Rais Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza

Rais Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kwa mara ya kwanza

Kuhusu baraza kulivunja,mi nadhani ni suala la muda tu. Kila zama na kitabu chake bwashehe.
Kikatiba baraza lilikwishavunjika automatically. Rais wa JMT kikatiba hapaswi kurithi baraza la mawaziri. Rais anapaswa kuunda baraza lake. Kilichofanyika leo kikatiba ni makosa kwani mwenyekiti wa baraza alikuwa ni wa awamu ya 6 wakati baraza ni la awamu ya 5. SSH leo hakuwa acting chair wa baraza kama alivyowahi kuwa siku za nyuma bali alikuwa full chair kwa baraza ambalo halijaapa kwake which is in breach of the constitution.
 
Tanzania kila mtu mwanasheria kisa mnajua kusoma na kuandika, wakija bodi ya uhasibu na ifrs zao pia mtatafsiri na wahandisi pia yote mnajua ninyi. Tujifunze kukubali taarifa za wataalamu kama wewe hujui kitu maana wao wanaongea na vifungu wewe unakuja na ngonjera, shule zipo tuu ukiwa na fees hata kama uliishia darasa la saba vyuo wanapokea sasa hivi...
 
Hawa TLS naona wanapuyanga tu!! Tatizo ukishajiona unajua sana mara zote lazima uharibu, hawa wanadhani sheria/katiba wanaijua sana kumbe wanapuyanga tu!!!


Kwanza uongozi wa SASA bado ni wa Serikali ya awamu ya Tano!! Si awamu ya Sita kama wengi wanavyodhani!


Mh: SSH ni Rais wa Sita lkn anaongoza Serikali ya awamu ya Tano ndio maana hata ilani anayoitumia haitabadilishwa!

Tulia dawa ikuingie..

Mwache mama aunde kikosi chake

Mwache mama awe na timu iliyoapa kumtii yeye bila shuruti..

Sisi tunajua huyu (SS) ni awamu ya sita, haya basi fanyani awamu ya sefuri kabisa ufurahi, lakn haiwezekani ukamkusanyia watu walioapa kuwa watiifu kwa mwingine wawe chini yake.

embu nikuilize, hivi uliandika chochote juu ya wale wabunge waliokuwa wanataka sheria ivunjwe, ili mtu aongoze nchi hii milele au unakenua mdomo kwa tls kwakua unajua wanakata umeme ulio jiungia?
 
Tanzania kila mtu mwanasheria kisa mnajua kusoma na kuandika wakija bodi ya uhasibu na ifrs zao pia mtatafsiri na wahandisi pia yote mnajua ninyi tujifunze kukubali taarifa za wataalamu kama wewe hujui kitu maana wao wanaongea na vifungu wewe unakuja na ngonjera shule zipo tuu ukiwa na fees hata kama uliishia darasa la saba vyuo wanapokea sasa hivi...
Hao wanao wapigia kelele TLS, hawana lolote, zaidi ni hofu tu kuwa watu wao wanaowalinda wanaweza wasirudi..
 
TLS hawajui kitu baraza la mawaziri huendelea kuwepo na lipo hadi lingine litakapoteuliwa lini Insallah Mungu akipenda
 
Kwa hiyo na wewe unakubali kuwa samia ni rais wa awamu ya 5? Samia ni rais kamili na soon atapandekeza makamu , baraza anaweza kuvunja au akaendelea nalo au akalifanyia mabadiliko, kitu pekee Hawezi kugusa ni bunge ila serikali anaweza kuibadilisha.
Suala lilikuwa waziri mkuu na Baraza la mawaziri lipo au halipo, vizuri wewe umesema anaweza kulivunja au kuendelea nalo, maana yake lipo.
Kwa hiyo wewe upo tofauti na wasomi wa TLS
 
Wairi anaapa kwa nani na waliopo wameapa kwa nani...

Na kwanini waziri akihamishwa wizara anaapa tena?

