Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni mambo ya aibu tupuChato haina hadhi ya kua mkoa hata miaka 20 ijayo.
Mkoa mkubwa kuliko yote tz ni Tabora, ulitakiwa ugawanywe kwanza huo ndio mingine ianze kufikiriwa.Chato haina hadhi ya kua mkoa hata miaka 20 ijayo...
nahisi pesa zitajielekeza kwenye ujenzi, yani ukiipata utashaangaa unawaza ujenzi ujenzi, mwishowe tutakufa maana hatutawaza kujitibia, kujivalisha vizuri, kujinunulia chakulaHiyo haitoshi kumuenzi jiwe wetu. Awekwe kwenye fedha yetu kama alivyo Nyerere
Mkoa mkubwa kuliko yote tz ni Tabora, ulitakiwa ugawanywe kwanza huo ndio mingine ianze kufikiriwa.
Mkuu jaribu kujiongeza kidogo, hapo mama kajibu kidiplomasia kabisa - hakutaka kuwakatisha tamaa on the spot.Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi...
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, idadi ya watu (na eneo la mkoa kwa km za mraba); Tabora: 2,291,623 (76,150), Morogoro: 2,218,492 (70,624)Tabora kuna idadi ya watu wangapi
Wacha unyanyapaa kwa wanawake waja wazito kwa kuwa na wewe ulizaliwa pia. Na iko siku na wewe utashika mimba tu, usichana una mwisho NyamiziUtakuwa na Gubu na Mwendazake si bure wewe,nahisi wewe ni jinsia ya kiume but unavyocomment hapa una kisilani nae kama Mama Mjamzito [emoji3][emoji3]
Acha kufananisha Dar na Geita mzeeUmewahi kujua ukubwa wa mkoa wa Daresalaam pia??
Kwa nini haukuunganishwa tu na mkoa wa Pwani Ikiwa ni mkoa mmoja??
Unadhani kigezo ni ukubwa wa eneo pekee??
Shida si ukubwa wa kieneo mkuu au, maana mkoa wa Daresalaam Una kilomita za mraba 13k+Acha kufananisha Dar na Geita mzee
Compare population ya Dar na Geita, na ukiweka Population ya Chato kwa raha zaidi!Shida si ukubwa wa kieneo mkuu au, maana mkoa wa Daresalaam Una kilomita za mraba 13k+
Sasa basi hoja yako isiwe ni ukubwa wa kieneo pekee, Bali iko namna inayosababisha mkoa uundwe, ni Kweli ni pamoja na papulation ya watu, kimapato pia, kijiografia na vigezo vingivingi, lkn pia wakati mwingine na nguzu za kisiasa na upendeleo tuCompare population ya Dar na Geita, na ukiweka Population ya Chato kwa raha zaidi!
Kwa hoja yako basi, Kilimanjaro ilitakiwa kuwa mikoa mitatu hivi!Sasa basi hoja yako isiwe ni ukubwa wa kieneo pekee, Bali iko namna inayosababisha mkoa uundwe, ni Kweli ni pamoja na papulation ya watu, kimapato pia, kijiografia na vigezo vingivingi, lkn pia wakati mwingine na nguzu za kisiasa na upendeleo tu
Sasa basi hoja yako isiwe ni ukubwa wa kieneo pekee, Bali iko namna inayosababisha mkoa uundwe, ni Kweli ni pamoja na papulation ya watu, kimapato pia, kijiografia na vigezo vingivingi, lkn pia wakati mwingine na nguzu za kisiasa na upendeleo tu