ni sio ushabiki maandazi.

CCM IMEKAA KIVIPI .
Baada ya 2015 chama wamekigeuza kuwa National movement na siyo Chama.
CCM = Serikali kuu, Serikali za Mitaaa, Vyombo vyote vya Usalama, Jamii yote ya kipato vha Chini, wakulima, wachimba madini na sector zote za nchi za kiuchumi , kisiasa na kiutawala.

Eneo pekee ambalo hawajalishika ni wafanyabiasha na kwa hili 45% wako upande wao.

Wanachokitaka na wamejaribu na wanaelekea kufanikiwa ni kufanya CCM iwe NATIONAL CONSCIENTE

(A national consciousness is a shared sense of national identity and a shared understanding that a people group shares a common ethnic/linguistic/cultural/ economic/education background.
a rise in national consciousness has been the first step towards the creation of a nation)

ukiipinga CCM unatikisa sukari kwenye kikombe chá chai, kwa hiyo inazidi CCM kunoga.

Na hii ndio maana naamini viongozi wa sasa hivi wa vyama vya upinzani vyote hawana uwezo wanaodai wanao kufanya mabadiliko.

Mwanachama wa chama cha upinzani yupo kwa kuiimarisha CCM na aliyepo CCM yupo kwa kuimarisha CCM.

Inatakiwa muda mrefu nikuchambulie michango mitatu au minne ili uweze kuelewa vizuri.
Ndio maana vijana wa upinzani wanachanganywa CCM na vijana wa CCM wanaendelea kuwa CCM.

Hii ni operation ni ya miaka 25 , ambayo ni generation moja. Baada ya hapo ama upinzani au CCM vyote vita fanana tuu na upinzani hautokuwa tishio kwa CCM na vile vile CCM háito kuwa kikwazo kwa upinzani. wote CCM na Upinzani watakuwa wanacheza, wanapika na kula sahani moja..
 
Kwa hiyo mkuu unaamini kabisa aliyekuwa anaizamisha CCM ni JPM na ndio ilikuwa inaelekea kufa ?

Nope. Maana takwimu tu zinakataa. Kipindi cha JPM wapinzani wamepungua na upinzani ulipoa kabisa. Ushahidi ni bunge la sasa.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo mkuu unaamini kabisa aliyekuwa anaizamisha CCM ni JPM na ndio ilikuwa inaelekea kufa ?

Nope. Maana takwimu tu zinakataa. Kipindi cha JPM wapinzani wamepungua na upinzani ulipoa kabisa. Ushahidi ni bunge la sasa.
Hizo takwimu zako ni figisu figisu Za vyombo vya dola. Tuliona mabegi badala kubeba nguo yakibeba kura feki
 
Kufa CCM siyo leo kama wapinzani wenyewe was hivyo, hoja matusi tu, mara tuandamane. WaTZ walishajifunza kwenye mataifa yanayofanya siasa za nguvunguvu wakaona matokeo yake hivyo hawawezi kujiingiza kwenye siasa za matusi na maneno makali.
 
Una mawazo mgando ndugu, ungejua kuwa kila lenye mwanzo halikosi mwisho usinge bwabwaja hapa na ushauri wako wa kisukuma.

Tulia bwashee hii vita ya kuiondoa CCM sio ya wapinzani bali ni vita ya Mungu mwenyewe ambaye alionyesha ubabe wake kwa kumwondoa huyo JPM wenu ambaye mlijitapa kuwa mtampa ridhaa awe rais wa milele shenzi nyie

Sasa huyo Mungu aliyemwondoa Magufuri atawaondoa mafala wote ccm wanaodhani kuwa utawala ni mali yao

Time will tell
 
Suluhisho ni majimbo mawili ya kiutawala ya Tanganyika na Zanzibar chini ya Rais mmoja wa Jamuhuri.Kila jimbo linakuwa na waziri mkuu wake au Gavana, bunge lake lenyewe, mfumo wa mahakama zake na mahakama kuu za Rufaa na Katiba za kitaifa.
Hii hoja KUNTU sana. Hongera kwa kuiona hili. Kuwa na nchi moja na Rais moja ndo suluhisho la kweli. Then Tanganyika ikawa na Gavana au PM na Zanzibar ikawa na Gavana au PM.
 
Mkuu matusi, kubagaza ndio mchango unaoweza kuutoa?. Mnnandika sana utumbo bila kufanya utafiti wa kuweza kufahamu tunaenda wapi.

China Urusi, Vietnam, Japan Singapore, Laos na nchi nyingi zingine zilizo kuwa za kijamaa zimebadilishwaje.

Mkubwa wewe huwezi ku-cross utabaki mpinzani na CCM watabaki kwao na hautokuwa na ukakasi. Wakati huo ukifika hautakuwa na maneno uliyo nayo leo.
 
CCM ingalikubalika Pemba kwa mtindo huo. Na kila uchaguzi inazidi kuuwa watu. Uchaguzi uliopita wamekodi askari wa Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…