Sema wewe na mafisadi wenzio na mtamkumbuka sana kwa kuwanyoosha!Hakuna rais aliyewahi kuwapa watanzania mzigo mkubwa kama magufuli.
Ingekuwa ni familia basi nyumba na shamba lenu vinauzwa mke na watoto wanaombewa hifadhi kwa majirani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wewe na mafisadi wenzio na mtamkumbuka sana kwa kuwanyoosha!Hakuna rais aliyewahi kuwapa watanzania mzigo mkubwa kama magufuli.
Ingekuwa ni familia basi nyumba na shamba lenu vinauzwa mke na watoto wanaombewa hifadhi kwa majirani.
Siwezi kanyaga ardhi iliyonajisiwa na mzoga wa Mwendazake kamweKama umeona chato pamejengeka nenda tu kaishi huko
Ni lini Mwendazake alipandisha uchumi wa Tanzania? Au na wewe ni mhanga wa Takwimu fake za 7.90% na uchumi wa kati?Kuwa juu kidiplomasia huku ikiwa chini kiuchumi ni upumbavu, uhuru wa kweli ni wa kiuchumi
Acha walioko huko wafaidi hiyo miundombinu sasaSiwezi kanyaga ardhi iliyonajisiwa na mzoga wa Mwendazake kamwe
Chato uwe Mkoa? Maajabu makubwa. Labda lengo ni kupata kichekesho cha nchi pale kijiji kinapogeuzwa kuwa mkoa.Kajibu hivi
'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'
Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
Kwanza ukifika tu lazima upotee kabisa!! Ibilisi mkubwa wewe.Siwezi kanyaga ardhi iliyonajisiwa na mzoga wa Mwendazake kamwe
Mpaka utakufa na stress....! Mkoa wa Chato umeshapitishwa tayari kilichobaki ni maandalizi tu ya kuutangaza.Mimi sinywi sumu na Chato haiwezi kuwa mkoa. Ibilisi mnaye hukohuko Chato tukimzika tarehe 27/ 03/ 2021
Naomba mrejeshoChato ndiyo mwisho wao kwisha sasa.
Mkuu umeshatangazwa?Naomba mrejesho
Hayo ni mapendekezo mkuu bado kuna process ndefu sn
KUNYWA SUMU UMFUATE!! 🤣🤣🤣Hata wewe na shangaa kwanini hukufa?
Mimi tayari nimekunywa vipi wewe mkuu?KUNYWA SUMU UMFUATE!! 🤣🤣🤣
Hivi hamuamini kilichotokea??? Bado Malta ndoto??? 🤣🤣🤣😶😶🤨🤨 kashaenda tusubiri zamu zetu!!!Mimi tayari nimekunywa vipi wewe mkuu?
Yuko mbinguni mkuu sisi tupo tunayaendeleza mazuri yake.Hivi hamuamini kilichotokea??? Bado Malta ndoto??? 🤣🤣🤣😶😶🤨🤨 kashaenda tusubiri zamu zetu!!!
Basi Kaa kwa kutulia na uache wivuSiwezi kanyaga ardhi iliyonajisiwa na mzoga wa Mwendazake kamwe
upuuzi tupu, na jiwe angesha ugawa huu mkoa, tunataka umoja wa afrika huku sisi tukiendelea kugawana kidogo kilichopo badala ya kuungana.Kajibu hivi
'Suala la Chato kuwa Mkoa nimeambiwa tayari mchakato umeanza naelekeza lishughulikiwe kama vigezo vimekidhi Chato iwe Mkoa na kama vigezo havijakidhi tuwaelekeze nini cha kufanya ili viweze kukidhi na tumuenzi Hayati Magufuli.'
Ni jibu zuri sana sana na nijibu la kiuongozi na sio jibu la kukurupuka.
Toa takwimu zako halali na unishawishi. Uchumi wa Tanzania utajengwa na watanzania wote siyo serikali tu.Ni lini Mwendazake alipandisha uchumi wa Tanzania? Au na wewe ni mhanga wa Takwimu fake za 7.90% na uchumi wa kati?
Unakubali kuwa umepanda uchumi huku bado matundu ya vyoo vya shule unajengewa na USAID??
Serikali ikiamua kupandisha hadhi huwezi kuzuia huku jf. Acha tu pawe mkoa kwani inakuuma nini.Chato uwe Mkoa? Maajabu makubwa. Labda lengo ni kupata kichekesho cha nchi pale kijiji kinapogeuzwa kuwa mkoa.
Chato, ukiacha miundombinu ya kifisadi iloyopelekwa na marehemu, mambo mengine yote, unaweza kulinganisha na makao makuu ya tarafa kwenye baadhi ya mikoa.
Ni mwendawazimu pekee ambaye anafikiria kuwa hata mahali duni pakibadilishwa na kuitwa mkoa au wilaya, basi patabadilika na kuwa na maendeleo makubwa. Na laiti kama ni hivyo, basi kila kijiji iwe wilaya, na kila kata uwe mkoa ili Tanzania iwe nchi iliyoendelea kuliko mataifa yote Duniani.