Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan anamheshimu Lissu, why Lissu hajiheshimu?

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan anamheshimu Lissu, why Lissu hajiheshimu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Chawa katika ubora wako
 
Huyu mama kama angekuwa kule Kenya mbona angestaafu siasa harasa sana kwa matusi yao kama angekutana na Odinga, martha, na yule rasta - sijui jina lake ( yule aliyekwenda kumpkea Lema). Mbona angekoma.. sijaona Lissu akifikia viwango wa majirani wetu. Huko ni funga kazi.
 
Lissu ni mwanasiasa kama alivyo Suluhu, kuparuana ni kitu cha kawaida, ukichagua upande na kutanguliza hisia bila logic utapitwa na mengi ya muhimu.
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Tuzungumzie maendeleo mengine ni ujinga.kujibizana haituletei tija
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Orodhesha matusi ya Lissu
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Tundu Antipas Lisu anachangamoto za kiafya Kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua huko ! shida aliyonayonkwa sasainamfanya ashindwe kudhibiti emotions anakitu inaitwa stress disorder hawezi Tena kuvumilia njaa Wala kuvumilia maisha ya kiraia ya kawaida ! anawaza awe raisi anawaza awe mkt wa chamananawaza awe mmbunge anawaza aendelee kuwa wakiki Yani ana disorder syndrome na majuzinkama mmesikia hata Mke wake kashindwa kuishinnae wameachana ameishia kuwa Mario kaolewa na li bibi la kizungu sijui ndio CIA Yani Lisu Hana adabu ukiachiannafasi ya mama kama raisi pia yule ni sawa na dada yake mkubwa anazaninhizi ni zile zama za kutadanganya na kuleta fact za kisheria tuu Ili apate huruma !
 
Tundu Antipas Lisu anachangamoto za kiafya Kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua huko ! shida aliyonayonkwa sasainamfanya ashindwe kudhibiti emotions anakitu inaitwa stress disorder hawezi Tena kuvumilia njaa Wala kuvumilia maisha ya kiraia ya kawaida ! anawaza awe raisi anawaza awe mkt wa chamananawaza awe mmbunge anawaza aendelee kuwa wakiki Yani ana disorder syndrome na majuzinkama mmesikia hata Mke wake kashindwa kuishinnae wameachana ameishia kuwa Mario kaolewa na li bibi la kizungu sijui ndio CIA Yani Lisu Hana adabu ukiachiannafasi ya mama kama raisi pia yule ni sawa na dada yake mkubwa anazaninhizi ni zile zama za kutadanganya na kuleta fact za kisheria tuu Ili apate huruma !
Inaumiza kuona state inatukanwa, inavuliwa nguo, inadharirishwa - nadhani sasa mama na wasaidizi wake waamuke - asiyefunzwa na familia afunzwe na sheria za dunia
 
W
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Kaa huko kakonko acha maccm yapigwe spana!
 
expand...
Tundu Antipas Lisu ana changamoto za kiafya kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua hilo!
Shida aliyonayo kwa sasa inamfanya ashindwe kudhibiti emotions anakitu inaitwa stress disorder. Hawezi tena kuvumilia njaa wala kuvumilia maisha ya kiraia ya kawaida!

  • Anawaza awe Raisi
  • Anawaza awe mkt wa chama;
  • Anawaza awe mbunge;
  • Anawaza aendelee kuwa wakili nknk

Yaani ana disorder syndrome na majuzi ni kama mmesikia hata Mke wake kashindwa kuishi nae wameachana ameishia kuwa Mario kaolewa na libibi la kizungu sijui ndio CIA yaani Lisu hana adabu ukiachia nafasi ya mama kama rais pia yule ni sawa na dada yake mkubwa anazani juzi ni zile zama za kudanganya na kuleta fact za kisheria tuu Ili apate huruma!

Atulie ili asiangukie ktk meno ya kiboko.
 
expand...
Tundu Antipas Lisu ana changamoto za kiafya kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua hilo!
Shida aliyonayo kwa sasa inamfanya ashindwe kudhibiti emotions anakitu inaitwa stress disorder. Hawezi tena kuvumilia njaa wala kuvumilia maisha ya kiraia ya kawaida!

  • Anawaza awe Raisi
  • Anawaza awe mkt wa chama;
  • Anawaza awe mbunge;
  • Anawaza aendelee kuwa wakili nknk

Yaani ana disorder syndrome na majuzi ni kama mmesikia hata Mke wake kashindwa kuishi nae wameachana ameishia kuwa Mario kaolewa na libibi la kizungu sijui ndio CIA yaani Lisu hana adabu ukiachia nafasi ya mama kama rais pia yule ni sawa na dada yake mkubwa anazani juzi ni zile zama za kudanganya na kuleta fact za kisheria tuu Ili apate huruma!

Atulie ili asiangukie ktk meno ya kiboko.
 
Samia kasema Watanzania wakimpigia kura au wasipompigia kura ana uhakika wa kushinda uchaguzi.

Kauli hii ni ya dharau kwa Watanzania wote.
Dharau huwa haitoki nje ya nafsi ya mtu bali ndani ya nafsi ya mtu. Kwa hiyo kujisikia kudharauliwa huwa ni hiari ya yule anayejiona kudharauliwa

In that respect kama mtu anaelewa namna ambavyo dharau huwa inafanya kazi, huwezi ukamkuta mtu huyo akituhumu kudharauliwa na mtu mwingine

Kwa mfano, ikitokea mimi nikakutisha wewe halafu ukaogopa, tatizo litakuwa siyo langu bali lako wewe uliyeogopa kwa sababu uwezekano upo pia kwamba the same kitisho kwa mtu mwingine kisingeweza kufanya kazi
 
Dharau huwa haitoki nje ya nafsi ya mtu bali ndani ya nafsi ya mtu. Kwa hiyo kujisikia kudharauliwa huwa ni hiari ya yule anayejiona kudharauliwa

In that respect kama mtu anaelewa namna ambavyo dharau huwa inafanya kazi, huwezi ukamkuta mtu huyo akituhumu kudharauliwa na mtu mwingine

Kwa mfano, ikitokea mimi nikakutisha wewe halafu ukaogopa, tatizo litakuwa siyo langu bali lako wewe uliyeogopa kwa sababu uwezekano upo pia kwamba the same kitisho kwa mtu mwingine kisingeweza kufanya kazi
Mkuu,

Kwa hiyo jambazi akikutolea bastola anakutisha kukuua, wewe hutishiki?
 
Back
Top Bottom