Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mama kula maisha wakati haya mataga yakiteseka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani haikuchimbwa?Pengine mitaro ya kulaza bomba la mafuta ikaanza kuchimbwa sasa
Kunguru kukimbiza bawa lake siyo ujingaMu7 aliogopa ile nyomi. Ujue mzee yule ni above 75 yrs old na most likely ana other “underlying health issues”
Mungu katu nusuru!Hakika kabisa mkuu maana nimeyaona kwa macho yangu yaliyo mkuta Bob wine na yale aliyokutana nayo Lissu.
Shukrani kuu zimwendee muumba wetuMungu katu nusuru!
Malaika jiwe tayari kafa na ameshafukiwa mkewe soon ataanza kushughulikiwa na mabaharia.Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.
Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...
Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.
Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂
Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Si wakutane tu hapo Chato?
Kuna mwaka tuliwaonea wivu warudi kwa kufiwa,Mungu akajibu maombi.Shukrani kuu zimwendee muumba wetu
Alishamuona mpuuzi kutokana na Ukinjenketile Ngwea wake kwenye swala la covid19Mbona M7 hakuja kumzika rafiki yake?
Chanjo ni hiari na sio lazima.Mama mwambie museven hatutaki chanjo ya korona
Mama kumbuka kuvaa barakoa
Wewe jinga kabisa huna lolote hujui anachoenda kufanya huko nyie sukama gang mtateseka sanaaUpuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na mawazo yako.Alishamuona mpuuzi kutokana na Ukinjenketile Ngwea wake kwenye swala la covid19
Asimlishe tu sumu za udiktetaHakika kabisa mkuu maana nimeyaona kwa macho yangu yaliyo mkuta Bob wine na yale aliyokutana nayo Lissu.
Majitu wengine bado wana mawazo ya kushukutishwa kama walivyo zoezwa na malaika wao.Chanjo ni hiari na sio lazima.
Kwani mama yako unajua amekalia juu ya nini?Tulia basi uandike kitu kinachoeleweka, kwani uko wapi na umekaa juu ya nini?
Hilo nalo neno lkn itakuwa ngumu sana maana mama kwa sasa kahitimu kupitia kwenye shule ya dikiteeta na bado hana elements za udikiitetaAsimlishe tu sumu za udikteta
Wacha hizo za matusi wewe ChawaKwani mama yako unajua amekalia juu ya nini?