Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Hatujasahau yaliyompata Garang akitokea Uganda kwa mara ya mwisho!
😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 [emoji95] [emoji95] [emoji95]
Dua mbaya haombolezewi mtoto
 
Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.

Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...

Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.

Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂

Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Hayupo sasa wanendeleza wengine
 
Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.

Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...

Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.

Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂

Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Tulia basi uandike kitu kinachoeleweka, kwani uko wapi na umekaa juu ya nini?
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mbona jiwe alikuwa anaitembelea hiyo uganda na hujawahi kumkosoa tena kwa kumvunjia heshima mama yetu rais wa nchi?
 
Waganda watasema kumbe Raisi wa Tanzania ni Hajat😁 ni pale watakapouona ushungi.
 
huyu ndiyo rais sasa.

siyo yule aliyekuwa kila baada ya dakika 30 anaingilia uhuru wetu wa kutazama tv.

he tresspassed our viewing rights for petty issues.

akitembelewa na chawa,lazima tbc wajiunge live.

akipikiwa ugari mbichi na mama janeth,lazima ajiunge live.

damnit!

bora huyu,mpaka sura yake mpaka tunaimiss!

at least awamu hii wale viongozi wa chini watapata wasaa nao kuzindua baadhi ya miradi.
 
Kila la heri madam president,make Tanzania greater again,like the way it was before mwendazake Eras...

Unazo dua zetuuu
Tupo pamoja kama watanzania ukiwaondoa wale waliokuwa wanajiaminisha kuwa watabakia kwenye utawala kwa maisha yao.
 
Back
Top Bottom