Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mkuu, angekuwa ndio marehemu Magufuli ameongea maneno aliyoongea Mh. Rais Samia S. Hassan hata huyu anayepinga angeshangilia na kusema kasema kweli. TRA kuna tatizo kubwa sana, hii nchi haikuwa ya kukusanya kodi ya trillion 1 halafu unajisifu. Nchi hii ni kubwa na ina vyanzo vingi vya mapato. TRA waende kwenye nchi zingine wakajifunze namna ya kukusanya kodi bila kelele na nguvu.Huyo sidhani kama ni mfanyabiashara.
Kabisa mkuu.Kweli Mkuu, angekuwa ndio marehemu Magufuli ameongea maneno aliyoongea Mh. Rais Samia S. Hassan hata huyu anayepinga angeshangilia na kusema kasema kweli. TRA kuna tatizo kubwa sana, hii nchi haikuwa ya kukusanya kodi ya trillion 1 halafu unajisifu. Nchi hii ni kubwa na ina vyanzo vingi vya mapato. TRA waende kwenye nchi zingine wakajifunze namna ya kukusanya kodi bila kelele na nguvu.
Sio kweli, umewahi kufanya biashara wewe? Nenda TRA ukawaone wananchi wanavyojitokeza kwa wingi kulipa kodi kwa hiyari. Halafu waangalie ndugu zako wa TRA wanavyowafokea walipa kodi waliojitokeza bila shuti.Weee mdanganye tuu,
nchi hii ni nani aliye tayari kulipa kodi stahili kwa biashara/ shuguli anayo ifanya labda mfanyakazi tuu through PAYE, Kila mfanya biashara ana wazo la kukwepa kodi ili maximize mapato yake., mwacheni rais akusanye kodi
Watendaji Wajinga.Sio kweli, umewahi kufanya biashara wewe? Nenda TRA ukawaone wananchi wanavyojitokeza kwa wingi kulipa kodi kwa hiyari. Halafu waangalie ndugu zako wa TRA wanavyowafokea walipa kodi waliojitokeza bila shuti.
Hats kina Zakayo walikuwa na ujuzi na elimu ya kukusanya kodi.sasa tz waalimu tu ndio hawakusanyi kodi,ushuru na madhuhuri mengine ya serikali,utakuta afisa afya badala kuelimisha jamii mambo usafi mwaka mzima yuko busy kukusanya ushuru was taka taka na faini za uchafuzi was mazingira,afisa biashara busy anakusanya ada ya leseni za biashara,ushuru wa huduma,mabango.Bora kasema maana huyo waziri wa feza anaweza kuagiza wafanyabiashara wanaodaiwa kodi wamwagiwe tindikali.
Tutaendelea kutamani kufika huko tu always, shida ya bongo kila kitu ni kukiingizia siasa tu. Wenzetu hiko kitu wamefunzwa toka utotoni ni kama utamaduni wa mtu aliyestaarabika ila japokuwa wapo vichwa ngumu hawapendi kulipa kodi ila imewekwa kama geti kwenye kila unalofanya lazma upitie kwwenye kodi incase litahusisha mapato na mwisho wa mwaka wanafanyaga Tax filing. Ukiwa mlipa kodi mzuri kuna sehemu ya hela unarudishiwa.natamani hii mentality iwe induced kwetu.
sijui wazungu wamewezaji kuzishawish jamii zao zilipe kodi.
imefika mahali wanaona aibu hata wasipo lipa kodi. yaani kwao wanasikia msukumo toka moyoni kabisa.
lini tutafika huko?
hii sentensi ya mwisho ina reflect how mich mamlaka zimeshindwa kuswashawish wananchi kuona jukumu la kulipa kodi ni lao.Tutaendelea kutamani kufika huko tu always, shida ya bongo kila kitu ni kukiingizia siasa tu. Wenzetu hiko kitu wamefunzwa toka utotoni ni kama utamaduni wa mtu aliyestaarabika ila japokuwa wapo vichwa ngumu hawapendi kulipa kodi ila imewekwa kama geti kwenye kila unalofanya lazma upitie kwwenye kodi incase litahusisha mapato na mwisho wa mwaka wanafanyaga Tax filing...
Elewa humu kwenye bara letu la giza Africa hakuna mfanyabiashara anayelipa kodi halali,I mean ile halali kabisa kwamba mfano 1000/= kwa 370/= hata hao unaosikia wamepewa tuzo wanakuwa wameunga unga tu hesabu ila kuna sehemu wanapiga.Sisi wananchi wenyewe kulipa kodi bila kusukumwa ni mtihani!! Ukisema leo waje kwa kulemba kwenye kodi aaah hawapati ata bilion 1 kwa mwezi. Wakwepa kodi wengi wanajua kama wanakwepa kodi na wanafanya hivo ili faida ipige maradufu.
Kwani wewe unalishwa na serikali au kula unatafuta mwenyewe?Hii ni kauli ya kutokujua,,watu wanakwepa kodi kila siku K'koo,vitu vya laki mbili unapewa risiti ya 65000..usipotumia nguvu,tutakula nyasi humu ndani.
Rais Samia Hassan hasiishie kuwaonya Wizara ya fedha tu, hata Wizara ya mawasiliano imeanza vibaya kwa kukumbatia makampuni ya simu Nchini na kuwasahau raia wanyonge,mashule na vyuo,wizara ya afya nk yaani kundi linalo tumia internet kwa wingi katika masuala kujifunza mambo mengi online pamoja na mawasiliano yanayo simamiwa/endeshwa kwa kupitia apps za whatsapp, Skype etc.Bora kasema maana huyo waziri wa feza anaweza kuagiza wafanyabiashara wanaodaiwa kodi wamwagiwe tindikali.