That Gentleman JF-Expert Member Joined Dec 16, 2016 Posts 2,215 Reaction score 3,678 Jul 16, 2021 #201 Ohooo!
Memento JF-Expert Member Joined Jun 13, 2021 Posts 4,423 Reaction score 9,986 Jul 16, 2021 #202 Darmian said: Mama amenikosha sana. Kumbe walikuwa wanatumia mabavu hadi kukwapua hela za watu kwenye account zao za benki. Kama analoongea ndo alilokusudia kulisimamia basi sekta hii ya biashara na uwekezaji itaanza kustawi tena. Click to expand... Mkuu ccm sio wa kuwawekea mdhamana si unaona leo kinachofanyika
Darmian said: Mama amenikosha sana. Kumbe walikuwa wanatumia mabavu hadi kukwapua hela za watu kwenye account zao za benki. Kama analoongea ndo alilokusudia kulisimamia basi sekta hii ya biashara na uwekezaji itaanza kustawi tena. Click to expand... Mkuu ccm sio wa kuwawekea mdhamana si unaona leo kinachofanyika
N Ngariba1 JF-Expert Member Joined Jan 12, 2017 Posts 1,829 Reaction score 3,807 Jul 16, 2021 #203 Ohoo!
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 6,716 Reaction score 12,116 Jul 16, 2021 #204 CCM MADICKTETA
W Wakudadavuwa JF-Expert Member Joined Feb 17, 2016 Posts 17,506 Reaction score 16,003 Jul 16, 2021 #205 Lipa kodi kamanda acha kubweka Daudi Mchambuzi said: Bora aisee maana huyo aliyepewa hiyo kazi hakawii kuteka mfanyabiashara kudai kodi. Click to expand...
Lipa kodi kamanda acha kubweka Daudi Mchambuzi said: Bora aisee maana huyo aliyepewa hiyo kazi hakawii kuteka mfanyabiashara kudai kodi. Click to expand...
B Bongo dar es salaam Senior Member Joined May 11, 2020 Posts 172 Reaction score 469 Jul 16, 2021 #206 Huyu mama kama hizi ndio akili alizotumia kazi ipo
Sisyphus JF-Expert Member Joined Oct 8, 2015 Posts 4,062 Reaction score 5,741 Jul 16, 2021 #207 Tumeona akili uliyoitumia Mama ... MAMA mwenye akili zake oyeee
venine JF-Expert Member Joined Nov 11, 2010 Posts 1,458 Reaction score 1,569 Jul 16, 2021 #208 Evelyn Salt said: Mama alikua na mzigo sana kaubeba moyoni, pole Mama... Click to expand... Tupe updates... nani kabeba mzigo kwa sasa?
Evelyn Salt said: Mama alikua na mzigo sana kaubeba moyoni, pole Mama... Click to expand... Tupe updates... nani kabeba mzigo kwa sasa?
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Jul 17, 2021 #209 venine said: Tupe updates... nani kabeba mzigo kwa sasa? Click to expand... Sahihi hamna mzigo, tupo free yani....
venine said: Tupe updates... nani kabeba mzigo kwa sasa? Click to expand... Sahihi hamna mzigo, tupo free yani....