Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Ushauri wangu kwa Dr. Mpango, pamoja na mambo mengine yote.
1. Usikubali kupenyezewa mambo binafsi kwenda kwa H.E.P hili litakuharibia, pokea ushauri nao husu maslahi ya watanzania haswa masikini sio vikundi vya matajiri wanao taka kufanikisha mambo yao.
 
Kwan awe hoi? Maana kapambana na kuwapaka Bashiru Kabudi wasiwe VP. Kwake ni ushindi
Bashiru na Majaliwa tayari walikuwa na viongozi waandamizi. Yale ni maneno tu ya Kigogo kutaka kuwachafua. Yaani mtu aache UPM akawe VP??? haingii akili hata kwa mwendawazimu
 
Walitakiwa Kama 100 hivi alafu wote holaaa
Mara nchimbi, Mara bashiru, Mara makamba, Mara kabudi, Mara majaliwa, Mara sijui nani
Naona siku mbili hizi kasema Cheif Secretary ni rafiki yangu Nehemiah Mchechu na Mafuru anakamata Hazina teh teh teh teh
 
Huyu jamaa ni mtulivu mno afadhari kaukwaa u VP nilimhofia mzee wa jalalani kero sana yule mwamba na mimacho yake kama taa za scania

Anyway namshukuru mweshima mungu
Aaaa mweshimiwa Rais
Kabudi bwana haaaaahaaahaaaaa


Viva mpango!
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Aliyemuibua Mpango ni Kikwete kwenye ule mradi wa Big Results
Kabla ya hapo alikuwa mshauri wake wa uchumi. Ilikuwa ni tabia ya JK kuvuta wataalamu wazawa waliokuwa nje kama wakina Mpango, Prof Assad, Omar Nundu, Prof Muhongo n.k
 
Kwani Kigogo ni msemaji wa serikali au aliwahi sema ni lazima atoe kila taarifa. Unakaribishwa lift unapiga na honi
Kigogo anawadanganya anajua kila kitu na anamjua kila mtu nchi hii. Ana mpaka watu wa Usalama wa Ikulu teh teh teh teh

Hapa vipi, hakumuona Mpango teh teh teh
 
Back
Top Bottom