Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Alikua ceremonial tu pale, alikua anatukanwa na meko hadi akapata presha akataka ajiuzulu wakamuonya.
Dotto safari iko palepale
Duh!!
Meko kazoea kuingia anauita gavana.
Fungua hapa,

Anachota mzigo anaenda kufanya anavyotaka.
Halafu wewe waziri ujifanye unafuata utaratibu.

Mwendazake lazima akufokee na maneno nyuma yanakufuata kua nyie ndio mmehalibu nchi hii kwakufuata mautalatibu yenu hayo.
 
Kigogo anawadanganya anajua kila kitu na anamjua kila mtu nchi hii. Ana mpaka watu wa Usalama wa Ikulu teh teh teh teh

Hapa vipi, hakumuona Mpango teh teh teh
Kigogo alisema atateuliwa kati ya leo au kesho, pia kigogo siyo msemaji wa serikali, anaweza kupewa taarifa ya kweli ama uongo.
 
Haimaanishi wale wote wasio ipenda ccm, basi ni wanachama wa vyama vya upinzani. Kuna kundi kubwa sana la Watanzania tunaichukia ccm kwa sababu tu ya madudu yake! Na siyo kwa sababu unayo ifikiria wewe.
Wanao wanajua kila anayechukia madudu yao ni CHADEMA.
 
Leo nduga anafuata katiba ha ha kwa wale walio na katiba kwenye eneo alilolisoma hivyo vipengele alivyoviacha vinasemaje maana nahisi kuna moja litawagusa wale wabunge 19 ndiyo maana karuka kakimbilia E
 
Mama Samia Allah akubariki Chema hujiuza kibaya kinajitembeza mimi huyu Mpango simjui lakini nilipomuona sura yake anaonekana ni mtu madhubuti kabisa anaonekana ni mtu mwema .Endelea kugeuza meza weka new blood young generation tunataka NEW TANZANIA usiwasahau wanawake wenzako vile vile mchakato wa katiba UENDELEE MARA MOJA.Ahsante Allahu Yahfidhik.
 
Uteuzi wa Dr Mpango kuwa Makamu wa Rais ni dhahiri kuwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuheshimu na kuendeleza Urithi (legathy) ya Hayati Magufuli - Hapa Kazitu#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…