Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Daah . . . . . . kwa kweli aiseeBunge Tv.
Inabidi nianze kupambana na hali yangu.
Mwenye nacho ataongezewa,asiye nacho.................? hata kile alicho nacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah . . . . . . kwa kweli aiseeBunge Tv.
Inabidi nianze kupambana na hali yangu.
Mwenye nacho ataongezewa,asiye nacho.................? hata kile alicho nacho
Nimekupata nimekupata mkuu,ni zao la hayati.Mpango alivutwa na nani kurudi bongo na kupewa majukumu? Kisha alikuwa mshauri wa nani masuala ya uchumi? Nani alimuweka kusimamia tume ya mipango?
Kwenye nini ?Safi sana... Wapi bashiru
Mi mwenyewe Sijui 😅Wepi hao wale familia ya kigogo au kwereakwerea wa Ufipa?
inaonekana mekuuma kweli kweliHahahahahahahahhaahahhaha
Ameanza kwa kutukana,eti imepenyaaa hiyooo.Ulianza vizuri ila umekuja kuaribu mwishoooni..
Zee la jalalani silikubali kabisa, ni linafiki sanaJambo jema kabisa kuliko angepitishwa mzee wa jalalani.
Jibu limepatikana.huyo ndiye atayekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM come 2025.Tuseme ndio Rais Mtarajiwa.Wengine walioutamani walie tu.Source??
BwaahahahhahahahhhWepi hao wale familia ya kigogo au kwereakwerea wa Ufipa?
Huyo ni muha wala usijibaraguze kwao ni Kigoma.Spika Ndugai amesema bungeni na sasa amemualika mpambe wa Rais Samia kuleta jina la makamu wa Rais ndani ya bunge.
Badala ya Mwanza sasa tumehamia kigoma.naona mnaweweseka ..tulieni sindano bado inapenya tarattiiiibuuu....
Pigo la kwanza takatifu murua kabisa
Sasa tunasubiri mapigo mengine ...
So inakuuma nini? acha kumfuatiliaSio msemaji wa serikali ni msemaji wenu
CDM walishamaliza kazi yao hata kwenye orodha ya wanachama wa CDM hawapo tenaMchakato haujakamilika cdm wakiuiamilisha sio wabunge ila km wanachukua ruzuku Hapo jibu unalo
Kwanini mnakua wajinga sana,,,me nawapenda ndio maana wallahSo inakuuma nini? acha kumfuatilia