Raisi akiingia madarakani ndani ya siku 14 anatakiwa amteue waziri mkuu... je mama SHH hajaingia madarakani kama Rais wa nchi?
Kwa hiyo ndani ya siku 14, hivyo kwa sasa zinaendelea lililopo hadi atakapo badili au kuwathibitisha hawa
 
Hawa TLS naona wanapuyanga tu!! Tatizo ukishajiona unajua sana mara zote lazima uharibu, hawa wanadhani sheria/katiba wanaijua sana kumbe wanapuyanga tu!!!


Kwanza uongozi wa SASA bado ni wa Serikali ya awamu ya Tano!! Si awamu ya Sita kama wengi wanavyodhani!


Mh: SSH ni Rais wa Sita lkn anaongoza Serikali ya awamu ya Tano ndio maana hata ilani anayoitumia haitabadilishwa!
Swali: Waziri mkuu na mawaziri wengine waliapishwa na nani? Kiapo cha utii ni kwa Rais yupi?
 
TLS wameweka na vifungu vya katiba ya jamuhuri ya muungano ila wewe umeweka ugoro tu
TLS hawa ni ugoro tu; wakati mwingine ni afadhali kabisa wasingeandika hilo. Wameshindwa kutofautisha kati Rais aliyechaguliwa na Rais anayechukua nafasi ya Rais aliyechaguliwa kwa sababu yoyote ile kabla ya uchaguzi mwingine kufanyika. Wanafanya kama vile kifo cha Rais ni uchaguzi mwingine ambamo makamu wa Rais anapita automatically.
 
Rais Samia Suluhu Hassan muda mchache ujao ataongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri.

Updates;

Mawaziri wote wako ukumbini wakiongozwa na waziri mkuu na tayari Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi ameshaingia ukumbini.

Rais wa JMT mama Samia ameingia ukumbini na kufungua kikao na sasa majadiliano yanaendelea,

Hicho hakikuwa kikao Cha Baraza la mawaziri,
Nimeona Kuna ma katibu wakuuu, manaibu mawaziri ambao kimsingi sio wajumbe wa Baraza la mawaziri.
Hilo nadhani lilokuwa ni jumuiko tu la viongozi waandizi wa iliyokuwa serikali ya magufuli wanajadili utaratibu wa mazishi
 
TLS hawa ni ugoro tu; wakati mwingine ni afadhali kabisa wasigenadika hilo. Wameshindwa kutofautisha kati rais aliyechaguliwa na rais anayechukua nafasi ya rais aliyechaguliwa kwa sababu yoyote ile kabla ya uchaguzi mwingine kufanyika. Wanafanya kama vile kifo cha rais ni uchaguzi mwingine ambamo makamu wa rais anapita automatically.
Rais ni Rais tu hakuna tofauti ya rais aliyechaguliwa na wananchi na Rais anapata urais baada ya rais kufariki au kuwa mgonjwa
Kiapo ni kile kile
Kabla ya kuapishwa kwake bendera ya Rais inashushwa na akishaapishwa inapandishwa upya.
Embu kajifunze hii dhana ya kushusha na kupandisha upya bendera ya Rais wakati wa uapisho wa Rais mpya ndio utaelewa kwamba huyu ni Rais mpya na ni serikali mpya
 
Rais ni Rais tu hakuna tofauti yarais aliyechaguliwa na wananchi na Rais anapata urais baada ya rais kufariki au kuwa mgonjwa
Kiapo ni kile kile
Kabla ya kuapishwa kwake bendera ya rais inashushwa na akishaapishwa inapandishwa upya.
Embu kajifunze hii dhana ya kushusha na kupandisha upya bendera ya rais wakati wa uapisho wa rais mpya ndio utaelewa kwamba huyu ni Rais mpya na ni serikali mpya
Tafsiri mbovu hiyo.

Angalia mfano mzuri sana ulitokea Marekani mwaka 1963 wakati Kennedy alipouwawa. Baraza la kennedy lilikuwa hili
1616200220391.png


Lakini baada ya kifo cha kennedy, Johnson alichukua madaraka ya uraisi na baraza lake lilikuwa hili hapa chini. Angalia kuwa baraza lote aliloacha Kennedy liliendelea hadi baada ya Uchaguzi wa mwaka 1964. TLS hawa ni pumba sana.
1616200166244.png


Serikali ni institution, siyo ufalme wa mtu mmoja. Rais akifa, haina maana kuwa serikali imekufa!!
 
