Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Jaffo ni hardworking kila mtu anaona anasukuma kazi ziishe. Yaani yeye mama Samia akishirikiana na marehemu wateue wakurugenzi, wakuu wa wilaya na wasimamizi wengi huko TAMISEMI ambao ni unqualified kwenye supervision roles halafu utegemee wajuzi wasione hizo weaknesses kupiga.
Watu wakishafanya yao baada ya kuwapelekea amateurs who are easy to deceive lawama apewe Jaffo.
Madiwani wakijitungia by-laws za ajabu ajabu sijui kutoza kodi michango ya harusi na wakurugenzi wasione tatizo lawama apewe.
Jaffo can’t be everywhere at once either akague miradi au abaki ofisini anasoma makarabasha ya halmashauri na by-laws zinazopendekezwa huko kila siku.
Kibaya zaidi zigo lote anatupiwa Jaffo wakati ana katibu mkuu wa wizara ambae hayupo pale on merit na wala hana elimu yoyote ya public management ni engineer tu by trade. Kwa ivyo common sense says Jaffo has to fight all the battles alone.
Kwa Jaffo wanamuonea kwa matatizo waliyotengeneza raisi na mtangulizi wake.
Jaffo ni hardworking kila mtu anaona anasukuma kazi ziishe. Yaani yeye mama Samia akishirikiana na marehemu wateue wakurugenzi, wakuu wa wilaya na wasimamizi wengi huko TAMISEMI ambao ni unqualified kwenye supervision roles halafu utegemee wajuzi wasione hizo weaknesses kupiga.
Watu wakishafanya yao baada ya kuwapelekea amateurs who are easy to deceive lawama apewe Jaffo.
Madiwani wakijitungia by-laws za ajabu ajabu sijui kutoza kodi michango ya harusi na wakurugenzi wasione tatizo lawama apewe.
Jaffo can’t be everywhere at once either akague miradi au abaki ofisini anasoma makarabasha ya halmashauri na by-laws zinazopendekezwa huko kila siku.
Kibaya zaidi zigo lote anatupiwa Jaffo wakati ana katibu mkuu wa wizara ambae hayupo pale on merit na wala hana elimu yoyote ya public management ni engineer tu by trade. Kwa ivyo common sense says Jaffo has to fight all the battles alone.
Kwa Jaffo wanamuonea kwa matatizo waliyotengeneza raisi na mtangulizi wake.