mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
JPM alikuwa hasafiri mlilalamikaHaki ya nani airbus za mwendazake zitajuta kumfahamu!
Mama ana safari mnalalamika
Aise
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM alikuwa hasafiri mlilalamikaHaki ya nani airbus za mwendazake zitajuta kumfahamu!
Kiongozi umeongea!!If you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
Thank you madam president you really struggle for the best future of Tanzania,go on go on Kujifungia kama mwali hakuwezi kulisaidia taifa letu.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26)...
Jpm alipokuwa hasafiri mlikuwa mnalalamikaHii ni serikali ya kina vasco da gama.
Angalia Makamba alikua anazurula uarabuni eti anapeleka ujumbe maalum wa rais Samia Suluhu...
Lisu na yeye atahutubia lini? Si nilisikia yupo katika list ya wahutubiaji au ni kelele za misukule yake tu huku mitandaoni?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26)
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa
View attachment 1990991
Jpm alipokuwa hasafiri watu humu walikuwa wana pandaIf you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
Aisee ndio maoni yako hayaIf you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
Yah lazima aende akajichanganye na wenzakeThank you madam president you really struggle for the best future of Tanzania,go on go on Kujifungia kama mwali hakuwezi kulisaidia taifa letu.
Mimi nimeongelea airbus za Mwendazake kutendea haki! Kuna mahali nimelalamika kweli!! Hata kama ningelalamika, ingesaidia nini!Jpm alikuwa hasafiri mlilalamika
Mama ana safari mnalalamika
Aise
Ova
Sasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi si angesafiri tu? Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana matumizi ni uwongo tu.Hv mwendazake akiamka wakazi maza yupo Scott land itakuweje!!???
Kingereza sio issue kwa ulimwengu wa sasa ww blaza unaishi ulaya ipi!!?Sasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi angesafiri tu. Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana ni uwongo tu.
Acha aendelee kuchezea vitasa huko kuzimu!
Kiingereza kinasaidia niniSasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi si angesafiri tu? Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana matumizi ni uwongo tu.
Acha aendelee kuchezea vitasa huko kuzimu!
Wee endelea tu Dogo. Nitadukua account yako ya cyptol ni kuibie hivo vi coin uchwara ulivyowekeza.Kingereza sio issue kwa ulimwengu wa sasa ww blaza unaishi ulaya ipi!!?
ama Ugiriki!?
WaTZ tuna Shida sana Mkuu, Mimi nikiwa na dingi ambaye kutwa anashinda ndani hatoki nje kukutana na watabe wenzake wampe deals za hapa na pale aongeze kipato cha familia nitamuona kama jinga flaniJpm alipokuwa hasafiri watu humu walikuwa wana panda
Mama anasafiri wanalalamika...
Kabisa,lazima ujichanganyeWaTZ tuna Shida sana Mkuu, Mimi nikiwa na dingi ambaye kutwa anashinda ndani hatoki nje kukutana na watabe wenzake wampe deals za hapa na pale aongeze kipato cha familia nitamuona kama jinga flani
Sasa si ndio hapo tunamshangaa mwendazake kwa nini aliogopa kusafiri. Hata hivyo alifanya vizuri angelaibisha taifa. Fikiria angekutana na Boris na kujipendekezapendekeza... you know me and you photocopy together (tunafanana) .Kiingereza kinasaidia nini
Angeweza kuongea kwa kiswahili tu kwani shida ingekuwa wapiSasa si ndio hapo tunamshangaa mwendazake kwa nini aliogopa kusafiri. Hata hivyo alifanya vizuri angelaibisha taifa. Fikiria angekutana na Boris na kujipendekezapendekeza... you know me and you photocopy together.
Sasa si ndio hapo tunamshangaa aliogopa bure tuuAngeweza kuongea kwa kiswahili tu kwani shida iko wapi