Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wajane bado mpaka sasa wako eda hawajaamini kilichotokea.jingalao akisoma hii anacheeeka kwa kazi nzuri ya mama.
Bia yetu
kawe Alumn
magu2016
Magufulist Nyererist
Magonjwa Mtambuka
Elitwege
hivi rais haruhusiwi kusafiri!? umekula maharage ya wapi aisee..Huyu bibi anahangaika!
She's incapable to be a president.
Safari njema mkuu.Inasemekana ni kesho...
Koma!Safari njema mkuu
Mwenyezi Mungu akutangulie ktk safari yako na uwe na mkutano mwema wenye tija na mafanikio kwa nchi yetu
We love you Madam
Mmmgh waende salamaInasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika 😂
Jamani tatizo ni gharama safari moja inaghalimu mamilioni na hizi tozo zitazidi hivi punde tutaanzishiwa tozo ya madaftari kwenye majiYah lazima aende akajichanganye na wenzake
Aone dunia inaendaje dunia inataka nini
Ova
utajua hujuiHawa wajane bado mpaka sasa wako eda hawajaamini kilichotokea.
wewe ni mjane wa gaidiHawa wajane bado mpaka sasa wako eda hawajaamini kilichotokea.
Kama mpambe wa mama 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Sasa jk anaenda kama nani
Siipiendi kabisa hii kauli, tena inachefuaHangaya anaupiga mwingi.
Hilo nalo nenoIf you smile to the world....the world will smile back to you ...
Hakuna kujifungia fungia kama mchawi
Kigogo siku hizi amekuwa kitawi tuu kwisha habari yake...Anaenda kukutana kigogo aka mlawa
Eti kitengo 2014 ndo wamemshauri
Mama yuko desperate,
Sukuma gang mnaenda kuumizwa tena