Umaarufu wa Chato ndo unapungua ivyoooo
Wakutanie Chato karib
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakutanie Chato karib
Ila unafurahia na ku support matusi ya chawa mwenzako, bwege kabisa..Wacha hizo za matusi wewe Chawa
CHAWA ni woote wafuasi wa mwendazake jiweIla unafurahia na ku support matusi ya chawa mwenzako, bwege kabisa..
Rais Musseveni alisha sema kabla ya Kifo cha mwenda zake walishapanga tarehe za march kutiliana sahihi kuhusu mradi wa bomba la mafuta.
Rais Musseveni ameshakiri mara kadhaa ni mfuatiliaji wa mambo ya Tanzania. Tuna muomba amsaidie mwenzake huyu kwa uzoefu wake, kuwa SSH awe makini na kujiepusha na watu wanao jipendekeza na viushauri dhaifu, hasa wale wanaotaka kutoa hasira zao juu ya mwenda zake. Wanaweza wamsababishe na kumpelekea anguko kuu ambalo pengine hata hakuwahi kulitarajia ama kulifikiria akilini mwake.
Kila la heri madam president,make Tanzania greater again,like the way it was before mwendazake Eras...
Unazo dua zetuuu
Madikiteita na wauaji huwa ni matafiki, yoe ni madikiteita na mauajiUlijuaje ni rafiki
Basi kweli nchi yote imejaa chawa...CHAWA ni woote wafuasi wa mwendazake jiwe
Mbona wameandika kwenye hiyo picha juu hapo.Nafikiri kuna jambo kuhusu bomba la mafuta kutoka Ug kuja Tanga - TZ
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nchi yoote ya chatoBasi kweli nchi yote imejaa chawa...
Kwa speed sana pengine alikuwa anataka bombo liende ziwa Victoria Chato!
Lazima mvunjike kwa kunyooshwa maana tuliwaambia mkatuita makuwadi wa mabeberu. Sisi kwetu ni ahueni maana yanayoibuliwa sasa tuliyalalamikia miaka takribani mitano. Sisi tuna furaha sana naomba hilo kwako liwe wazi!Kamanda kazi inaendelea
Wapinzani wa serikali ya awamu ya sita mtapata tabu sanaaaa kabla hamjafa!Aende amevaa barakoa kule wanavaa barakoa
Dah we jamaaWakutanie Chato karibu
Mkuu, umenichekesha sana!Huo ushauri wako ungempatia jiwe labda usingekuwa yatima au mjane
mbona hilo bomba tunaambiwa ni juhudi za huyo unaemuita mwendazake....kama ni kweli,na kama asingefanya hizo juhudi,mh Rais SSH angeenda kusaini nini hiyo trh 11 hadi utoe sifa zote kwa aneenda kusaini hatua za mwisho na kumuacha kabisa alieupigania huo mradi na kumlaumu kwamba hakumake Tanzania great again?Kila la heri madam president,make Tanzania greater again,like the way it was before mwendazake Eras...
Unazo dua zetuuu
Siyo siri kuwa mwendazake kakuleteeni msiba mkubwa wa maslahi.
Hiiiiii bagosha!