Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Dk Mpango alikuwa anafanya kazi World bank ..2007 Kikwete akamleta Ikulu awe advisor wa mambo ya uchumi kafanya kazi na Kikwete miaka 8 na alipokuja JPM akampa uwaziri wa fedha ..Kikwete amewapiga chenga ya mwili
Ukitaka kula nawe ukubali kuliwa kidogo.

Ha ha ha ha ha
 
Hongera Dk. Mpango. Ila wasilisha vyeti vyako kuthibitisha elimu yako ya msingi, secondari, na chuo kikuu ili uzibe midomo ya wanoko.
 
veronica anaongea ukweli? lol jesus man seriously.
am not a fan of bothe of them. but niseme wote ni wazee wa kuspeculate.
atleast maybe kigogoo ana access na inside stories.. ila na yy wale wale.
hamna mwenye nafuu.
Kuna siku nilisema baada ya kumuwahi Magufuli vijana wote wanaoendesha account ya kigogo wataanza kuuliwa ili kulinda ushahidi.

Siku si nyingi wakuu wa huo mtandao wataanza kutajwa
 
Chama na Rais Samia Suluhu Hassan wame-hit the bull.Phillip Isdor Mpango ni mtu sahihi kabisa kwa kazi ya Uwaziri Mkuu.Now I have peace of mind and heart.

Najua sasa kwamba Taifa litasonga mbele kama tulipokuwa na Hayati Magufuli,kama si zaidi.
 
Chawa kama chawa, mapambio hakuna mwaku huu na utukufu tumeshauzika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masikini mwee!

Wewe ni kidagaa tu hapa nchini, hujui chochote utaendelea kushudia ccm wakibadirishana vyeo huku wewe ukiendelea kupiga yowe hapa Jf
Hilo Senge lipuuzie linalipwa na mabwana zake kuuneza uzushi.
 
Huyu mama anaenda kutuibia watanganyika, kwa kutuwekea mtu bomu pale Hazina. Kwa mara ya kwanza tangu napata fahamu Watanganyika tumekuwa na waziri wa fedha asiyetuibia. Sasa ku toa hapo ni mipango ya wizi TU.
Aiseeee
 
Chawa kama chawa, mapambio hakuna mwaku huu na utukufu tumeshauzika.

Hata maneno unayotumia yanaonyesha uwezo wako finyu wa fikra

Kwa taarifa yako Tanzania iko imara sana

Na serikali ya chama tawala iko imara kwelikweli

Hutaki na wewe hama nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…