chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
huwa nakereka sana na watu msioweza kujua matumizi ya herufi"h"
Anyway, kujiuzuru ni rahisi kuizungumza, hata hivyo watajiuzuru wangapi?
Na wewe ni walewale tu, sasa kujiuzuru ni kitu gani na wewe?