S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
Nakuita kwa jina la Jamhuri ya Muungano wetu mheshimiwa Raisi.
Waache hawa Chadema na Wananchi wengine waandamane.
-Wape ulinzi,
-Hakuna kitakacho haribika
-utaithibitishia dunia kuhusu zile 4R
-utapunguza malumbano ya kulilia haki.
Baada ya Maandamano:
Baaada ya Maandamano, utajitokeza na kuzijibu hoza zao na kutoa suluhisho la namna ya kusonga mbele.
Uta- prove leadership skills zako kwamba sio za mabavu
Utapendwa zaidi na wapinzani wako na supporters zako kwa pamoja.
Kama nchi:
-Tutaendelea kujadiliana mambo yetu kama mchwa na nguchiro bila wanaoishi ndani ya kichuguu bila mkwaruzo.
-mambo yetu ya nchi yataendelea bila mkwamo.
kwa wateule wako:
-Toa mfano kwa kwao kuachia nafasi ili liwe funzo kwa wengine wajao , hata kama haitakupendeza.
Nchi yetu imekuwa na kelele nyingi sana kwa sasa za kutaka haki sana kwa sasa. Na wewe kama kiongozi wetu, onyesha leadership ya haki inayoliliwa na wanao sema hawana haki maana wewe ni kiongozi wa wote bila kujali vyama vyao.
Mungu wetu ni Kiongozi wa sisi sote bila kujali madhambi yetu.
Povu kwa yeyote ruksa, muda wa suluhuhisho bado upo, tusisubiri hadi mambo kuharibika ndio tuongee.
Waache hawa Chadema na Wananchi wengine waandamane.
-Wape ulinzi,
-Hakuna kitakacho haribika
-utaithibitishia dunia kuhusu zile 4R
-utapunguza malumbano ya kulilia haki.
Baada ya Maandamano:
Baaada ya Maandamano, utajitokeza na kuzijibu hoza zao na kutoa suluhisho la namna ya kusonga mbele.
Uta- prove leadership skills zako kwamba sio za mabavu
Utapendwa zaidi na wapinzani wako na supporters zako kwa pamoja.
Kama nchi:
-Tutaendelea kujadiliana mambo yetu kama mchwa na nguchiro bila wanaoishi ndani ya kichuguu bila mkwaruzo.
-mambo yetu ya nchi yataendelea bila mkwamo.
kwa wateule wako:
-Toa mfano kwa kwao kuachia nafasi ili liwe funzo kwa wengine wajao , hata kama haitakupendeza.
Nchi yetu imekuwa na kelele nyingi sana kwa sasa za kutaka haki sana kwa sasa. Na wewe kama kiongozi wetu, onyesha leadership ya haki inayoliliwa na wanao sema hawana haki maana wewe ni kiongozi wa wote bila kujali vyama vyao.
Mungu wetu ni Kiongozi wa sisi sote bila kujali madhambi yetu.
Povu kwa yeyote ruksa, muda wa suluhuhisho bado upo, tusisubiri hadi mambo kuharibika ndio tuongee.