Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Mkuu bado una legacy ya mtu aliyekufa asiye jua lolote na chochote kinacho endelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Mapovu nayo yanaruhusiwa?Mapuvu ni ruksa
Hangover ikikuisha utajua tupo awamu ya sita. Endelea kunywa maji kwa wingi itakusaidia.Naichukulia awamu ni kama safari ya basi kutoka Dar- Tandahimba!
Ni kama dereva wa basi akipatwa na la kumpata njiani, afu utingo ashike usukani, huwezi iita hiyo kuwa ni safari mpya au nyingine, unless urudi ulikotoka na kuiandaa nyingine!
Kama mnakerwa sana na kuitwa awamu ya tano
Basi tuiite 'awamu ya tano-sita! Maana inatekeleza maono na ilani ya awamu ya tano!
Kwa sasa tofauti ni kama utingo ndie anayeendesha basi letu la safati ileile ya kwenda Tandahimba😂🤣😂!
Mapuvu ni ruksa😂😂😂!
Awamu sio ilani ya chama chochte awamu nikipindi cha raisi aliowekwa na katiba,hivo inayozaa awamu ni katiba na katiba ina itearm awamu Kama mtu(raisi) anaeongoza serikali hamna tafsiri kwamba awamu lazima iwe miaka mitano au kumi ila imeeleza kuwa raisi ataruhusiwa kushika miaka mitano ataingia Tena kwene uchaguzi na anaweza ruhusiwa kuendeleza mitano Tena....hivo katiba yetu imeeleza namna raisi atakavopatikana ni kwa uchaguzi au Kama alivoingia samia...hivo katiba hairudi nyuma inamtambua mtu,magufuli is gone awamu yake imeishia pale alipoishia, samia nae ni raisi mpya kwa nguvu ya katiba na sio kwa ilani ya ccm...Naichukulia awamu ni kama safari ya basi kutoka Dar- Tandahimba!
Ni kama dereva wa basi akipatwa na la kumpata njiani, afu utingo ashike usukani, huwezi iita hiyo kuwa ni safari mpya au nyingine, unless urudi ulikotoka na kuiandaa nyingine!
Kama mnakerwa sana na kuitwa awamu ya tano
Basi tuiite 'awamu ya tano-sita! Maana inatekeleza maono na ilani ya awamu ya tano!
Kwa sasa tofauti ni kama utingo ndie anayeendesha basi letu la safati ileile ya kwenda Tandahimba[emoji23][emoji1787][emoji23]!
Mapuvu ni ruksa[emoji23][emoji23][emoji23]!
We ni zombi...Naichukulia awamu ni kama safari ya basi kutoka Dar- Tandahimba!
Ni kama dereva wa basi akipatwa na la kumpata njiani, afu utingo ashike usukani, huwezi iita hiyo kuwa ni safari mpya au nyingine, unless urudi ulikotoka na kuiandaa nyingine!
Kama mnakerwa sana na kuitwa awamu ya tano
Basi tuiite 'awamu ya tano-sita! Maana inatekeleza maono na ilani ya awamu ya tano!
Kwa sasa tofauti ni kama utingo ndie anayeendesha basi letu la safati ileile ya kwenda Tandahimba😂🤣😂!
Mapuvu ni ruksa😂😂😂!
Tundu lisu, ww hata ukijikwaa huko Imhotep utamtukana Magu! Utakoma sasa Mungu ameamua kumpumzisha na kumficha mbali na matukano yenu mfyuuuuuu 😡!Mtu katumbuliwa na Mungu bado mnamsifu
Zombi ww na vizazi vyako, siyo mimi bwashe😂🤣😂!We ni zombi...
Tundu lisu, ww hata ukijikwaa huko Imhotep utamtukana Magu! Utakoma sasa Mungu ameamua kumpumzisha na kumficha mbali na matukano yenu mfyuuuuuu 😡!
Naichukulia awamu ni kama safari ya basi kutoka Dar- Tandahimba!
Ni kama dereva wa basi akipatwa na la kumpata njiani, afu utingo ashike usukani, huwezi iita hiyo kuwa ni safari mpya au nyingine, unless urudi ulikotoka na kuiandaa nyingine!
Kama mnakerwa sana na kuitwa awamu ya tano
Basi tuiite 'awamu ya tano-sita! Maana inatekeleza maono na ilani ya awamu ya tano!
Kwa sasa tofauti ni kama utingo ndie anayeendesha basi letu la safati ileile ya kwenda Tandahimba😂🤣😂!
Mapuvu ni ruksa😂😂😂!
Ndio huo sasa uliohai!kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza nchi na kuendesha bus hebu tafuta mfano hai.
Rais wa 6 ktk awamu ya ✊ period!Hivi Mh Mama Samia ni Rais wa 6 au ni Raisi wa awamu ya 6..??
We nayeeeee, oovyo kabisa!Acha kuabudu mpaka marehemu wewe MATAGA usiye jielewa.