Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan anamheshimu Lissu, why Lissu hajiheshimu?

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan anamheshimu Lissu, why Lissu hajiheshimu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
 
Kwani mama ana haja ya kumjibu basi?
Nani ampe kura lissu?? No one labda mapoyoyo wenzake he is a nobody hana akili and so far he is a traitor!

Tunaongozwaje na mtu eti kidogo tu anatusemelea kwa yule mzungu wake😂
 
SIPA_AP22550140_000019.jpg

Jemadari Tundu Antipas Lissu 2025
🫡🫡✌️✌️✌️
SPANA! SPANA! SPANA! SPANA! SPANA! mpaka kieleweke😁
 
Back
Top Bottom