Rais Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza

Rais Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza

Ni tafsiri mbovu hiyo na ni upindishaji wa katiba. Kama serikali yote ilikufa na Magufuli, basi hata Samia Suluhu asingekuwa Makamu wa rais tena.
Katiba imemtamka yeye tu endapo inapotokea Rais amefariki.

Wengine outomaticaly nafasi zao zinaceaze Mara tu Rais mteule anapoapishwa mbona hili suala lipo wazi na la kikatiba au labda Kama umezoea uvunjaji wa katiba aliokuwa anafanya marehemu jiwe, au wewe ni mmoja wa hao mawaziri wa jiwe ambao Sasa kikatiba sio Tena waziri, jiandae tu unaweza kuteuliwa Tena au usiteuliwe.

kwani lazima uwe waziri wewe tu kila awamu?
 
Katiba imemtamka yeye tu endapo inapotokea Rais amefariki
Wengine outomaticaly nafasi zao zinaceaze Mara tu Rais mteule anapoapishwa mbona hili suala lipo wazi na la kikatiba au labda Kama umezoea uvunjaji wa katiba aliokuwa anafanya marehemu jiwe, au wewe ni mmoja wa hao mawaziri wa jiwe ambao Sasa kikatiba sio Tena waziri, jiandae tu unaweza kuteuliwa Tena au usiteuliwe
kwani lazima uwe waziri wewe tu kila awamu?
Nafasi ambazo hazikuongelewa na katiba wakati ikitokea rais akifariki ni "status quo." Katiba iinaelekeza namna ya kujaza nafsi ya Rais na ya makamu wa rais, nafasi nyingine zote zineandelea kama ilivyokuwa --status quo .
 
Nafasi ambazo hazikuongelewa na katiba wakati ikitokea rais akifariki ni "status quo." Katiba iinaelekeza namna ya kujaza nafsi ya Rais na ya makamu wa rais, nafasi nyingine zote zineandelea kama ilivyokuwa --status quo .
Hakuna kitu Kama hicho embu taja kifungu Cha katiba kinachoeleza hivyo
 
Wairi anaapa kwa nani na waliopo wameapa kwa nani...
Duh naona waathirika wa 'uamuzi' wowote atakao chukua Mh.Samia, wameshaanza kutetea kazi zao. Wenyewe si watulie tu, Mama yetu afanye kazi kulingana na sheria na katiba. Mungu Mbariki Rais wetu mpya wa Tanzania.
 
Wairi anaapa kwa nani na waliopo wameapa kwa nani...
Duh naona waathirika wa 'uamuzi' wowote atakao chukua Mh.Samia, wameshaanza kutetea kazi zao. Wenyewe si watulie tu, Mama yetu afanye kazi kulingana na sheria na katiba. Mungu Mbariki Rais wetu mpya wa Tanzania
 
Nafikiri hujui maana ya "status quo" kwenye usomaji wa sheria.
Nafahamu Sana wewe ndio unataka kulazimisha uongo wako.

Katiba inaeleza wazi kwamba Mara Rais mteule anapoapa nafasi ya waziri mkuu inakoma.

Sasa kwa taarifa yako Mara baada ya magufuli kufa SSH alibadilika kutoka makamu wa rais na kuwa Rais Mteule.

Rais mteule ndio anaapishwa kushika madaraka ya nchi hapo serikali inakuwa mpya
 
Nafahamu Sana wewe ndio unataka kulazimisha uongo wako
Katiba inaeleza wazi kwamba Mara Rais mteule anapoapa nafasi ya waziri mkuu inakoma
Sasa kwa taarifa yako Mara baada ya magufuli kufa SSH alibadilika kutoka makamu wa rais na kuwa Rais Mteule.
Rais mteule ndio anaapishwa kushika madaraka ya nchi hapo serikali inakuwa mpya
Nimekujibu sehemu nyingie kuwa inaonyesha hujui maana ya phrase ya rais mteule, au kwa lugha za wenzetu president elect. tafuta maana hiyo kwanza ndipo uje tujadili katiba inasemaje.

