Mbona M7 hakuja kumzika rafiki yake?
Yule mzee muoga kwenda kwenye mazishi kama mwenda zake!Mbona M7 hakuja kumzika rafiki yake?
King Solomon alimualika malkia wa sheba baadae malkia akamzaa Menerik....
Kumbe tabia zao zinafanana bila kumsahau hata Kagame pia hakutia timu pale ChatoYule mzee muoga kwenda kwenye mazishi kama mwenda zake!
Ulijuaje ni rafikiMbona M7 hakuja kumzika rafiki yake?
Kikwazo kimeshaondoka sasa mambo yanaanzaPengine mitaro ya kulaza bomba la mafuta ikaanza kuchimbwa sasa
Walikuwa wanasema kuwa wao ni marafiki maana hata kwa tabia zilikuwa zinafananaUlijuaje ni rafiki
Wao walisema hivyoUlijuaje ni rafiki
Wale ni ndege wafananao mkuu!Kumbe tabia zao zinafanana bila kumsahau hata Kagame pia hakutia timu pale chato
Kwa speed sana pengine alikuwa anataka bombo liende ziwa Victoria Chato!Kikwazo kimeshaondoka sasa mambo yanaanza
Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya safari yake ya kwanza ya kikazi nje ya Nchi kwa majirani zetu Uganda.
Rais Museveni amemualika Rais Samia kwenye kuzungumzia masuala mbalimbali huku kubwa likiwa ni Pomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima
View attachment 1748106
Vipi unahamu na supika wa bunge la tz?Aende amevaa barakoa kule wanavaa barakoa