cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Kifikra bado sana kwa sasa kuwa na umoja wa Africa, kuongeza mkoa ni kuleta serikali karibu zaidi na wananchiupuuzi tupu, na jiwe angesha ugawa huu mkoa, tunataka umoja wa afrika huku sisi tukiendelea kugawana kidogo kilichopo badala ya kuungana.