Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Dada yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dua mbaya haombolezewi mtotoHatujasahau yaliyompata Garang akitokea Uganda kwa mara ya mwisho!
😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 [emoji95] [emoji95] [emoji95]
Hakika kabisa mkuu maana nimeyaona kwa macho yangu yaliyo mkuta Bob wine na yale aliyokutana nayo Lissu.Wale ni ndege wa fananao mkuu!
Chato anaijua nani wewe?Wakutanie chato karbu
Pamesha futika kwenye vitabu na ratiba za ikuluSi wakutane tu hapo Chato?
Huo ushauri wako ungempatia jiwe labda usingekuwa yatima au mjaneAende amevaa barakoa kule wanavaa barakoa
HILO NI ANGALIZO KWA ADUI!Dua mbaya haombolezewi mtoto
Hayupo sasa wanendeleza wengineHii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.
Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...
Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.
Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂
Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Tulia basi uandike kitu kinachoeleweka, kwani uko wapi na umekaa juu ya nini?Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.
Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...
Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.
Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂
Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Mbona jiwe alikuwa anaitembelea hiyo uganda na hujawahi kumkosoa tena kwa kumvunjia heshima mama yetu rais wa nchi?Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Wamevurugwa hao wao kazi waliyobakia nayo ni kutukana, kulaumuTulia basi uandike kitu kinachoeleweka, kwani uko wapi na umekaa juu ya nini?
Tupo pamoja kama watanzania ukiwaondoa wale waliokuwa wanajiaminisha kuwa watabakia kwenye utawala kwa maisha yao.Kila la heri madam president,make Tanzania greater again,like the way it was before mwendazake Eras...
Unazo dua zetuuu
Waganda ni waumini sana wa dini.Waganda watasema kumbe Raisi wa Tanzania ni Hajat[emoji16] ni pale watakapouona ushungi.
AiseeUpuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mu7 aliogopa ile nyomi. Ujue mzee yule ni above 75 yrs old na most likely ana other “underlying health issues”Mbona M7 hakuja kumzika rafiki yake?