Nsimbinso
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 407
- 431
Jamani jamani jamaniKing Solomon alimualika malkia wa sheba baadae malkia akamzaa Menerik....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani jamani jamaniKing Solomon alimualika malkia wa sheba baadae malkia akamzaa Menerik....
Nakuona unavyo andika ukiwa unabubujikwa na machoozi.[emoji23][emoji23][emoji23]Uganda yaahirisha uzinduzi wa mradi wa bomba la mafuta kuomboleza kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania
Uganda imeahirisha uzinduzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ili kuomboleza kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania hayati John Pombe Magufuli, ambaye alitoa mchango mkubwa katika mchakato wa mradi huo. Mamlaka ya Petroli ya Uganda (PAU) jana ilitoa taarifa ikisema kuwa...www.jamiiforums.com
Kabla ya msiba alikua anaenda kuzindua bomba la mafuta pamoja na museven. Bahati kwake kapanda kutoka kwenda kama makamu saiv anaenda kama Rais
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nakuona unavyo andika ukiwa unabubujikwa na machoozi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huyu rais wa sasa anautwa SAMIA SULUHU HASSAN.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Rais Samia anatoka CCM sio Chadema ujue
Huyu rais wa sasa anautwa SAMIA SULUHU HASSAN.
Huyu rais wa sasa ndiye amekubali kupokea ripoti ya CAG kama ilivyo tayarishwa na wahusika na kuwafanya watanzania wagundue kumbe chini ya jiwe ndiyo kipindi ufisadi umeshamili sana tokea tanzania ipate uhuru.
Achana na hao fools....Hii kazi ya ku- sign HGA ilikua ifanyike wiki moja kabla ya kufariki hayati JPM.
Hayo yote ni matunda ya kazi ya JPM, alihakikisha anainyang:'anya Kenya tonge mdomoni ...
Sasa wamebaki kutumia NGOs za mazingira na haki za binadamu kupinga project isifanyike.
Kwa wale wenzangu wapingaji wa prohects za JPM, sijasikia wakisema Mama asiende Ugabda ku- sign kwa sababu mkataba uliandaliwa na utawala wa Tano🙂
Serikali ya CCM ni ileile - - Mzee Mangula
Huna tofauti na mtoto.....Kikwazo kimeshaondoka sasa mambo yanaanza
Uzuri wa huyu mama kashaamua kuwatimua nyinyi CHAWA na SUKUMA GANG hawahitaji.Huyo huyo ndio RAIS aliyetoka chama cha mapinduzi na CAG bab kubwa kachaguliwa na mwendazake sababu ya weledi alionao
Hakuna mradi wowote alioanzisha jpm, miradi yoote aliianzisha mh kikwete.Achana na hao fools....
hawana akili hawajui kwamba hizi zote ni jitihada za JPM mama anatekeleza tu
Wewe mnyarwanda huna ujuwaloHuna tofauti na mtoto.....
una akili za kitoto sana
Ila YEHODAYA bado una syndrome ya mwendazake. Maana ni kama huna matumaini na hii awamu.Aende amevaa barakoa kule wanavaa barakoa
Hakuna mradi wowote alioanzisha jpm, miradi yoote aliianzisha mh kikwete.
Wacha kuwadanganya watanzania kwa manufaa binafsi ya sukuma gang
Hii kitu ilikuwa tayari... ni mgogoro wa afya wa Magu ndio ulichelewesha. Angepata miezi mingine miwili angesaini Magu mwenyeweKikwazo kimeshaondoka sasa mambo yanaanza
Mama yangu kafikaje hapa? Anyway I meant no offense, ila kama ile comment yangu imekukwaza ipotezee tu.Kwani mama yako unajua amekalia juu ya nini?
Sure, cha muhimu tuheshimiane kwa lugha zenye staha hata kama tuna mitazamo tofauti...Mama yangu kafikaje hapa? Anyway I meant no offense, ila kama ile comment yangu imekukwaza ipotezee tu.
Vipi ushatoka chato kwenye zamu ya kulinda kaburi?Mkuu naona unaumia sana CCM ni moja hakuna chawa wala sukuma gang ni msemo mlijipa kupata ahueni wakati ambao chama chenu hakina jipya. Poleni sana. Soon Rais Samia anapewa Uenyekiti