Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,122
Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo
Mhamasishaji kama Mwijaku et elSasa jk anaenda kama nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo
Mhamasishaji kama Mwijaku et elSasa jk anaenda kama nani
Aliyekuwa anampenyezea habari naona alisitishaKigogo siku hizi amekuwa kitawi tuu kwisha habari yake...
kwani zilinunuliwa zifanye kazi gani? Zitumike tu ndio kazi yakeHaki ya nani airbus za mwendazake zitajuta kumfahamu!
Umepoteza ww ss tupoKama taifa tumepoteza mwelekeo
Kufanya nini? China, Russia hawaendi Si angewakilishwa na Balozi tuInasemekana ni kesho.
Nyepesi ataambatana na mzee wa Msoga wanaenda kuhudhuria kongamano lihusulo mazingira.
Kazi mnayo Wadanganyika 😂
wote ni mavumbi na mavumbini Tutarudi.!!!!Sasa mtu anaiba matrilion hazina hadi rambirambi si angesafiri tu? Tatizo lilikuwa kiingereza na exposure. Kutudanganya eti alikuwa anabana matumizi ni uwongo tu.
Acha aendelee kuchezea vitasa huko kuzimu!
Huu uongo wenu utawatokea puaniNaamini atakuwepo, maana hata ule wa New York alikuwepo. Alafu wakaficha, Sasa najiuliza wanaficha nini ili iweje? Hawajui kuwa wabongo sio watu wa kumind kihivyoo
Duh eti wanatembea na mabegi yamejaa madola,hivi ukiombwa ushahidi si utaba maviHii ni serikali ya kina vasco da gama.
Angalia Makamba alikua anazurula uarabuni eti anapeleka ujumbe maalum wa rais Samia Suluhu.
Ukiangalia perdiem zao utalia. Enzi zile za jk walikua wanatembea na mabegi yamejaa dolar, sasa sijui wanatembea na kirikuu ama kitu gani.
Rais kusafiri sio shida ila sio kusafiri safiri kila siku uko safari. Enzi za kikwete washkaji walimuwekea ratiba ya miaka 5 mbele, ukitoka hapa unaenda hapa unaenda pale unaenda kule.
Kazi ipo.
Kapigwe miti huko, achana na waume za watu.Duh eti wanatembea na mabegi yamejaa madola,hivi ukiombwa ushahidi si utaba mavi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nani asiyejua kama hizo ziara zenyewe anamtafutia yeye Jk hata hizo hotuba anamtafutia yeye, ajiweke tu wazi asijificheBiden kaapishwa January, overseas trip = 5 trips, mama yetu kaapishwa March, trip =10.
Mzee wa msoga anampoteza mama Yetu. watu wanamtoa mama nje ili huku nyuma watupige...mama zaidi ya mialiko ya kufungua shughuli fulani na hizi trip za nje hakuna kingine anafanya...amekua km mkulima wa tikiti kwa watsap, haendi field kukagua miradi.
sasa unabisha nini ? kama una mtu NMB muulize, siku moja kabla ya safari land cruiser za Ikulu na za foreign affairs zinakwenda benki kuchukua dollar. Wakiwa safarini wanabeba dollar cash kwenye ma briefcase ambazo Rais na msafara una access nazo. Magufuli ndio alikatisha huu ujangili. Usibishe bro, wabeba briefcase wengine tunawajua personally, hatuwezi kutaja majina humu... hii nchi imechezewa sana.... nasikia anasafiri na Kikwete, Ukikwete umerudi in full effect, Mzee hana chembe ya uzalendo...Duh eti wanatembea na mabegi yamejaa madola,hivi ukiombwa ushahidi si utaba mavi
Kazi ya Tony BlairRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26)
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa
View attachment 1990991
Piga kelele kwa mama...Safi sana mama kazi iendelee
Punguza jazba mataga pori.wewe ni mjane wa gaidi
Hahaha, Mpango aliachiwa nchi siku 6 akasema aliogopa!! Yaani kazi ambayo Samia anaiweza 100% Mpango anaiogopa, A man...Nchi iko pw, Aman Kama yote. Ata akienda mazma powa tu....arud 2025
Mkutano huo wa COP 26 Rais hajawahi kuhudhuria tangu 2015-2021 march, huu mkutano wa mwaka huu una nini cha ziada?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 30 Oktoba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za mabadiliko ya tabianchi (COP 26...