Rais Samia Suluhu Hassan: Hii ni Serikali ya Awamu ya 6

Hayati baba wa taifa alitawala miaka 23....mbona inasemwa ni awamu moja tu?!!!

Ndg.Polepole ataacha lini UROPOKAJI wa kitoto?!!!
 
Angetuundia tume yakuchunguza kifo cha magufuli kidogo sisi sukuma geng tungemuuelewa,hiii kupita hivi kimya kimya na anashuhudia magufuli akinangwa na wapumbavu wachache na hasemi chochote tunaumia sana.tunamuona naye ni walewale chawa
 
Awamu zinahesabika kwa vichwa vya marais so as to document legacy correctly! Hata akikaa mwezi, AWAMU IMEISHA NA LEGACY YAKE TAYARI, HUWEZI KUIUNGANISHA NA YA RAIS MWINGINE.
Swadaktaaaa! Ndiyo maana Zanzibar wapo awamu ya 8 kwasbb kuna vichwa 8 vimekaa ikulu ya Zanzibar
 
Ni aibu kubwa kwake ndg.Polepole...

Ukatibu wake mwenezi haukumpa elimu ya kujua kuwa AWAMU inahesabiwa kwa KICHWA ofisini?!!!!

Aibu kubwa kwa MROPOKAJI HUYU....

SIEMPRE CCM🙏
Awamu ni miaka mitano. Awamu moja inaweza tawaliwa hata na marais wawili.

Assume ndani ya miaka mitano marais watatu wamekufa, hivyo ndani ya miaka mitano tunakuwa na marais wanne. Je tutasema tumekuwa na awamu nne ndani ya miaka mitano. Au tumekuwa na marais wanne ndani ya miaka mitano(awamu moja)?
 
Akili ndogo bhana!Badala ya kujadili mambo madogo ya awamu tujadili jinsi ya kunusuru Taifa hili na ufisadi wa kutisha unaofanywa na serikali ya CCM ya Samia.
 
Wazee wa legacy wanataka kulazimisha agenda zao[emoji848].
Awamu ni kipindi kimoja cha urais kwa miaka 5 au 10 kama atachachaguliwa tena na kufikia kiwango cha juu kukaa kikatiba kama rais.Rais wa sasa ni rais wa pili wa awamu ya tano...na itaendelea hivyo iwapo rais anapatikana kwa njia nyingine tofauti na uchaguzi...swali hapa kama tunasema ni awamu ya 6 je katiba inasemqje kuhusu muda wa rais kukaa madarqkani kabla ya uchaguzi...je rais anqweza kukaa madarakqni kwa miqkq 4 uchaguzi ukafanyikq?
 
Rais Samia ni awamu ya 6. Kinachohesabu awamu sio kutoka Uchaguzi mmoja na mwingine au kutoka miaka 5 au 10. Kinachotambulisha awamu ni Jina la Rais. Nyerere ni awamu ya kwanza ingawa alitawala karibia miaka 27. Kwahiyo ikitokea Mama Samia leo akaacha Urais kabla ya 2025 akachukua Rais mpya basi tutahesabu awamu ya 7. Jina la Rais ndio awamu yenyewe.
 
Ndio maana tunataka katiba mpya.
 
Sio kosa la wasomi wala suala la kujiamulia.Bali ni matakwa ya katiba, Kuwa Rais akipokea kijiti ndani ya miaka isiýopungua mitatu hiyo itakuwa awamu yake
 
Kama angepokea kijiti ndani ya miaka miwili iliyobaki,Basi ingebaki kuwa awamu ya tano,Na angeruhusiwa kugombea mara mbili yaani 2025 na 2030
 
Kwamba 'wasomi' wetu wakifanikiwa ku"term" hizi awamu basi kero zetu kuu watanzania zitakuwa zimetatulika?
 
Achana na mambo ya awamu, wewe fahamu aliyepo ni Rais wa sita na hiyo inatosha, fuatilia mambo ya msingi.
 
Kwahiyo Magufuli kaongoza Tanzania kwa awamu mbili? Na kama ni hivyo basi hadi sasa tupo kwenye awamu sijui ya kumi na ngapi!
 
Awamu zinahesabika kwa vichwa vya marais so as to document legacy correctly! Hata akikaa mwezi, AWAMU IMEISHA NA LEGACY YAKE TAYARI, HUWEZI KUIUNGANISHA NA YA RAIS MWINGINE.
Sawa kabisa
 
Awamu haziko kikatiba bali ni jadi tu. Awamu zimezoeleka kumaanisha kipindi cha Rais fulani madarakani. Hata kama Rais Samia alikuwa VP wakati wa Magufuli. Kwa sasa yeye ni Rais kamili wa JMT na kwa hivyo ni Rais wa awamu ya 6.
 
Ukiniuliza mie ngwini nitakwambia ni awamu ya tano period.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…