Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Rais Musseveni alisha sema kabla ya Kifo cha mwenda zake walishapanga tarehe za march kutiliana sahihi kuhusu mradi wa bomba la mafuta.

Rais Musseveni ameshakiri mara kadhaa ni mfuatiliaji wa mambo ya Tanzania. Tuna muomba amsaidie mwenzake huyu kwa uzoefu wake, kuwa SSH awe makini na kujiepusha na watu wanao jipendekeza na viushauri dhaifu, hasa wale wanaotaka kutoa hasira zao juu ya mwenda zake. Wanaweza wamsababishe na kumpelekea anguko kuu ambalo pengine hata hakuwahi kulitarajia ama kulifikiria akilini mwake.
 
Rais Musseveni alisha sema kabla ya Kifo cha mwenda zake walishapanga tarehe za march kutiliana sahihi kuhusu mradi wa bomba la mafuta.

Rais Musseveni ameshakiri mara kadhaa ni mfuatiliaji wa mambo ya Tanzania. Tuna muomba amsaidie mwenzake huyu kwa uzoefu wake, kuwa SSH awe makini na kujiepusha na watu wanao jipendekeza na viushauri dhaifu, hasa wale wanaotaka kutoa hasira zao juu ya mwenda zake. Wanaweza wamsababishe na kumpelekea anguko kuu ambalo pengine hata hakuwahi kulitarajia ama kulifikiria akilini mwake.

Siyo siri kuwa mwendazake kakuleteeni msiba mkubwa wa maslahi.

Hiiiiii bagosha!
 
Lidictator Museveni lisije kum corrupt maana like nalo ni liuaji Kama Jiwe
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
2736952_20210409_144713.jpg


Unataka kusaidiwa? Hebu kunywa maji kwanza
 
Kwa speed sana pengine alikuwa anataka bombo liende ziwa Victoria Chato!

Ushabiki mwingine bwana,umesahau Museven kwenye salamu zake za rambi rambi alisema ilikuwa imebaki week moja JPM aende Uganda kusign mkataba wa Bomba la mafuta. Mtu mzima tena naamini una jinsia ya kiume kuwa muongo inafikirisha sana.
 
Kamanda kazi inaendelea
Lazima mvunjike kwa kunyooshwa maana tuliwaambia mkatuita makuwadi wa mabeberu. Sisi kwetu ni ahueni maana yanayoibuliwa sasa tuliyalalamikia miaka takribani mitano. Sisi tuna furaha sana naomba hilo kwako liwe wazi!
 
Kila la heri madam president,make Tanzania greater again,like the way it was before mwendazake Eras...

Unazo dua zetuuu
mbona hilo bomba tunaambiwa ni juhudi za huyo unaemuita mwendazake....kama ni kweli,na kama asingefanya hizo juhudi,mh Rais SSH angeenda kusaini nini hiyo trh 11 hadi utoe sifa zote kwa aneenda kusaini hatua za mwisho na kumuacha kabisa alieupigania huo mradi na kumlaumu kwamba hakumake Tanzania great again?
 
Siyo siri kuwa mwendazake kakuleteeni msiba mkubwa wa maslahi.

Hiiiiii bagosha!

Rais SSH si anafuata maslahi Uganda ambayo ni urithi wa mwenda zake. Vipi tena? Mwenda zake aliwekeza na kutoa maisha yake kafara kwa ajili ya sisimizi wa Taifa hili akijua wataangusha hata tembo watapovamia shamba la bibi la maboga na matikiti maji.
 
Back
Top Bottom