Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Ajenda yake ilikuwa ni kuanzisha nchi ya Chato, alianza na kulazimisha iwe wilaya baada ya kuimega toka biharamuro.
Wilaya ya Chato,mkoa wa Chato then nchi ya chato
 
Shida ni kwamba, badala ya kuendeleza mikoa ambayo bado ipo nyuma kama Kagera na Geita, na Shinyanga resource nyingi zitatumika vila sabab kuhudumia hicho kijiji cha chato
 
Uhaya unawasumbua sana Wahaya wanahisi kama wamenyang'anywa Ardhi yao wakati nchi ni hiyohiyo.
 
Lazima niumie kwa jinsi Kichaa Mwendazake alivyoharibu uchumi, hilo halina ubishi.

Ni mwemdawazimu tu misukule ndiyo watashangilia namna Mwendazake alivuoyawala HOVYO nchi yetu. Na Mungu wetu anatupenda ndiyo maana kamfurusha jehanam takataka yule

Utakuwa na Gubu na Mwendazake si bure wewe,nahisi wewe ni jinsia ya kiume but unavyocomment hapa una kisilani nae kama Mama Mjamzito [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom