Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa

Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania anayeishi marekani sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana. Mara nyingi sana magufuli alikua anavunja katiba wazi-wazi yaan magufuli alikua anaifuata katiba anapojisikia au inaposuit his agenda

Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa sana mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya

Katiba ya Tanzania inampa Rais option ya kutokuifuata na mda huo huo inampa hakikisho la kumlinda ashishtakiwe, yaan Rais wa Tanzania anaweza akawa dikteta na bado katiba ikamlinda sababu akiondoka madarakani ashtakiwi

Katiba inaruhusu maandamano lakin Rais anaweza zuia maandamano kwa utashi wake na still katiba ikaendelea kumlinda kushrakiwa hata baada ya
Kumaliza kipindi chake cha urais

Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana
Mimi nikiwa Rais, siwezi kuruhusu maandamano ya kijinga kama ya leo. Watu wanatakiwa wafanye kazi na sio kuandamana!
 
Wewe kwenye siasa sio mtu wa kawaida. Unajua hawaamini?!!!
Ni kwa Neema na Baraka za Mungu tu haya yote yamewezekana na kufanyika hivi yaliyofanyika manafuaa ya waTanzania wote🌹
 
CCM kumekusanyika vichaa wengi idadi yake ukitajiwa utajuta! Huyu aliyeandika uzi huu, naye ni miongoni mwao
 
Maandamano raha yake mtembee huku mnalia kwa mabomu ya machozi
 
Acheni ujinga na uchawa siasa gani nchii ipo gizani?? Tanesco wanasambaza giza.anapaswa kuachia ngazi awaaachie wenye uwezo.
 
Sema ameshindwa kuzuia maandamano baada ya Mbowe kumzidi ujanja Kwa kushirikisha UN na mabalozi wa USA na Uingereza.

Ikiwa alikuwa na Nia njema kuruhusu maandamano, why wanajeshi hawakujitikeza yalipotokea mafuriko, waje kufanya usafi siku ya maandamano ya CHADEMA?

Huna HOJA.
Hahaha Akili za Bavicha bana 😂
 
Kama kuna vitu kwenye Siasa ambavyo Shujaa Magufuli rip aliviogopa basi nadhani ni hivi vitatu;

Mosi, kukaa Meza moja na Wapinzani wa kisiasa kuzungumza

Pili, Mikutano ya vyama vya Siasa

Tatu, Maandamano

Nichukue fursa hii kumpongeza kwa dhati kabisa Rais wa awamu ya 6 Mh Dr Samia kwa kuyaruhusu mambo Hayo matatu tena kwa uwazi kabisa

Kimsingi kwenye Siasa za Tanzania tunaweza kabisa kupingana bila kupigana au kutesana kwani Sisi sote ni wamoja

Mungu wa Mbinguni mbariki Rais Samia

Mlale Unono 😄😄
 
Mama ni mwanamapinduzi halisi,

Mama ni mwanamageuzi halisi,

Mama ni mwadipolomasia mashuhuri duniani,

Mama ni kiongozi wa aina mpya karne mpya,

Mama ni madhubuti anae thubutu 🐒
 
umekua mtu mzima sasa, kwa wazazi utaishi mpaka mnvi ziwe zinanyonyoka zenyewe kama dingiii sio 🤣

toka kwa wazazi bana pambana kitaa ili uwe na vyako lakini pia uwe na mawazo yako sio kuhemshwa na ya wenzio....
 
Kisa kilicho sikitisha sana ni pale Mange Kimambi alipo itisha maandamano nafikiri ilikuwa 2019 .

Tena mamahuyo aliitisha maandamano akiwa Marekani ,lakini JPM alihangaika nayo si mchezo mpaka kufikia hatua ya kurusha ndege ya kivita angani eti kuzuia maandamano ,polisi wakamwagwa mtaani kama njugu.

Ilisikitisha sana ,mtu kuogopa maandamano kana kwamba amesikia Simba jike kaachiwa mtaani na anararua watu!
 
Kama alimmiminia mtu vyuma mchana kweupe bila aibu aogope vimaandamano kama cha leo??

Vigogo kibao kawaminya na wakatii, miili kibao iliokotwa, mtu kama huyu aogope vikusanyiko???

Hakuogopa maandamano ila hakutaka ujinga.
 
Yule mhutu kumuita shujaa ni matusi kwa mshujaa wa ukweli.

Mhutu alikuwa mpuuzi, kichaa, mshamba na dikteta.
 
Back
Top Bottom