Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mkuu kucheka ni kuchocheo cha kuongeza muda wa kuishi hapa dunianiMkuu, umenichekesha sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kucheka ni kuchocheo cha kuongeza muda wa kuishi hapa dunianiMkuu, umenichekesha sana!
Kazi ziendelee! (Hapana)Kwani haikuchimbwa?
Hakuna cha juhudi hapo watanzania wacheni kulala usingizi wa pono.mbona hilo bomba tunaambiwa ni juhudi za huyo unaemuita mwendazake....kama ni kweli,na kama asingefanya hizo juhudi,mh Rais SSH angeenda kusaini nini hiyo trh 11 hadi utoe sifa zote kwa aneenda kusaini hatua za mwisho na kumuacha kabisa alieupigania huo mradi na kumlaumu kwamba hakumake Tanzania great again?
Je Me muongo kuliko mwendazake?Ushabiki mwingine bwana,umesahau Museven kwenye salamu zake za rambi rambi alisema ilikuwa imebaki week moja JPM aende Uganda kusign mkataba wa Bomba la mafuta. Mtu mzima tena naamini una jinsia ya kiume kuwa muongo inafikirisha sana.
AmeeenShukrani kuu zimwendee muumba wetu
ila tuliambiwa( labda tulidanganywa) kuwa mradi ulikuwa unagombaniwa kati ya kenya na Tanzania..au mwenzetu ambaye umeamka ulisikiaje kuhusu hili?Hakuna cha juhudi hapo watanzania wacheni kulala usingizi wa pono.
Kenya haijawahi kushindwa na uongozi wa jiwe kwenye kampeini.ila tuliambiwa( labda tulidanganywa) kuwa mradi ulikuwa unagombaniwa kati ya kenya na Tanzania..au mwenzetu ambaye umeamka ulisikiaje kuhusu hili?
kama hayo ni kweli,huo mradi ilikuaje uje Tanzania na siyo kenya? au kenya waliamua kuacha tu ndiyo mradi ukaja Tanzania kama zawadi toka mbinguni? ukinisaidia hili nitafurahi ili nitoke usingizini
Haikuwepo mwanzoni, picha imewekwa baadaye.. comment nishawekaMbona wameandika kwenye hiyo picha juu hapo.
alaaa kumbe...basi Jiwe atakuwa alimhonga mseveniKenya haijawahi kushindwa na uongozi wa jiwe kwenye kampeini.
Hayo ni mawazo ya kikundi cha sukuma gangalaaa kumbe...basi Jiwe atakuwa alimhonga mseveni
Wakutanie chato karbu
Big show is baaack
Hapana niko Rombo mkuu...Nchi yoote ya chato
Subiri tumalizane na Wazenji kwanza, kabla ya kuongeza ya Bob Wine.Mara pap Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Uganda ukazaliwa[emoji23]
Labda hakuwa na taarifa kwamba jiwe ametowekaMbona M7 hakuja kumzika rafiki yake?
Rombo hatuwezi kuwa na makanjanja aina yakoHapana niko Rombo mkuu...
Wacha kuzidi kuwaliza CHAWA!!!Labda hakuwa na taarifa kwamba jiwe ametoweka
Ungemalizia na MATAGA WA JIWE.Chato ile airport saiz ndege pekee zitazokuwa zinatua ni kunguru tuh,na poop,biashara imeisha pale
Thats watsup,
Sisi ndiyo MATAGA wa mama SAMIA,
Sukuma gang wakae standby,either watulie mama afanye kazi,au wakizingua tunawazingua
Bila shaka na huko kwenye Bomba la mafuta kuna madudu tena.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya safari yake ya kwanza ya kikazi nje ya Nchi kwa majirani zetu Uganda.
Rais Museveni amemualika Rais Samia kwenye kuzungumzia masuala mbalimbali huku kubwa likiwa ni bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima
View attachment 1748106