Umeona kama mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona kama mimi
Kongamano hilo kubwa la Viongozi wa Dini litafanyika Aprili 18, 2021 katika Ukumbi wa Chimwaga Dodoma.
Mheshimiwa Rais wa Tanzania Mama Samia pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi watahudhuria wakiwa wageni rasmi
Sasa hiyo picha ya Magufuli Ni ya nini hapo wakati anaendelea kutumikia adhabu yake huko alikoKongamano hilo kubwa la Viongozi wa Dini litafanyika Aprili 18, 2021 katika Ukumbi wa Chimwaga Dodoma.
Mheshimiwa Rais wa Tanzania Mama Samia pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi watahudhuria wakiwa wageni rasmi
Moyo wako,mtanzania ni mimi.Magufuli anaendelea kuishi kwenye mioyo ya Watanzania.
Hakuna mtu amesema wewe ni Mbelgiji.Moyo wako,mtanzania ni mimi.
Sasa ukome kusema watanzania.Hakuna mtu amesema wewe ni Mbelgiji.
Mkatoliki wa wapi wewe? Yaani wewe uwaombee watakatifu?Wakatoliki tunaamini Kanisa la wasafiri/linalosafiri hapa duniani linaweza kuwaombea Kanisa la ushindi/lililoshinda huko Mbinguni; and vice versa.
Soma tangazo mpaka mwisho kwa chini hapo KARIBU TUMSHUKURU MUNGU KWA MAISHA YA HAYATI MAGUFULI
Usijumuishe wakristo wote, ainisha dhehu lako. Cc wakatoliki huwa tunawaombea marehemu. Ila kama marehemu alikuwa na dhambi ya mauti eg kuuwa, kudhulumu watu fedha yao kama bureau de change, wafanya biashara, kuiba kura na mabaya mengine, hawezi kunufaika na maombi hayo. Badala yake Mungu huwarehemu wengine waliokuwa na dhambi ndogondogoImani ziko tofauti. Sisi wakristo hatuamini kuwa mtu anaweza kumuombea mtu mwingine msamaha, kila nafsi itaomba msamaha peke yake. Kama hakuomba alipokuwa na pumzi, ndio imetoka.
Lengo la kongamano ni kumuombea, au wenzetu hamjui kusoma?Sasa hiyo picha ya Magufuli Ni ya nini hapo wakati anaendelea kutumikia adhabu yake huko aliko
Ni kongamano la kumuombea Magufuli huko alipo na kutoa nafasi kwa Mama kuwasamahe mashehe wa uhamsho ndio sababu ya Rais Husein Mwinyi nae kualikwa.Kongamano linakwenda kujadili nini?
Mnamuonea wivu hayati jamani. Mfe na nyinyi muone kama mtakumbukwa ivo
Wamfufue kabisaLengo la kongamano ni kumuombea, au wenzetu hamjui kusoma?