Nataka nione kama hawa jamaa wataendeleza juhudi za serikali kuhamia Dodoma, naona dalili kama mambo yatakuwa tofauti.
Hawana njia ya kutokea tena.

Dodoma haiwezi kurudi nyuma. Haiepukiki tena!
 
Tafsiri mbovu hiyo.

Angalia mfano mzuri sana ulitokea Marekani mwaka 1963 wakati Kennedy alipouwawa. Baraza la kennedy lilikuwa hili
View attachment 1729771

Lakini baada ya kifo cha kennedy, Johnson alichukua madaraka ya uraisi na baraza lake lilikuwa hili hapa chini. Angalia kuwa baraza lote aliloacha Kennedy liliendelea hadi baada ya Uchaguzi wa mwaka 1964. TLS hawa ni pumba sana.
View attachment 1729770

Serikali ni institution, siyo ufalme wa mtu mmoja. Rais akifa, haina maana kuwa serikali imekufa!!
Ya wamarekani tuwaachie wenyewe
Kimsingi SSH ni Rais mpya na kwa katiba yetu atatakiwa aunde serikali yake
Kuanzia Makamu wake, AG,PM, Ministers,Deputy Ministers,RCs,DCs, DGs and CEOs wa taasisi za serikali ambao wateule wake ni rais
 
Ya wamarekani tuwaachie wenyewe
Kimsingi SSH ni Rais mpya na kwa katiba yetu atatakiwa aunde serikali yake
Kuanzia Makamu wake, AG,PM, Ministers,Deputy Ministers,RCs,DCs, DGs and CEOs wa taasisi za serikali ambao wateule wake ni rais
Na wewe usilishwe pumba za TLS ukazimeza nzimanzima bila kuztafuna; katiba haisemi hivyo kwa vile SSH siyo rais aliyechaguliwa bali anaendeleaza urais wa yule aliyechaguliwa ambaye amefariki. Katika democratic society kama yetu, serikali inaingia madarakani kwa kuchaguliwa. Wakati wa uchaguzi SSH alikuwa mgombea mwenza kwa maana ya kuwa JPM asipokuwapo yeye atendeleza majukumu ya urais na ndivyo ilivyofanyika jana.
 
Na wewe usilishwe pumba za TLS ukazimeza nzimanzima bila kuztafuna; katiba haisemi hivyo kwa vile SSH siyo rais aliyechaguliwa bali anaendeleaza urais wa yule aliyechaguliwa ambaye amefariki. Katika democratic society kama yetu, serikali inaingia madarakani kwa kuchaguliwa. Wakati wa uchaguzi SSH alikuwa mgombea mwenza kwa maana ya kuwa JPM asipokuwapo yeye atendeleza majukumu ya urais na ndivyo ilivyofanyika jana.
Kwa taarifa yako aendelezi urais wa aliyemtangulia ndio maana kabla ya kuapishwa kwake bendera ya rais ilishushwa na baada ya kuapa ikapandishwa upya .
Embu jifunze hiyo dhana ya kushusha na kupandisha upya bendera ya rais pale Rais anapoapishwa, ina maana kubwa Sana kwenye huu mjadala
 
Kwa taarifa yako aendelezi urais wa aliyemtangulia ndio maana kabla ya kuapishwa kwake bendera ya rais ilishushwa na baada ya kuapa ikapandishwa upya .
Embu jifunze hiyo dhana ya kushusha na kupandisha upya bendera ya rais pale Rais anapoapishwa, ina maana kubwa Sana kwenye huu mjadala
Ni tafsiri mbovu hiyo na ni upindishaji wa katiba. Kama serikali yote ilikufa na Magufuli, basi hata Samia Suluhu asingekuwa Makamu wa rais tena. Yeye anenedeleza serikali iliyopo madarakani, hata baada ya JPM kufariki. Hata hivyo anaweza kabisa kuibadili akafuta mawaziri wote na kuweka wengine, lakisi siyo process ya automatic kama unavyojiaminisha kuwa serikali yote ilikufa na magufuli. Serikali ni taasisi siyo mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom