Una akili kubwa sana mkuu! Hongera!Namkumbuka VP. Mpango alivokomaaga pale bandarini ili mkuu wa mkoa wa Dar wa zamani alipe kodi ya fenicha alizoingizaga toka nje. Mpaka JPM alipo ingilia kati. Daaa! hesabu za mama ni kali.
Sasa kibao kimegueka, wa mwisho amekuwa wa kwanza na wa kwanza amekuwa wa mwishoMpango asingeweza kumgusa Dotto James. Ulitaka yamkute ya Nape dhidi ya Makonda?
Hutukupewa nafasi sababu mimi na wewe sio MpangoTunamuongelea Mpango, wewe na mimi hatukupewa nafasi kwenda kuongea na vyombo vya habari tukiwa wagonjwa.
π€£π€£Inaonyesha Madam mkianza kumtajia tajia majina furani anayapiga wino mwekundu.
Hakuna aliyemfikiria Mpango
Naona ni chaguo sahihi
Wangekua wanaona mbali wangeona kwanza kwa mpambe wa Rais.Hahahha.. Wako hoi hawa jamaa zetu
Wizi gani unafanyika ?, Serikali ya jpm kilikua na wizi wapi ? Mbona Kigogo anawapoteza sana,,,, walisema bashiru kachota hela akawekwa chini ya ulinzi wa j3sh mbna maombolezo yote alihudhuliaKwa mauwizi yanayoendelea mpango hana say kwa hawa wadhurumati
Dotto kwisha Habari yake. Na kule BOT Naibu Gavana mmoja ni huko Rwanda. SafisheniKwa sasa yawezekana ni mapema mno kulielewa hili lakini huko mbeleni inaweza ikaeleweka.
Kwa sasa CAG yuko Hazina akichunguza mtiririko wa fedha kuanzia mwezi January hadi March, 2021 na ghafla waziri wa fedha Dr Mpango anapandishwa cheo
Ikumbuke January na February Dr Mpango hakuwepo ofisini kwa sababu za kiafya.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.
Spika Ndugai akisoma ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema..
Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori Mpango kwa Nafasi ya Makamu wa Rais Tanzania.
Nafasi ninayo ila sina chama kwahiyo sichukui kadi ili nipate nafasiπππππ utapewa nafasi ya Herry James.. chukua kadi mapema.
eti makamba wanasemaKwani alitabiri nani?
Bw. Doto M. James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango.......wiki hii wahi chato kwenda kufunga mbuzi.Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.
Spika Ndugai akisoma ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema..
Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori Mpango kwa Nafasi ya Makamu wa Rais Tanzania.
Yaani Dr Philip Mpango kuwa makamu wa raisi!Bila kuvuta bange mi sielewagi kabisa...mfano huu uzi sijaambua chochote