Rais Samia Suluhu Hassan ampa onyo Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo

Rais Samia Suluhu Hassan ampa onyo Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo

Nimeshtushwa na tuhuma za rushwa za TAMISEMI, niliwahi kushauri na Sasa nashauri Mhe. Rais ajitenge na TAMISEMI amwachie Waziri Mkuu ili iwe raisi kwake kuimulika. Ikiwa chini yake ikatuhumiwa ametuhumiwa na nivigumu kumwajibisha maana baadhi ya nyaraka zao anakuwa kazipitisha yeye.

Wizi wizi wizi umekuwa mwiba kwa taasisi zetu, hakuna usafi inategemeana Nani yupo
waziri husika amepewa warning. akizembea zaid ya hapo kibarua bye bye
 
Jafo mbona alikuwa busy sana kukagua miradi mbali mbali iliyo kuwepo tamisemi ..binafsi nahisi shida ipo ktk halmashauri na tawala za mikoa husika
Pengine ukaguzi wa ndani unashida pia
Lakini binafsi naona bado Jaffo ana paswa awe na msaidizi mkali mwenye uzoefu zaidi kuliko wanaomsaidia sasa maa naTammisemi ni kubwa mnoooo. Pengine ipewe ma naibu mawaziri wawili
Ndio hayo aliyoambiwa sasa, Jafo anajifanya kukagua miradi kama kiini macho wakati huku nyuma ya pazia analinda upigaji mtupu.

Na kama hujui tu, zile ziara za kukagua miradi ndio mahali pa maafisa wa serikali kujilipa posho na masurufu mengine.

Rais amehoji, hiyo TAMISEMI imekuwa ikitaka tu kupewa pesa na serikali kuu lakini wao hawakusanyi pesa zao. Wanajipangia matumizi (posho, mishahara, miradi) wanavyotaka wao, wakati pesa sio za kwao na wala hawana uchungu nazo.
 
Nimesema,aliwadhihaki waliomtangulia kua nchi wameihalibu.
Matokeo yake yeye ndio kaihalibu zaidi.
Ila mungu nae hajawahi kuwaacha watanzania wanyonge wasiokua na hatia.
Ogopa sana kumuumiza na kumnyanyasa mtu masikini asie na hatia mungu hawezi kumuacha aendelee kunyanyaswa na kuzibwa mdomo pale anapodai haki yake.

Matokeo yake hata miaka 10 haikuisha nchi imehalibiwa kuliko vipindi vyote tangu kupata uhuru.
 
Ndio hayo aliyoambiwa sasa, Jafo anajifanya kukagua miradi kama kiini macho wakati huku nyuma ya pazia analinda upigaji mtupu.

Na kama hujui tu, zile ziara za kukagua miradi ndio mahali pa maafisa wa serikali kujilipa posho na masurufu mengine.

Rais amehoji, hiyo TAMISEMI imekuwa ikitaka tu kupewa pesa na serikali kuu lakini wao hawakusanyi pesa zao. Wanajipangia matumizi (posho, mishahara, miradi) wanavyotaka wao, wakati pesa sio za kwao na wala hawana uchungu nazo

Ni kweli hata wafanya kazi ambao wapo chini ya Tamisemi wana lalamika sana mfano kada ya afya mtumiwhi wa ngazi ya chini let say nurse huwa wana lalamika sana kucheleweshea malipo yao mbalimbaali mfano overtime, hata mstaafu ambae alikuwa chini ya Tamisemi mambo yao yana chelwweshwa sanaaa urasimu mwingi wakurugenzi + DMO yaan ni kama Mungu watu vilio ni vikubwa hakuna kuoandishwa cheo.
Kwa kweli Jaffo ateremke tu
 
Kwanini TAMISEMI isikatwe kikanda.. iwe na waziri na manaibu waziri sita. NAIBU WAZIRI TAMISEMI 1)lake zone, 2)central zone, 3)northern zone, 4)coast zone, 5)southern highlands zone na 6)west Tanzania zone.

Hawa manaibu wawe specific kwa maeneo hayo sawa sawa na Manaibu Katibu wakuu wao. Labda itasaidia
 
Ndio hayo aliyoambiwa sasa, Jafo anajifanya kukagua miradi kama kiini macho wakati huku nyuma ya pazia analinda upigaji mtupu.

Na kama hujui tu, zile ziara za kukagua miradi ndio mahali pa maafisa wa serikali kujilipa posho na masurufu mengine.

Rais amehoji, hiyo TAMISEMI imekuwa ikitaka tu kupewa pesa na serikali kuu lakini wao hawakusanyi pesa zao. Wanajipangia matumizi (posho, mishahara, miradi) wanavyotaka wao, wakati pesa sio za kwao na wala hawana uchungu nazo.
Uendeshwaji huu wa Serikali za mitaa ni wahovyo.. wao badala ya kukaa na kuhudumia wananchi ili wajitoe kulipa kodi kikamilifu.. wanangojea bajeti wakae waanza kuzitumbua..

Katika kumi ni wawili utakuta kweli wana uchungu wa kuleta mabadiliko.. wengine business as usual nimepata kazi nilipwe mshahara.. hakuna drive.. na wakipelekeshwa for a week lawama hakuna mfano.

Huko kwenye kazi za serikali walitakiwa waende wenye nia kweli na wito.. sio watuna matumbo tu.. na kuning'iniza funguo. Wakiajiriwa tu wanaona ulaji..sio kazi..

