Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan anamheshimu Lissu, why Lissu hajiheshimu?

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu Hassan anamheshimu Lissu, why Lissu hajiheshimu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ata mimi sometimes namuona kama LISSU ni mzinguaji
Umeona eh.

Ndivyo alivyo. Kabla hata ya Hayat Rais John Pombe Magufuli, alikuwa hivyo hivyo. Waulize ilboru boys Pascal Mayalla.
===============

Na kwa msingi huo, haijalishi kama kulikuwa na ukandamizaji(propaganda ya kizushi) nyakati fupi zilizopita.

Halafu CHADEMA mnamtaka aje kuwa Raisi wa Nchi yetu tulivu.
Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani

Mbula
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Chuki haitakufikisha popote Ndugu
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Wewe unajiheshimu?
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)

Crap from low mind. Eti CCM wakijibu, CHADEMA itakimbilia nje ya nchi!! Kweli upo timamu wewe? Hivi mtu mnaweza kubishana au kujibishana kwa hoja, halafu mtu akimbilie nje ya nchi? Au unamaanisha CCM ikiamua kufanya ushetani wa kuwaua wanaoikosoa?

Haya, weka hapa japo matusi mawili aliyotukana Lisu.
 
Kwani mama ana haja ya kumjibu basi?
Nani ampe kura lissu?? No one labda mapoyoyo wenzake he is a nobody hana akili and so far he is a traitor!

Tunaongozwaje na mtu eti kidogo tu anatusemelea kwa yule mzungu wake[emoji23]

Hivi wewe ambaye kwa andiko lako hili, ni dhahiri una uwezo mdogo wa akili, unaweza kujilinganisha na Lisu katika jambo gani la maana?

Mwenzako hata wanasheria wote walidhihirisha Lisu ndiye walimwona mwenye akili ya kuwaongoza, atalinganishwa na wewe ambaye huweza kuchaguliwa hata kuwa mwenyekiti wa kamati ya arusi?
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Lissu ni kama kachanganyikiwa au kuna mtu anamfanyia vitendo vya ushirikina akosane na watu waliombeba akiwa hoi kwa risasi.

Mbowe hakulala akipinga Lissu asipelekwe Muhimbili, akatoa hela mfukoni akakodi ndege akampeleka Nairobi, akamuombea na ulinzi kutoka serikali ya kenya ili zimwi mla watu (R.I.H) asimmalizie.

Kiongozi pekee aliyeenda kumuona Lissu katikati ya vitisho na makundi ya chinja chinja ya yule jamaa ni Samia. Akamfuata huko ubeleji alikokuwa anaishi pekee akampa nauli akarudi Tanzania.

Inasemwa kwamba baada ya SSH kutoka Nairobi, yule jamaa na kundi lake, rasmi walimtenga SSH kwa kila jambo ndani ya serikali, hata kumsalimia ilikuwa kosa la jinai, ukimsalimia kesho huna kazi.

Leo Lissu kaandaa ritani ya matusi dhidi ya watu waliomfanyia wema, kasahau hata kuwatukana waliompiga risasi, anashambulia waliomuokoa
 
Achana na siasa ww mwana jf siasa mchezo mchafu acha watukanane ad watoboke mim raia haini athiri
 
Wapenda amani
SALAÀM!
  • Rais wetu hana makuu, hajui kukandamiza haki za kiraia - hajui kutumia dola kuzuia upinzani - lkn:-
  • Mbn Lissu anatukana sana?
  • Mbn Lissu anadhihaki sana?
  • Mbn Lissu anakera sana?
  • Mbn Lissu anachokoza sana?

Rais kwa kutambua utu wa binadamu amemrejesha Lissu nchini toka nje alikojificha, kamlipa fedha zake za ubunge, kamfutia kesi, kamruhusu kufanya mikutano ya kisiasa kokote nchini - lkn sasa why CDM wanaendesha siasa za matusi dhidi ya kiongozi wa nchi yetu?!!!!!?

Ushauri:-
CCM kwa nguvu zake wakiamuka kuwajibu CDM kitakachotokea ni CDM kukimbilia Ubeligiji, Canada, UK nk nk.

Hatushindwi
Ngaika Ndenda
(Kakonko)
Wewe Kwa akili Yako huyo mtu ana akili au unaona ni mzima upstair?

Toka amezakiwa Hadi anazeeka na pengine atakufa yeye anapinga maendeleo na Viongozi wa Tanzania

Anapinga kuanzia
Nyerere
Mwinyi
Mkapa
Kikwete
Magufuli
Samia

Huyo ana ugonjwa wa akili ,ni Wagonjwa wenzie tuu ndio watamfuata.

Mwisho huwezi jadiliana Wala kubisha na kichaa ,vile vile ambacho Huwa tunawaacua ndivyo Samia amewapuuza.

Na Mwenyekiti wake ameamua kumouuza na kumuacha awe anabwabwaja hivyo hivyo 😁😁
 
Hivi wewe ambaye kwa andiko lako hili, ni dhahiri una uwezo mdogo wa akili, unaweza kujilinganisha na Lisu katika jambo gani la maana?

Mwenzako hata wanasheria wote walidhihirisha Lisu ndiye walimwona mwenye akili ya kuwaongoza, atalinganishwa na wewe ambaye huweza kuchaguliwa hata kuwa mwenyekiti wa kamati ya arusi?
Akili unaidadavuaje? Hatutaki mtu ambae akiskia ndege ya TANZANIA imeshikwa nje ye anashangilia. Huyo sio mzalendo. Hizo akili zake zingemsaidia atafute kazi ya kufanya maana siasa na majungu haviendani. Mwanaume mmbea anapita kulala mika kutwa ye si wakili afanye uwakili basi maana urais hapati!
 
Back
Top Bottom