huwa nakereka sana na watu msioweza kujua matumizi ya herufi"h"
Anyway, kujiuzuru ni rahisi kuizungumza, hata hivyo watajiuzuru wangapi?
Ndio maana nimependekeza ma naibu wake wawe wenye uzoefu na wakali zaidi kuliko waliopo sasaKwani sasa hivi ina Manaibu wangapi? Ni kwamba kazi hajui tu yeye pamoja na timu yake.
KujiuzuluPunguza speed ili uandike kitu chenye "CONTENT" Makosa ya kiuandishi yanaweza kuondoa credibility yako!!
"Anahonywa" sijui kiswahili gani hiki, huwa nakereka sana na watu msioweza kujua matumizi ya herufi"h"
Anyway, kujiuzuru ni rahisi kuizungumza, hata hivyo watajiuzuru wangapi? Kwakuwa amepewa nafasi nyingine ya yeye kufuatilia agizo hilo, tusubiri utekelezaji wake kisha tutahoji nafasi yake ya uwaziri!!
Ahsante!
Aisee ni kweli Tamisemi ni wizara iliyo sheheni mambo mengi na miradi na programu nyingi napendekeza baadhi ya miradi na programu zitolewe Tamisemi ziwe serikali kuuUpo sahihi kiongozi, Waziri Jafo sio mteuaji wala mwajibishaji wa watendaji wakuu wa Halmashauri (Wakurugenzi) na pia yawezekana mifumo ya uendeshaji wa halmashauri sio rafiki sana katika kudhibiti mambo yasiyoendana na matakwa ya serikali
Mbona huyu jaffo wamemuacha kwenye huo uwaziri muda mrefu kiasi hiki?Mh. Rais amesema Wizara ya Tamisemi ina matumizi ya ovyo ya pesa za Serikali, yenyewe haikusanyi ni mwendo wa matumizi kwa kwenda mbele hivyo kamwagiza Waziri Jafo afuatilie vizuri matumizi ya wizara yake na kama akishindwa Basi asaidiwe(atumbuliwe)
Ushauri.
Mh Seleman Jafo jipange; Halmashauri, Hospitali,miradi ya ujenzi wa shule n.k hela zinapigwa sana, vituo vya afya EFD mashine hazitumiki vilivyo. Fuatilia Mama Samia hatakuhurumia atakutumbua shauri yako.
Mtaalamu wa nyungu. Na masifa. Yaani alikuwa akimsifu hayati utadhani yeye ni wa kike.Mh. Rais amesema Wizara ya Tamisemi ina matumizi ya ovyo ya pesa za Serikali, yenyewe haikusanyi ni mwendo wa matumizi kwa kwenda mbele hivyo kamwagiza Waziri Jafo afuatilie vizuri matumizi ya wizara yake na kama akishindwa Basi asaidiwe(atumbuliwe)
Ushauri.
Mh Seleman Jafo jipange; Halmashauri, Hospitali,miradi ya ujenzi wa shule n.k hela zinapigwa sana, vituo vya afya EFD mashine hazitumiki vilivyo. Fuatilia Mama Samia hatakuhurumia atakutumbua shauri yako.
The wizara is just too big for him. Am not sure of his qualifications. Too me he looks like a bogan - au muswahili who cares less. I cannot believe he was not sacked today JPM warned him. I think he doesn’t know where to start, the department is just too big. Mashule, hospital, councils- where can he start. Possibly also he has por management so he get very bad ushauri.Hii ni mara ya pili huyu waziri wa TAMISEMI anahonywa mbele ya hadhara kwamba abadilike katika utendaji wake
Kwa kauli ya leo kutoka kwa Rais Samia Suluhu, Jaffo anatakiwa kujizuru nyazifa zake
Kakini pia huyu Jaffo ana nini cha mno mpaka aendelee kupewa maonyo kila siku juu ya utendaji wake na usimamizi wa mali za umma?
Katika hili Jaffo unatakiwa utumie hekima na busara kuiacha TAMISEMI, kiuhalisia wizara hii kubwa imekushinda
Tanzania hata umlete Biden hata yeye atakua mwizi tu. Hii iko kwenye damu yetuYaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi.
Hata kabla hajaoza kaburini anaonekana ni mwizi. Tulisema mapema tukaonekana wasaliti kiko wapi sasa.
Cha ajabu wala maboga wanajinadi mtaani kuwa kimetoka chuma kimeingia chuma.
Acha kwanza nitafakari hizi kauli labda uwezo wangu wa kuwaza unaanza kuchoka.
Waziri mkuu ndie ana leta giza hapa. Maana angekuwa na akili alitakiwa ajiuzulu ili Mh. Rais Samia aunde baraza lake. Sasa huyu kakaa tuu kama boga hajui ana mtesa Rais wetu. Majaliwa ana ogopa akijiuzulu hana tena nafasi. Sasa ata aibika zaidi pale Mh. Rais atakapo amua yeye kulivunja baraza. Maana hawezi kufanya kazi na watu ambao hawajala kiapo cha utii mbele yake.Hii ni mara ya pili huyu waziri wa TAMISEMI anahonywa mbele ya hadhara kwamba abadilike katika utendaji wake
Kwa kauli ya leo kutoka kwa Rais Samia Suluhu, Jaffo anatakiwa kujizuru nyazifa zake
Kakini pia huyu Jaffo ana nini cha mno mpaka aendelee kupewa maonyo kila siku juu ya utendaji wake na usimamizi wa mali za umma?
Katika hili Jaffo unatakiwa utumie hekima na busara kuiacha TAMISEMI, kiuhalisia wizara hii kubwa imekushinda
Raisi si ndio huyo katumbuliwa na MunguWanamuonea bure, tamisemi ipo chini ya Raisi ndio waziri wake.
Alikuwa 'busy' mno maigizo ya nyungu kama vile ni mganga wa kienyeji, ili kumkosha Marehemu.Kumbuka Jafo alikuwa naibu waziri baadae Magu akampandisha. Hiyo inaonesha Jafo ni muwajibikaji ila hawa wa chini ake ndo wanamwangusha.