Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamuita shujaa wa Afrika. Labda wa Afrika Sana pale Corner bar
Mkuu samahan,, nijulishe vigezo vinavyotumika mpaka kiongoz kuitwa shujaa wa Africa. Ni hilo tu mkuu
Hajawahi kuwa hata msuruhishi wa hata wilaya moja wapo ya Kenya,

Kama Sukuma Gang wanamwita mwendazake shujaa wa Afrika, Mandela so atakuwa shujaa wa Dunia your na mbingu.

Sijui hwa Mataga wa sukuma Gang wanaelewa?

FB_IMG_1621889583251.jpg


20210526_220854.jpg


20210523_203005.jpg


20210526_220902.jpg


2106795_IMG_20190705_100236.jpeg
 
Duuu ngoja niombe kuhamia mkoa wa chato nikafaidi mema ya nchi
 
Umeumia sana na bado mengi ya kukukera yanakuja
Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamuita shujaa wa Afrika. Labda wa Afrika Sana pale Corner bar
 
Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamuita shujaa wa Afrika. Labda wa Afrika Sana pale Corner bar
Unaongeaa ukiwa kwenye keyboard..fika kwa ground ndo utajua hujui..Chato kunazidi noga kila siku...
 
Binafsi naithamini butiama kuliko chato, sijui kwa nn mzee nyerere hakuanzisha mkoa wa butiama
Pia Butiama na mkoa wa Mara kiujumla umetoa watu wengi Smart kuliko huko maporini chattle!

Swali fikirishi hivi wazee wetu wa Mara wangeamua kulinda legacy ya Mwalimu na kuamua kufanya kama dynasty hivi hawa washamba wangepata nafasi za uongozi lini?
 
Unaongeaa ukiwa kwenye keyboard..fika kwa ground ndo utajua hujui..Chato kunazidi noga kila siku...
Hamna lolote hapo! Ni matumizi mabaya ya raslimali na hatuwezi kukaa kimya. Tutayasemea siku zote.

Hata huo uwanja uliijengwa hapo haukustahili. Maana hata Ndege yenyewe inakuja hapo kama transit na siyo destination. Wanaoteremka hapo ni wenyeji wa Muleba na Geita na Sengerema.

Chato itabakia kuwa maarufu kuwa ni mahali alioozaliwa DIKTETA muuaji, aliyetaka kuiharibu Tanzania na akazikwa hapo na MAUJINGA yake.
 
Atayeruhusu Chato iwe mkoa, na Lindi,Morogoro,Tabora na Ruvuma ziendelee kuwa vile KISA kumfurahisha MUOZA ZAKE dikteta mpumbavu Magufuli atakuwa mpumbavu kuliko huyo Magufuli.
Mwanza imezaa mikoa miwili Simiyu na Geita na sasa Geita inaenda kuzaa mkoa wa chato wakati Kuna mamikoa makubwa Kama morogoro na Tabora hawayafikilii kabisaaa.
 
Hajawahi kuwa hata msuruhishi wa hata wilaya moja wapo ya Kenya,

Kama Sukuma Gang wanamwita mwendazake shujaa wa Afrika, Mandela so atakuwa shujaa wa Dunia your na mbingu.

Sijui hwa Mataga wa sukuma Gang wanaelewa?

View attachment 1800976

View attachment 1800977

View attachment 1800978

View attachment 1800979

View attachment 1800980
Magu alidhalilisha Sana nchi yetu ambayo ilikuwa juu kidiplomasia. Neno Shujaa wa Afrika liliyengenezwa na media propagandists wake ili kujikomba. Angekuwa shujaa hata wa Afrika Mashariki si tungemuona Paul Kagame na Museveni wakija kumuzika??

Ile ilikuwa TAKATAKA tu !!
 
Umeumia sana na bado mengi ya kukukera yanakuja
Lazima niumie kwa jinsi Kichaa Mwendazake alivyoharibu uchumi, hilo halina ubishi.

Ni mwemdawazimu tu misukule ndiyo watashangilia namna Mwendazake alivuoyawala HOVYO nchi yetu. Na Mungu wetu anatupenda ndiyo maana kamfurusha jehanam takataka yule
 
Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamuita shujaa wa Afrika. Labda wa Afrika Sana pale Corner bar
Kama umeona chato pamejengeka nenda tu kaishi huko
 
Yaaani magufuli alikuwa shujaa wa afrika.hata kuwa kuwa shujaa wa kijiji hafai .labda iludiwe iludiwe
 
Magu alidhalilisha Sana nchi yetu ambayo ilikuwa juu kidiplomasia. Neno Shujaa wa Afrika liliyengenezwa na media propagandists wake ili kujikomba. Angekuwa shujaa hata wa Afrika Mashariki si tungemuona Paul Kagame na Museveni wakija kumuzika??

Ile ilikuwa TAKATAKA tu !!
Kuwa juu kidiplomasia huku ikiwa chini kiuchumi ni upumbavu, uhuru wa kweli ni wa kiuchumi
 
Lazima niumie kwa jinsi Kichaa Mwendazake alivyoharibu uchumi, hilo halina ubishi.

Ni mwemdawazimu tu misukule ndiyo watashangilia namna Mwendazake alivuoyawala HOVYO nchi yetu. Na Mungu wetu anatupenda ndiyo maana kamfurusha jehanam takataka yule
Kama uchumi wako umeharibika utakuwa umeharibu mwenyewe
 
Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamuita shujaa wa Afrika. Labda wa Afrika Sana pale Corner bar
Mtanyooka tu
20210529_092704.jpg
 
Huyo alikuwa shujaa wa wasukuma washamba,hakupendwa Mtwara Wala Lindi,arihalibu uchumi wa korosho,hakupendwa Kagera,alipora fedha za Rambirambi,
Hakupendwa Kaskazini, to alibambikia watu kesi za kuhujumu uchumi,nyingi zimefutwa na aliyekuwa msaidizi wake.
Alikuwa mshenzi kabisa,alale jehanamu,
TZ Kuna tatizo kubwa la ajira,nafasi 9000,wanaomba watu 120000!harafu watu kama wewe wanaona Kuna tija sana kuongeza eneo la utawala,kwa kuigawa nchi,Chato ikiwa mkoa,pale unaongeza matumizi tu,mishahara ya RC,RAS,magari kibao,Kanda ya ziwa imejaa madini,lakini tembelea kuanzia Kahama,Kakora,geita,mbogwe,ushirombo,kumejaa umaskini na ufukara wa kutupa,harafu nyie "magenious wetu"mnaona kipaumbele ni kuanzisha mkoa,basi fanyeni kila kaya iwe mkoa,iwe na RC,RPC wake muone kama Kuna tija.
Mshenzi mama yako na ukoo wenu wote!
 
HIVI MBONA MNAPENDA SANA KUABUDU MAHOKA???

UTAWALA WA HUYU MTU NDO WATU WALIOKUFA WALIELEA MTO RUVU, INDIAN OCEAN!

WHAT IS THE SO peculiar from that person?? 🤨🤨🤨😶😶 Shame on you!!!
Hata wewe na shangaa kwanini hukufa?
 
Back
Top Bottom