Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

mama kaona mbali sana kumteua mpango, kamchukua mpango atakaemtumia kama revision ya utendaji wa wizara ya fedha na taasisi zake, inshort kapiga ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Kwa hiyo wamekutana wapole wawili [emoji848][emoji848]
Hawa wapole huwa ni wakatili sana nyuma ya pazia, but Madame Pres Samia, Pres Mwinyi, VP Mpango na PM Majaliwa kama wapole kifikra.
 
Skills skills skills skills
Ndio utawala wa sasa, mambo ya kutumia Maguvu badala ya akili naona hakuna nafasi hiyo katika utawala wa sasa
 
Hii nchi katika kufikia uchumi wa juu mtu kama mpango ni muhimu sana kwanza ana uzalendo,hofu ya mungu,sio mwenye tamaa kama wengine wanaokwapua mabilioni na kukutwa nayo ndani,mpango ni mchapakazi na pia msomi mzuri wa uchumi ili atuimarishie uchumi wetu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mimi binafsi nampongeza alikuwa msikivu akiwa waziri wa fedha nilishauri kuhusu serikañi kutumia taasisi za umma kwa huduma zake zote sababu zimeanzishwa kwa public capital pesa za walipa kodi.

Kuwa hakuna maana serikali inaanzisha shirika la ndege halafu wafanyakazi wake wanalipiwa ndege binafsi au kuna shirika la bima halafu serikali na mashirika ya umma wanaenda kuweka bima kampuni za bima binafsi Kumbi za umma ziko kibao halafu vikao na semina wanaenda hoteli zao binafsi !!! Akasikiliza ushauri wangu wa humu JamiiForums.

Hongera Dr Mpango
 
Screenshot_20210330-114913.png


Kama ilivyopitishwa , Bwana.Mpango kachukua kitengo kongole ziende ziende kwake vice mpya

Nipo nmeketi watu kadhaa hapa umri tofauti,tukifuatilia dondoo mbalimbali kuhusu matokeo hayo, na sifa kedekede anazomwagiwa na wabunge na Mawaziri

Mzee mmoja umri wa baba yangu , kati ya hawa watu nlioketi nao ,kaibuka na kusifu sana , Juu nafasi hiyo kwenda kwa Mpango ambaye ameenda mbali na kusifu kwmba yeye ni kama kiongozi wa nchi sasa kupitia mgongo wa mama Samiha

Asilimia hapa 70% wamesifu hatua hiyo huku wachache wakipata fadhaa kwani mioyo yao ilitamani labda KABUDI angehusishwa


Nami nililete kwenu wakuu

kwa uchapaji kazi wake vipi tutakwenda naye sawa ,ni sahihi kupewa nafasi hiyo !?

Shukraani

Screenshot_20210330-114913.png
 
Back
Top Bottom