Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 2881581

Huyo raisi mwenyewe hata ana habari
basi nini kinaendelea Tanzania, muda huu yupo zake Indonesia huko.
Tusiwe wanafiki, hili la kuruhusu maandamano apongezwe, jambo hili liliwashinda Marais wa kiume wote watano, yeye kaliweza, tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU. Rais aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani Hana kazi, mama mlezi aangalie chaguzi zijazo aruhusu sanduku la kura lichague aliyechaguliwa na Wananchi. Tumpongeze japo yupo kwenye Chama kinachofurahia dhulma.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tusiwe wanafiki, hili la kuruhusu maandamano apongezwe, jambo hili liliwashinda Marais wa kiume wote watano, yeye kaliweza, tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU. Rais aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani Hana kazi, mama mlezi aangalie chaguzi zijazo aruhusu sanduku la kura lichague aliyechaguliwa na Wananchi. Tumpongeze japo yupo kwenye Chama kinachofurahia dhulma.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiki ndo kitu ambacho hawaelewi
 
Hivi haya mafisadi yanayoiba sasahivi hayavunji katiba? Neno uvunjaji katiba mmelishikilia sana kwa magufuli mmeona ndio neno zuri la kumchafua mbona mafisadi yapo huru sasahivi je hiyo katiba haivunjwi
Rais ana kinga ya kutokustakiwa mafisadi watahukumiwa hata huko baadae kumbuka jinai jinai haiexpire
 
Tusiwe wanafiki, hili la kuruhusu maandamano apongezwe, jambo hili liliwashinda Marais wa kiume wote watano, yeye kaliweza, tayari ameingia katika Kitabu Cha KUMBUKUMBU. Rais aliyepita alisema mkurugenzi ambaye eneo lake atachaguliwa mpinzani Hana kazi, mama mlezi aangalie chaguzi zijazo aruhusu sanduku la kura lichague aliyechaguliwa na Wananchi. Tumpongeze japo yupo kwenye Chama kinachofurahia dhulma.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

View: https://m.youtube.com/watch?v=Ld6HC9CUmxM&pp=ygUbTWFhbmRhbWFubyB5YSBTb3dldG8gYXJ1c2hh

Kwani unadhani walikuwa wanazuiwa bure bure, huko nyuma walikuwa wanalazimisha kuandamana bila ya vibali. Na wakiandamana wengine wanaacha maandamano wanaenda kupora nyumba za watu.

Hata huyo mama atawachoka CDM sio muda watataka kuona maandamano ni utaratibu wa siasa za kila siku. Hata njia walizochagua leo yaani katika ya maeneo yenye watu wengi ili waondoke na kijiji ni bahati tu maandamano hayakuwa na watu wengi vinginevyo wamehatarisha biashara za watu sana.
 
Anajua nn? Kuuza bandari kwa waarabu ama kuipendelea Kizimkazi?
Mbona uko frustrated hivyo, hayajafana maandamano?!!! Sasa wewe ulizaliwa vp kwa wahadzabe?!!! Si ungekuwa muarabu tu ukanunua na wewe. Mburura km nyue mama wala hatumii nguvu, akili tu basi.
 
CHADEMA leo hadi aibu, wametembea hovyo na majoto hakuna walichokipata, maana walitaka wapigwe alafu ndio taarifa isambazwe kuwa hakuna demokrasia Tanzania, bahati nzuri Mama Samia kawafunza somo, kuna mmoja alisema tunasubiri tupigwe alafu warushe, sasa wako kimyaaa

Kesho wakiandamana tena wataona mbona hata vurugu kidogo polisi hawaleti, bila vurugu CHADEMA ni kama haipo

FYI, hata sasa hivi wakipigwa hakuna duniani watawasikiliza sbb dunia iko busy na vita vya Israel vs Hamas, Russia vs Ukraine, US kuwapiga Houthis, pia US kuna campaign kali sana za primaries ndani ya vyama kuwapata wagombea Urais, so dunia iko busy na mambo yao, infact ingekuwa mimi ndio mh Rais, saa hivi akina Mbowe, Mnyika, Lissu, Lema, na wengine wanalia lia tu na kutenguliwa miguu, mikono, uti wa mgongo saa hizi wangelia sana nasema kweli, ningewachapaa wee, maandamano wakafanyie mitandaoni ingekuwa mimi, ila Mh Rais wetu Mama Samia, Mungu akulinde,
 
CHADEMA leo hadi aibu, wametembea hovyo na majoto hakuna walichokipata, maana walitaka wapigwe alafu ndio taarifa isambazwe kuwa hakuna demokrasia Tanzania, bahati nzuri Mama Samia kawafunza somo, kuna mmoja alisema tunasubiri tupigwe alafu warushe, sasa wako kimyaaa

Kesho wakiandamana tena wataona mbona hata vurugu kidogo polisi hawaleti, bila vurugu CHADEMA ni kama haipo

FYI, hata sasa hivi wakipigwa hakuna duniani watawasikiliza sbb dunia iko busy na vita vya Israel vs Hamas, Russia vs Ukraine, US kuwapiga Houthis, pia US kuna campaign kali sana za primaries ndani ya vyama kuwapa wagombea Urais, so dunia iko busy na mambo yao, infact ingekuwa mimi ndio mh Rais, saa hivi akina Mbowe, Mnyika, Lissu, Lema, na wengine wanalia lia tu na kutenguliwa miguu, mikono, uti wa mgongo saa hizi wangelia sana nasema kweli, ningewachapaa wee, maandamano wakafanyie mitandaoni ingekuwa mimi, ila Mh Rais wetu Mama Samia, Mungu akulinde,
Kabusa, umenena vema sana.
 
Back
Top Bottom