Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Hilo chaguzi la mama nali support 100% Yani watu wa Pre-2015 sitaki hata kuwasikia...hawana maana..nchi wanaiuza kwa wazungu kama sisi waafrika hatustahili? Mama kama utasoma huu ujumbe piga kazi..tumikia watu wako, hapa duniani tunapita..usisahau watu wako..watambue maadui wa taifa hili. Ipende nchi yako, na siku moja ukisimama kwa Muumba wako hautajuta. Sababu hakika miaka 100 ijayo sote hatutakuwepo, hivyo kwann usitende haki? Ujenge taifa lako?
 
Au jamaa waliandaa mtu wao kwaio wanaeza wasimpatie 50% votes
 
Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Spika Ndugai akisoma ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema..

Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori Mpango kwa Nafasi ya Makamu wa Rais Tanzania.

daaah sasa huyu ni mchumi mzuri sana, ila sasa kwenye swala la kutoa maamuzi sjui
 
Bila shaka hakuna aliyetegeamea
Wakati mwingine pia kutajataja majina kunawafanya muwaharibie wenzenu hata kama Rais alitaka kuwateua lakini kutokana na kutajwa sana Rais inabidi awaepuke.

HONGERA DR PHILIP MPANGO

Ni wakati wa Zito kurudi bungeni sasa

Huyu ni manusura wa covid-19. Mwanzo mpya.

Huyu ni mchumi bila shaka hatapendelea miradi isiyokuwa na kichwa wala miguu.
 
Bila shaka hakuna aliyetegeamea
Wakati mwingine pia kutajataja majina kunawafanya muwaharibie wenzenu hata kama Rais alitaka kuwateua lakini kutokana na kutajwa sana Rais inabidi awaepuke.

HONGERA DR PHILIP MPANGO

Ni wakati wa Zito kurudi bungeni sasa
Kawa nani mkuu huku sitimbi redio na tv hazikamati
 
Huyu namkuunga mkono asilimia 100. Sio kwa sababu ni mpango bali kwa sababu wakati anateuliwa na rais JPM ktk speech yake alimtaja Lee Kuan Yew wa Singapole.

Nikajua mpango ni mtu mkubwa sana maana anajua watu waliofanya miujiza ya kiuchumi nchini mwao.


Pia sio mrohomroho wa madaraka kama wale tunaowafahamu.

Rais umenifurahisha.

Tuko pamoja,
 
Back
Top Bottom