Kwenye cv utumishi wangekuwa wanaomba na work plan.. ili waone kama hawa watumishi wako in tune na mazingira yao ya kazi au changamoto za wanaoenda kuwahudumia.. labda itasaidia
 
Mswahili alijikita kwenye kusifia tu, Mwigulu, Kabudi, Jafo, Ndalichako na Mkumbo hafai kabisa kuwa viongozi hata kwa dak 1
Mama akitaka kufanya makubwa na kuiendeleza hii nchi..afanye yafuatayo.
  • aunde baraza jipya haraka..
  • sheria za utumishi wa uma na maadili zizingatiwe bila kuoneana soni..
-afanye marekebisho ya katiba haraka..
- Awakataze wasaidizi wake kufanya kazi mbele ya kamera..wengi wanamdanganya na si watendaji bali wanajitafutia umaarufu.
-Amuongezee fungu Cag aweze kufika KILA shirika na taasisi..na ripoti yake ichukuluwe kwa uzito.
-asiwaone upinzani kama maadui bali wabia kwenye maendeleo ..wakiongea upuuzi wapotezee ..wakiongea point zichukue ziboreshe uzifabyie kazi.
-Umeshawahi kujiuliza ni kwa nn makampuni makubwa binafsi yapo KILA siku na yanatengeneza faida ila taasisi na mashirika ya serikali KILA siku hasara? Ni kwa sababu makampuni binafsi KILA mwajiriwa anapewa target..na lazima uzifikishe..utawezeshwa KILA kitu kazi kwako..na KILA quarter wanakufanyia review ya target zako..umezitekeleza vipi na umefika wapi..ni muda saaa serikali ina adopt mfumo wa haya makampuni utumike serikalini ..hii itapunguz mazoea na uzembe kazini..ukijua fika usipopiga kazi na ukizembea unapigwa chini
 
Mama akitaka kufanya makubwa na kuiendeleza hii nchi..afanye yafuatayo.
  • aunde baraza jipya haraka..
  • sheria za utumishi wa uma na maadili zizingatiwe bila kuoneana soni..
-afanye marekebisho ya katiba haraka..
- Awakataze wasaidizi wake kufanya kazi mbele ya kamera..wengi wanamdanganya na si watendaji bali wanajitafutia umaarufu.
-Amuongezee fungu Cag aweze kufika KILA shirika na taasisi..na ripoti yake ichukuluwe kwa uzito.
-asiwaone upinzani kama maadui bali wabia kwenye maendeleo ..wakiongea upuuzi wapotezee ..wakiongea point zichukue ziboreshe uzifabyie kazi.
-Umeshawahi kujiuliza ni kwa nn makampuni makubwa binafsi yapo KILA siku na yanatengeneza faida ila taasisi na mashirika ya serikali KILA siku hasara? Ni kwa sababu makampuni binafsi KILA mwajiriwa anapewa target..na lazima uzifikishe..utawezeshwa KILA kitu kazi kwako..na KILA quarter wanakufanyia review ya target zako..umezitekeleza vipi na umefika wapi..ni muda saaa serikali ina adopt mfumo wa haya makampuni utumike serikalini ..hii itapunguz mazoea na uzembe kazini..ukijua fika usipopiga kazi na ukizembea unapigwa chini
Ataanza kusifia na atasahau yote
 
Kakini pia huyu Jaffo ana nini cha mno mpaka aendelee kupewa maonyo kila siku juu ya utendaji wake na usimamizi wa mali za umma?
Katika hili Jaffo unatakiwa utumie hekima na busara kuiacha TAMISEMI, kiuhalisia wizara hii kubwa imekushinda
Labda anashindwa kugawa muda wake maana tuliambiwa ana bibi wadogo kadhaa
 
Jafo mbona alikuwa busy sana kukagua miradi mbali mbali iliyo kuwepo tamisemi ..binafsi nahisi shida ipo ktk halmashauri na tawala za mikoa husika
Pengine ukaguzi wa ndani unashida pia
Lakini binafsi naona bado Jaffo ana paswa awe na msaidizi mkali mwenye uzoefu zaidi kuliko wanaomsaidia sasa maa naTammisemi ni kubwa mnoooo. Pengine ipewe ma naibu mawaziri wawili
Kwani sasa hivi ina Manaibu wangapi? Ni kwamba kazi hajui tu yeye pamoja na timu yake.
 
Wa ukae ajikite kwenye fani yake ya nyungu tu uwaziri unaanza kumkataa kuonywa mara mbili hadharani na mkuu wa nchi ni dalili mbaya kabisa
 
Shida haipo kwa Jafo bali shida ipo kwa wakurugenzi na pia Tamisemi ni wizara ngumu ndo maana akawekwa kijana(Jafo) ili aweze kuimudu.
Upo sahihi kiongozi, Waziri Jafo sio mteuaji wala mwajibishaji wa watendaji wakuu wa Halmashauri (Wakurugenzi) na pia yawezekana mifumo ya uendeshaji wa halmashauri sio rafiki sana katika kudhibiti mambo yasiyoendana na matakwa ya serikali
 
Mh. Rais amesema Wizara ya Tamisemi ina matumizi ya ovyo ya pesa za Serikali, yenyewe haikusanyi ni mwendo wa matumizi kwa kwenda mbele hivyo kamwagiza Waziri Jafo afuatilie vizuri matumizi ya wizara yake na kama akishindwa Basi asaidiwe(atumbuliwe)


Ushauri.

Mh Seleman Jafo jipange; Halmashauri, Hospitali,miradi ya ujenzi wa shule n.k hela zinapigwa sana, vituo vya afya EFD mashine hazitumiki vilivyo. Fuatilia Mama Samia hatakuhurumia atakutumbua shauri yako.

Hivi hata Jafo akitumbuliwa ni nani atakayeweza kufit hiyo wizara?
Naona maccm wote damu zao zinafanana tu!
 
Ila wanzanzibar wana maneno matamu sana "Eti kama umeshindwa tuambie tukusaidie" utadhani ni komplimenti kumbe...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom