Mhurumieni jafo Ana wizara 5, maana wake wanne ni wizara nne na tamisemi ya tano.Second warning
Unadhani wanasaccos mtapewa wizara kwa kuwaponda Wana CCM?Hivi hata Jafo akitumbuliwa ni nani atakayeweza kufit hiyo wizara?
Naona maccm wote damu zao zinafanana tu!
Kama cheo ndio kilimfanya aoe wake wanne ajiandae na maisha ya useja tuu sasaMhurumieni jafo Ana wizara 5, maana wake wanne ni wizara nne na tamisemi ya tano.
Kwahiyo akiondolewa uwaziri wote mtamkimbia? Aisee!Kama cheo ndio kilimfanya aoe wake wanne ajiandae na maisha ya useja tuu sasa
Cheo ni dhamana.... cheo ni koti la kuazima
Najua hana cha kuwafanya lakini hata kumwambia Boss aliyewateua napo alishindwa? Jaffo mna mkingia kifua tuu lakn niwambie hata kama atapewa miaka 100 kwenye hiyo wizara hakuna mabadiliko yoyote atakayofanya maana uwezo wake wa kufikiri na kutenda ndio umeishia hapo.Wewe unadhani waziri atawachukulia hatua gani maDED? Yeye sio mamlaka ya uteuzi au utenguzi wao, hiyo mamlaka anayo Rais. Jafo hawezi hata kuwaweka ndani siku moja mbili. Hiyo mamlaka wamepewa wakuu wa mikoa. Rejea alivyokuwa analalamika akiwa geita juu ya wale maafisa ardhi na mkurugenzi waliofanya madudu. Ni Mongela RC wa mwanza ndio alikuja kusema hiyo mamlaka yeye anayo na akawaweka ndani.yeye Jafo sana sana atakachoweza kufanya ni kuwabwekea tu na kuwashitaki kwa mamlaka iliyowateua, si zaidi ya hapo. lazima wamvimbie na kumpuuza.
Ana wakati mgumu sana!
Kumbuka Jafo alikuwa naibu waziri baadae Magu akampandisha. Hiyo inaonesha Jafo ni muwajibikaji ila hawa wa chini ake ndo wanamwangusha.
Umeongea kitu kizuri sana TAMISEMI irud kwa waziri mkuu ikuli ina mambo mengi sana ilijirundikia wakati wa bwana yule na yote hii ilikuwa sababu ya ubinafsiNimeshtushwa na tuhuma za rushwa za TAMISEMI, niliwahi kushauri na Sasa nashauri Mhe. Rais ajitenge na TAMISEMI amwachie Waziri Mkuu ili iwe raisi kwake kuimulika. Ikiwa chini yake ikatuhumiwa ametuhumiwa na nivigumu kumwajibisha maana baadhi ya nyaraka zao anakuwa kazipitisha yeye.
Wizi wizi wizi umekuwa mwiba kwa taasisi zetu, hakuna usafi inategemeana Nani yupo
TBA wenyewe nao ni walewale, shughuli za miradi mikubwa nao ni kizungumkuti...ni value for money.Miradi ya ujenzi wa majengo ya shule na afya kwa mfano kwa nini wasifanye TBA? Kitengo cha uhandisi kule kitoke kiende TBA
Uzee wako utakua wahovyo sana ,utashangaa anamiaka 50 mdomo kuuziba hawezi ,anazibwa wake wa 4,mchezo nakiuno hichohicho kimoja!!Mhurumieni jafo Ana wizara 5, maana wake wanne ni wizara nne na tamisemi ya tano.
Kwahiyo Jaffo ni naibu waziri?Wanamuonea bure, tamisemi ipo chini ya Raisi ndio waziri wake.
Nakuona mdau hongera kwa utetezUpo sahihi kiongozi, Waziri Jafo sio mteuaji wala mwajibishaji wa watendaji wakuu wa Halmashauri (Wakurugenzi) na pia yawezekana mifumo ya uendeshaji wa halmashauri sio rafiki sana katika kudhibiti mambo yasiyoendana na matakwa ya serikali
Kujiuzuru [emoji777][emoji777][emoji777]Punguza speed ili uandike kitu chenye "CONTENT" Makosa ya kiuandishi yanaweza kuondoa credibility yako!!
"Anahonywa" sijui kiswahili gani hiki, huwa nakereka sana na watu msioweza kujua matumizi ya herufi"h"
Anyway, kujiuzuru ni rahisi kuizungumza, hata hivyo watajiuzuru wangapi? Kwakuwa amepewa nafasi nyingine ya yeye kufuatilia agizo hilo, tusubiri utekelezaji wake kisha tutahoji nafasi yake ya uwaziri!!
Ahsante!
Nayo inachangia pia,..mtu ajira ya kwanza kwenye utumishi wa umma anaanzia kwenye ukurugenz direct..mfano Yule Kamoga alikuwaga clouds, aliteuliwa direct kuwa mkurugenz mbulu huko na wapo wengi wa hivyo ...shida ni cheo cha utendaji kwa mtu aliyetoka nje ya system moja kwa moja lazima apate tabu kwa muda kufit,tofauti ya miaka ya nyuma walikuwa wanawapindisha wakuu wa idara waliofanya vizurJafo wanamuonea tu,wakurugenzi wengi wameingia kwa kiki za uanachama wa kijani pia ni vilaza mno hawawezi kusimamia pesa za serikali.Aanzia kwa hao DED ndo shida zipo
Hii ni mara ya pili huyu waziri wa TAMISEMI anahonywa mbele ya hadhara kwamba abadilike katika utendaji wake
Kwa kauli ya leo kutoka kwa Rais Samia Suluhu, Jaffo anatakiwa kujizuru nyazifa zake
Kakini pia huyu Jaffo ana nini cha mno mpaka aendelee kupewa maonyo kila siku juu ya utendaji wake na usimamizi wa mali za umma?
Katika hili Jaffo unatakiwa utumie hekima na busara kuiacha TAMISEMI, kiuhalisia wizara hii kubwa imekushinda
Hakupandishwa kwa sababu ya utendaji kazi bali ni kwa sababu ya ushikaji ili waendelee kufichiana siri.
Kama umejitambua sawa ni kweli uwezo wako wa kufikiri ni mdogo yani IQ yako ni ndogo inawezekana ni 0.00000001Yaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi.
Hata kabla hajaoza kaburini anaonekana ni mwizi. Tulisema mapema tukaonekana wasaliti kiko wapi sasa.
Cha ajabu wala maboga wanajinadi mtaani kuwa kimetoka chuma kimeingia chuma.
Acha kwanza nitafakari hizi kauli labda uwezo wangu wa kuwaza unaanza kuchoka.
Hatujui mengi yaliyokua yanaendelea ndani combination (hayati na mama) ila kwa tafsir ya haraka haraka hiki kinachofanyika ni kua kipndi Cha hayati maamuzi yalikua yanatolewa na mtu mmoja tu na mawazo ya mama hayapewi nafasi,ila kwa jicho lingine hotuba ya mama leo inatoa kengele kwa watu wafuatao wajiandae kisaikolojia jafo,waziri mkuu, na Yule wa azina waliochota mapesa kipind cha hayati akiwa mgonjwa