Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Tumeamua kusafisha ghala,hutaki kanywe sumu tu
 
We kutwa kucha unawaza teuzi tu!

Hivi huwezi kuishi bila kuteuliwa?

Mbwa koko wa Ufipa mna tabu sana.
Utatukana sana dogo ila hapa ukweli utasimama tu kuwa gang lenu ndiyo rasmi limezikwa leo hii maana hamna pa kukimbilia.
 
End of SUKUMA -Gang,
 
Acha kudanganya watu we puto, Huyu mpango ametolewa W.B na JK kuja kupambana na mpango wa BRN! Kama huna unachokiju kaa kimya sio kuwa poyoyo
 
Utatukana sana dogo ila hapa ukweli utasimama tu kuwa gang lenu ndiyo rasmi limezikwa leo hii maana hamna pa kukimbilia.
Nyumbu hujielewi.

Unamwaga povu tu.

Si ajabu unatokwa na mipovu kwenye kila Tundu lililopo kwenye kimwili chako.

Al junun funun.
 
Aaarrwap

"Tuna taarifiwa hapa na team yetu
Makamba hajapiga kura, it very tough and bumpy ride "

Nimempatia kiggo eti ? Bwahahahahahh
Hadi mtakunywa sumu maana safari hii hatutaki uchafu wenu tena
 
Pigo kwa MATAGA kama wewe maana huyu mzee hapendagi kabisa kujikomba na kupelekewa majungu.

Kumbe ndiyo maana jana VICCM wakaamua kuomba radhi walishajua kuwa gang lao halina tena mashiko.

Hujielewi hata kidogo

Ila utakapoacha uzushi na kusambaza habari za umbea unaweza ukajielewa japo kwa mbaliiiiiiii

MoodRN

 
Mtu kama mmawia ni mtaji mkubwa sana kwa akina belgiji,

Belgiji akiona coment kama hizi za kina mmawia anajiona tayari yeye ni rais anaesubiri kuapishwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi naye ni mtu huyo?

Ni mburukenge wa Ufipa huyo.
 
Kuna nguli wa siasa nimemuuliza kwamba mama Samia anapigana style gani akanijibu "Shotokan"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…