Samia Suluhu hakuwa president elect baada ya Magufuli kufariki, bali aliendelea kuwa makamu wa rais hadi alipoapa kuwa atachukua madaraka ya urais. Mojawapo ya majukumu ya makamu wa rais ni kutekeleza majukumu kwa niaba ya rais wakati rais hayupo, ikiwa ni pamoja na kipindi ambacho magufuli alikuwa keshafariki kabla ya mama samia mwenyewe kuapishwa kuyachukua madaraka hayo rasmi. Alipoapishwa alikuwa siyo president elect bali aliapishwa akiwa makamu wa rais.

Wabishi wengi wasiokuwa na hoja ni wepesi wa kusema wanaopingana nao ni waongo. Mimi nakufa facts tu, siswemi kuwa wewe ni mwongo, ila naona kuwa hujui katiba inasemaje.
 
Ongoza vizuri Rais Samia ulete Umoja Na mashikamano. Wakina lisu, Lema, mange Roma warudishe ngurymo chachali warudishe hata manji akaiendeshe Yanga ili tuje kuwafunga bila malalamiko ya kuonewa Na utawala
 
Nimekujibu sehemu nyingie kuwa inaonyesha hujui maana ya phrase ya rais mteule, au kwa lugha za wenzetu president elect. tafuta maana hiyo kwanza ndipo uje tujadili katiba inasemaje....
Umetulisha tango. Katika campaign tunaichangia mgombea mwenzangu. Maana ya mwenzangu imekuchenga, huyu naye alichaguliwa kama kilaka hivyo naye hadhi take Ni Rais.

Ndio maana Rais Magufuri Marehemu aliwahi kusema anaweza fukuzq wotee lakini Samia Hana uwezo naye kufuatana Na katiba
 
Hawa TLS naona wanapuyanga tu!! Tatizo ukishajiona unajua sana mara zote lazima uharibu, hawa wanadhani sheria/katiba wanaijua sana kumbe wanapuyanga tu!...
Ulichoongea ni porojo tupu, unapaswa kuongea kisomi with material facts. Ukisoma andiko la TLS lina mashiko. Mfano mdogo walioutoa ni pale Waziri anapobadilishwa Wizara na Rais aliyepo, huapishwa tena na fact zingine nyingi walizozitoa.
 
Umetulisha tango. Katika campaign tunaichangia mgombea mwenzangu. Maana ya mwenzangu imekuchenga, huyu naye alichaguliwa kama kilaka hivyo naye hadhi take Ni Rais. Ndio maana Rais Magufuri Marehemu aliwahi kusema anaweza fukuzq wotee lakini Samia Hana uwezo naye kufuatana Na katiba
Sijui sasa unasema nini.

Matatizo yenu wengine mnasoma mabadiliko ya Urais kama vile ni mutatis mutandis- kwamba mabadiliko baada ya rais yatendelea mpaka ngazi ya chini, lakini katiba imeweka wzi kuwa mabadiliko hayo ni kwa watu wawili tu, yaani rais na makamu wa rais huku sehemu nyingine za serikali zikibaki status quo.

Ingekuwa ni Mutatis mutandis, basi itabidi hata bunge lifunguliwe upya na wabunge wote wa walioteuliwa na rais waache kuwa wabunge tena, wakuu wote wa mikoa na wilaya, maafisa utawala wa mikoa na wilaya zote, mawaziri wote na makatibu wakuu, pamoja na mbalozi wote wankuwa wamefutwa kazi. Hiyo ni Banana republic! Katiba haisemi hivyo
 
Hao wanao wapigia kelele TLS, hawana lolote, zaidi ni hofu tu kuwa watu wao wanaowalinda wanaweza wasirudi..
Wapo watu wanalipwa Miranda kwa kuwapigia debe kwa lolote lite sio maslahi ya Taifa na hasa nimegundua wengi ni wale wageni magumashi...
 
Mpaka sasa rais anaonekana aatuata nyayo za mtqngulizi wake.
Sivai barakoa...
 
Back
Top Bottom