Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 730
Nimepitia katiba Jimbo liko waz Sasa tanzainia inahamia kigoma kule majimba mawili yanakuwa waz sjiu km kampen zake wapinzani Bado wataendelea kumsifia madam president hukoLitakuwa wazi kwani VP siyo lazima awe mbunge na kama ataendelea kuwa mbunge, kuna moja litadorora na hasa la kuwakilisha jimbo lake bungeni.
Hakuna cha legacy wala nini! Alicho angalia hapo ni utendaji kazi wa mtu, uadilifu wake na nidhamu yake kwa ujumla.Uteuzi wa Dr Mpango kuwa Makamu wa Rais ni dhahiri kuwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuheshimu na kuendeleza Urithi (legathy) ya Hayati Magufuli - Hapa Kazitu#
Confirmed lipo wazi mkuuMakamu wa Rais sio mbunge (kama ilivyokuwa kwa Samia). So, jimbo la Mpango lipo wazi. Lazima wananchi wa Buhingwe wawe na Mbunge wa kuwasemea mjengoni
Obama ataenda kutoa sadakaJimbo lipo wazi kea mujibu wakatibaView attachment 1738554
Nyumbu hawana hamuUshuke tu ikibidi usimame kaabisa kufanya kazi, pambaaf
Samia kanyaga twende
Mchakato haujakamilika cdm wakiuiamilisha sio wabunge ila km wanachukua ruzuku Hapo jibu unaloKipengele E hakiwahusu covid 19?
Ngoja tuone kama na Majaliwa yataendelea kuwepo!Baada ya Tz kupata Suluhu sasa yapata Mpango
Humu leo kuna watu watapigana [emoji3]Pambaf babaako.
Huo utendaji kazi mzuri wa mpango ni nani alie tuletea sisi wananchi ? ? Mpango kaletwa na Mh Jpm Bila Jiwe tusingemjua,,,,Watu Mna chuki zakijinga jinga sanaaaaaaHakuna cha legacy wala nini! Alicho angalia hapo ni utendaji kazi wa mtu, uadilifu wake na nidhamu yake kwa ujumla.
Magufuli ameacha legacy ya hovyo tu! Ukabila, uonevu, upendeleo, ubinafsi, ukaidi, umungu mtu, ubaguzi, udhukumati, nk.
Hii nchi katika kufikia uchumi wa juu mtu kama mpango ni muhimu sana kwanza ana uzalendo,hofu ya mungu,sio mwenye tamaa kama wengine wanaokwapua mabilioni na kukutwa nayo ndani,mpango ni mchapakazi na pia msomi mzuri wa uchumi ili atuimarishie uchumi wetu.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ninaweka nguvu zangu za kuzunguka nchi nzima kuwanadi 2025.Dr Mpango Mitano tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahahahahhaahahhahaHuyu jamaa ni mtulivu mno afadhari kaukwaa u VP nilimhofia mzee wa jalalani kero sana yule mwamba na mimacho yake kama taa za scania
Anyway namshukuru mweshima mungu
Aaaa mweshimiwa Rais
Kabudi bwana haaaaahaaahaaaaa
Viva mpango!
Wepi hao wale familia ya kigogo au kwereakwerea wa Ufipa?[emoji28][emoji28][emoji28]wale wa upande wa pili wanamaoni gani?tuanzie hapo[emoji441][emoji441]
Sio msemaji wa serikali ni msemaji wenuMpuuzi wewe, kwani kigogo ni msemaji wa serikali?
Tunataka space ya kumshughulikia Doto JamesCCM ni ile ile!
Huyu ndio alikuwa boss wa Dotto James hivyo msitarajie jipya kuhusu makandokando ya Dotto James tena .