Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahaaChawa Mzee. Aibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaChawa Mzee. Aibu sana
Chawa katika ubora wakoWapenda amani
SALAÀM!
- Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
- Mbn Lissu anatukana sana?
- Mbn Lissu anadhihaki sana?
- Mbn Lissu anakera sana?
- Mbn Lissu anachokoza sana?
Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?
Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.
Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Tuzungumzie maendeleo mengine ni ujinga.kujibizana haituletei tijaWapenda amani
SALAÀM!
- Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
- Mbn Lissu anatukana sana?
- Mbn Lissu anadhihaki sana?
- Mbn Lissu anakera sana?
- Mbn Lissu anachokoza sana?
Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?
Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.
Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Orodhesha matusi ya LissuWapenda amani
SALAÀM!
- Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
- Mbn Lissu anatukana sana?
- Mbn Lissu anadhihaki sana?
- Mbn Lissu anakera sana?
- Mbn Lissu anachokoza sana?
Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?
Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.
Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Tundu Antipas Lisu anachangamoto za kiafya Kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua huko ! shida aliyonayonkwa sasainamfanya ashindwe kudhibiti emotions anakitu inaitwa stress disorder hawezi Tena kuvumilia njaa Wala kuvumilia maisha ya kiraia ya kawaida ! anawaza awe raisi anawaza awe mkt wa chamananawaza awe mmbunge anawaza aendelee kuwa wakiki Yani ana disorder syndrome na majuzinkama mmesikia hata Mke wake kashindwa kuishinnae wameachana ameishia kuwa Mario kaolewa na li bibi la kizungu sijui ndio CIA Yani Lisu Hana adabu ukiachiannafasi ya mama kama raisi pia yule ni sawa na dada yake mkubwa anazaninhizi ni zile zama za kutadanganya na kuleta fact za kisheria tuu Ili apate huruma !Wapenda amani
SALAÀM!
- Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
- Mbn Lissu anatukana sana?
- Mbn Lissu anadhihaki sana?
- Mbn Lissu anakera sana?
- Mbn Lissu anachokoza sana?
Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?
Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.
Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Inaumiza kuona state inatukanwa, inavuliwa nguo, inadharirishwa - nadhani sasa mama na wasaidizi wake waamuke - asiyefunzwa na familia afunzwe na sheria za duniaTundu Antipas Lisu anachangamoto za kiafya Kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua huko ! shida aliyonayonkwa sasainamfanya ashindwe kudhibiti emotions anakitu inaitwa stress disorder hawezi Tena kuvumilia njaa Wala kuvumilia maisha ya kiraia ya kawaida ! anawaza awe raisi anawaza awe mkt wa chamananawaza awe mmbunge anawaza aendelee kuwa wakiki Yani ana disorder syndrome na majuzinkama mmesikia hata Mke wake kashindwa kuishinnae wameachana ameishia kuwa Mario kaolewa na li bibi la kizungu sijui ndio CIA Yani Lisu Hana adabu ukiachiannafasi ya mama kama raisi pia yule ni sawa na dada yake mkubwa anazaninhizi ni zile zama za kutadanganya na kuleta fact za kisheria tuu Ili apate huruma !
Kaa huko kakonko acha maccm yapigwe spana!Wapenda amani
SALAÀM!
- Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
- Mbn Lissu anatukana sana?
- Mbn Lissu anadhihaki sana?
- Mbn Lissu anakera sana?
- Mbn Lissu anachokoza sana?
Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?
Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.
Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Hapo kavuta ten yake ya kuandika hoja hapa jukwaani na hajui hata kujenga hoja, CCM hovyo kabisaKwani Lissu kasemaje? au chuki tu?
Jamaa hajui kupindisha ndiyo maana dikteta aliamua kutuma watu wamuueView attachment 3015916
Jemadari Tundu Antipas Lissu 2025
🫡🫡✌️✌️✌️
SPANA! SPANA! SPANA! SPANA! SPANA! mpaka kieleweke😁
UWT sahivi wanalipiwa kupitia bank siyo kwenye cm kama zamaniUmesahau namba yako ya simu
Tundu Antipas Lisu ana changamoto za kiafya kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua hilo!expand...
Tundu Antipas Lisu ana changamoto za kiafya kwa Sasa! hata wasaidizi wake wa karibu wanalijua hilo!expand...
HahahaUWT sahivi wanalipiwa kupitia bank siyo kwenye cm kama zamani
Mfumo wao umebadilika haswa na kuna saa malipo yanachelewaHahaha
Dharau huwa haitoki nje ya nafsi ya mtu bali ndani ya nafsi ya mtu. Kwa hiyo kujisikia kudharauliwa huwa ni hiari ya yule anayejiona kudharauliwaSamia kasema Watanzania wakimpigia kura au wasipompigia kura ana uhakika wa kushinda uchaguzi.
Kauli hii ni ya dharau kwa Watanzania wote.
Mkuu,Dharau huwa haitoki nje ya nafsi ya mtu bali ndani ya nafsi ya mtu. Kwa hiyo kujisikia kudharauliwa huwa ni hiari ya yule anayejiona kudharauliwa
In that respect kama mtu anaelewa namna ambavyo dharau huwa inafanya kazi, huwezi ukamkuta mtu huyo akituhumu kudharauliwa na mtu mwingine
Kwa mfano, ikitokea mimi nikakutisha wewe halafu ukaogopa, tatizo litakuwa siyo langu bali lako wewe uliyeogopa kwa sababu uwezekano upo pia kwamba the same kitisho kwa mtu mwingine kisingeweza kufanya kazi
Kumbe wanalipwa pesa ndefuMfumo wao umebadilika haswa na kuna saa malipo yanachelewa