Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni


Kabla ya msiba alikua anaenda kuzindua bomba la mafuta pamoja na museven. Bahati kwake kapanda kutoka kwenda kama makamu saiv anaenda kama Rais
Nakuona unavyo andika ukiwa unabubujikwa na machoozi.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Rais Samia anatoka CCM sio Chadema ujue
Huyu rais wa sasa anautwa SAMIA SULUHU HASSAN.

Huyu rais wa sasa ndiye amekubali kupokea ripoti ya CAG kama ilivyo tayarishwa na wahusika na kuwafanya watanzania wagundue kumbe chini ya jiwe ndiyo kipindi ufisadi umeshamili sana tokea tanzania ipate uhuru.
 
Huyo huyo ndio RAIS aliyetoka chama cha mapinduzi na CAG bab kubwa kachaguliwa na mwendazake sababu ya weledi alionao
Huyu rais wa sasa anautwa SAMIA SULUHU HASSAN.

Huyu rais wa sasa ndiye amekubali kupokea ripoti ya CAG kama ilivyo tayarishwa na wahusika na kuwafanya watanzania wagundue kumbe chini ya jiwe ndiyo kipindi ufisadi umeshamili sana tokea tanzania ipate uhuru.
 
Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.

Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...

Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.

Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂

Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Achana na hao fools....
hawana akili hawajui kwamba hizi zote ni jitihada za JPM mama anatekeleza tu
 
Huyo huyo ndio RAIS aliyetoka chama cha mapinduzi na CAG bab kubwa kachaguliwa na mwendazake sababu ya weledi alionao
Uzuri wa huyu mama kashaamua kuwatimua nyinyi CHAWA na SUKUMA GANG hawahitaji.
 
Achana na hao fools....
hawana akili hawajui kwamba hizi zote ni jitihada za JPM mama anatekeleza tu
Hakuna mradi wowote alioanzisha jpm, miradi yoote aliianzisha mh kikwete.

Wacha kuwadanganya watanzania kwa manufaa binafsi ya sukuma gang
 
Kumbe sasa mbona mnalalamikia fleiova,stend ya magufuli,daraja la busis bado lile bwawa la umeme
Hakuna mradi wowote alioanzisha jpm, miradi yoote aliianzisha mh kikwete.

Wacha kuwadanganya watanzania kwa manufaa binafsi ya sukuma gang
 
Jamaa alipiga pesa ,

So itakuwa Mama aliweka ngumu na kutaka kuvunja huo Mkataba [emoji3]
 
Mkuu naona unaumia sana CCM ni moja hakuna chawa wala sukuma gang ni msemo mlijipa kupata ahueni wakati ambao chama chenu hakina jipya. Poleni sana. Soon Rais Samia anapewa Uenyekiti
Vipi ushatoka chato kwenye zamu ya kulinda kaburi?
 
Back
Top Bottom