cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Hakutaka kwenda maana hajaona faida yakeSasa si ndio hapo tunamshangaa aliogopa bure tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakutaka kwenda maana hajaona faida yakeSasa si ndio hapo tunamshangaa aliogopa bure tuu
Yule aliyekuwa hachomi kodi za wajinga hakuwahi kusafiri kabisa (anadai alikuwa anabana matumizi), lakini HAKUTOA AJIRA kwa miaka 5 ya utawala wake wa propaganda (hizo hela alizobana sijui alipeleka wapi)! Huyu anayechoma kodi za wajinga ndani ya miezi 7 ameshagawa ajira zaidi ya 20k, na miradi ya hovyohovyo aliyoachiwa anaimalizia.....Chomelea mbali kodi za wajinga hao.
Wapiiiii. Unajua alivyo kuwa chato mbunge vituko alivyofanya. Kuna wafadhili walitaka Canada akawa yeye ndo mtafsiri wao kwa wananchi. Wale wafadhili walipomaliza kuwahutubia wananchi wakawaaga BYE BYE, Jamaa akatafsir NUNUA NUNUAHakutaka kwenda maana hajaona faida yake
Nchi yetu bado sana kupata dipromasia ya uchumi kwa kwa viongozi wetu na hizo ziara.Ichambue safari katika muktadha wa gharama au athari inazoweza kisababisha kiuchumi au kidiplomasia.
Nimecheka sanaWape Raha mama
Wewe ni mpuuziIf you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
Huku ndiko ni kuufungua uchumi kwenyewe.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26)
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa
View attachment 1990991
Wewe ni mpuuziIf you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
huyu Boss ni mpuuzi tuAisee ndio maoni yako haya
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26)
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa
View attachment 1990991
Mama kakuta keshatengenezewa mazingira,acha asafiri mimi kwanza haniathiri chochote huyo bibi😂😂😂Yule aliyekuwa hachomi kodi za wajinga hakuwahi kusafiri kabisa (anadai alikuwa anabana matumizi), lakini HAKUTOA AJIRA kwa miaka 5 ya utawala wake wa propaganda (hizo hela alizobana sijui alipeleka wapi)! Huyu anayechoma kodi za wajinga ndani ya miezi 7 ameshagawa ajira zaidi ya 20k, na miradi ya hovyohovyo aliyoachiwa anaimalizia.....
![]()
Yule Mtoto wao Ana umri gani?Jk ndio mentor wake, hakuna maajabu hapo
Sawa, kamsalimie Babu...Mama kakuta keshatengenezewa mazingira,acha asafiri mimi kwanza haniathiri chochote huyo bibi😂😂😂