Kuna mchezo sio wa bahati mbaya ,ila swala la kila wakati watu sifia marehem Kama vile mpaka mda huu hatuna serikali mpya ,sio mzuri naweza sema Kuna agenda ya kikundi flani , na haya yanatoka karne hii, hivi mbona kipindi kile Mwl Nyerere ameacha kiti mridhi wake,au Mkapa KWA mridhi wake hatukusikia, na je ni kwamba mh kikwete alitenda mema zaidi mzidi mtangulizi wake au mh Mwinyi alitenda zaidi mzidi Mw Nyerere, kola uongonzi na Zama zake,KWA siku hizi Chache Kama anasimama na kuona marehem bado ni zaidi ya uongozi uliokabidhiwa nchi ni muogopen Kama ukoma na ni lazima ashughulikie haraka, anachofanya ni kuaribu psychology ya viongozi walio madarakani ,
Kusifu kuabudu pia KWA Muhimili yetu hakusaidi lolote na hatuwezi songa Kama taifa ,hivi inakeje bunge lenye wabunge 300 et mteule vp anapata asilimia 100 ,kwamba katika wabunge wote fikra zenu ni level sawa, ndio kupitia sio tatizo ila why kuaminisha dunia kitu ambacho hakiwezekaniki? Hata baba ndani ya familia sio kila Jambo anaweza sema likaungwa mkono KWA asilimia 100 sembuse bunge lenye watu tofauti,sifa tofauti, hii ni aibu,
Tumeona nchi mfano SA hata rais mda mwingine anawekewa ungangari je ili tz KWA bunge letu Lina weza kweli pale panapo stahili
Nilitoa wazo hapa jf ili kupata bunge la kumsaidia Rais na nchi bila kujali ghalama livunjwe, ni vichekesho,maana watu au nchi dunian wanatushangaa nakuona kila mtanzania thinking capacity ni sufuli,