Rais Samia Suluhu tembelea wananchi wako wa Mji wa Kisesa wanateseka na Changamoto ya Umeme na Maji

Rais Samia Suluhu tembelea wananchi wako wa Mji wa Kisesa wanateseka na Changamoto ya Umeme na Maji

Ndokeji

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
698
Reaction score
476
Mji wa Kisesa katika jiji la Mwanza ni Mji mkubwa unakua kwa kasi ambao kipindi cha Marehemu Magufuri aliahidi kuwa halmashauri ya Mji wa Mwanza ,wananchi wake wanalia kwa kutofungiwa umeme na shirika la Tanesco ,huku likionesha hilo shirika katika kituo chake cha Nyakato kuzidiwa nakuwa na huduma mbaya kabisa, ya wananchi kuishi gizani kila wanapotembelea shirika hilo wanaambia limezidiwa na hakuna wafanyakazi wakutosha na vitendea kazi havipo kama Magari

Pili Mji huo umekuwa kama watu wake wanaishi jangwani Maji hakuna wakati ziwa liko karibu, wape huduma wanawake wenzako wanatesaka sana ,unakutana na wanakimama saa 9 usikuwa wanapambana na ndoo kutafuta maji, Mh acha kutembelea nchi za watu tembelea matatizo ya watu na uyatatue na huo ndio uongozi

Waziri wa Nishati hili swala la umeme changamoto ya Nyakato anaifahamu lakini hakuna hatua yoyote

Waziri wa Maji ndio kabisa sijui kama anafanya kazi gani , wamekaa maofisini sana
 
Mji wa kisesa katika jiji la Mwanza ni Mji mkubwa unakua kwa kasi ambao kipindi cha Marehemu Magufuri aliahidi kuwa halmashauri ya Mji wa Mwanza ,wananchi wake wanalia kwa kutofungiwa umeme na shirika la Tanesco ,huku likionesha hilo shirika katika kituo chake cha Nyakato kuzidiwa nakuwa na huduma mbaya kabisa, ya wananchi kuishi gizani kila wanapotembelea shirika hilo wanaambia limezidiwa na hakuna wafanyakazi wakutosha na vitendea kazi havipo kama Magari,
Pili Mji huo umekuwa kama watu wake wanaishi jangwani Maji hakuna wakati ziwa liko karibu, wape huduma wanawake wenzako wanatesaka sana ,unakutana na wanakimama saa 9 usikuwa wanapambana na ndoo kutafuta maji, Mh acha kutembelea nchi za watu tembelea matatizo ya watu na uyatatue na huo ndio uongozi

Waziri wa Nishati hili swala la umeme changamoto ya Nyakato anaifahamu lakini hakuna hatua yoyote

Waziri wa Maji ndio kabisa sijui kama anafanya kazi gani , wamekaa maofisini sana
Kwani msukuma mwenzenu hajatatua hayo matatizo yenu?

Chadema walituchelewesha Sana kupata maendeleo maana miaka yote hii walikuwa wanaongoza nchi wao.
 
Kwani msukuma mwenzenu hajatatua hayo matatizo yenu?

Chadema walituchelewesha Sana kupata maendeleo maana miaka yote hii walikuwa wanaongoza nchi

Kwani msukuma mwenzenu hajatatua hayo matatizo yenu?

Chadema walituchelewesha Sana kupata maendeleo maana miaka yote hii walikuwa wanaongoza nchi wao.
Huu ndio upumbavu wa aina ya watu yenu wanaofanya hii nchi kutoenda
mbele
 
Hivi siku hizi kuna wabunge? sijui ata kazi yao Bungeni
Huyo mubunge tulie nae anajali kwao tu Lugeye, labda na nyanguge kidogo. Pia hawa madiwani wa ccm ni bure kabisa. Kisesa hata barabara za mitaa ni mbovu mno madiwani hawashughuliki. Yaani tuna madiwani wa hovyo kweli. Ccm ni majanga.
 
Huyo mubunge tulie nae anajali kwao tu Lugeye, labda na nyanguge kidogo. Pia hawa madiwani wa ccm ni bure kabisa. Kisesa hata barabara za mitaa ni mbovu mno madiwani hawashughuliki. Yaani tuna madiwani wa hovyo kweli. Ccm ni majanga.
Asante kwa ufafanuzi Mzuri Mji unakua kwa kasi na ni kati ya Miji ya Mwanza iliyochangamka kwa biashara interaction ya watu, lakini kwa kweli viongozi wake ni hovyo kabisa
Mpaka huwa nafika sehemu ninapokutana na wakinamama usiku wanakimbizana kupanga foleni kwa ajili ya maji nafikiria hii nchi inaviongozi kweli ?


Tanesco napo mpaka uende unabebeleza harafu jamaa wanakwambia hatuchakukusaidia tuko wachache ,hapo umeshafanya wireling kila kitu
Aise Mwamba Magu hii nchi alikuwa anauchungu nayo hayo yote aliyaona akaweka mikakati ya kubadili mji kuulidisha katika halmashauri ya jiji la Mwanza kutengeneza Wilaya
Lakini naona hizi juhudi ndio zimekufa kabisa hakuna kinachoendelea
 
Ni chini ya 25 km
Ziwa lilikuwepo kabla ya miaka 60 au limejitokeza baada ya tar 17/3/2021.
Uliza bei ya gari ya DED,DC,DAS,RAS,RC,RPC nk
waulize kwanini hayo magari iliwezekana lakini maji haijawezekana.
 
Kwani msukuma mwenzenu hajatatua hayo matatizo yenu?

Chadema walituchelewesha Sana kupata maendeleo maana miaka yote hii walikuwa wanaongoza nchi wao.
Ni Mpina mchoma nyavu
 
Ziwa lilikuwepo kabla ya miaka 60 au limejitokeza baada ya tar 17/3/2021.
Uliza bei ya gari ya DED,DC,DAS,RAS,RC,RPC nk
waulize kwanini hayo magari iliwezekana lakini maji haijawezekana.
👉Barabara za vumbi zilikuwepo tangu tanzania iwe nchi lakini kwa sasa ni lami
👉 Babu wa Babu yako alikuwepo lakini sasa upo wewe Mjukuu
👉Shilingi tano zilikuwepo lakini sasa Hamsini ndio shilingi ya kuanza
👉Sewahaji ilikuwepo lakini sasa ni Muhimbili national hospital
👉Simu zilikuwepo lakini sasa ni smartphone
👉Gari Manual zilikuwepo lakini sasa ni Automatic
👉Kisesa ilikuwepo lakini sasa ni Mji
 
Ziwa lilikuwepo kabla ya miaka 60 au limejitokeza baada ya tar 17/3/2021.
Uliza bei ya gari ya DED,DC,DAS,RAS,RC,RPC nk
waulize kwanini hayo magari iliwezekana lakini maji haijawezekana.
Swali zuri ni Kwamba Hao siyo viongozi ni wahuni wanaotafuta pesa
 
Back
Top Bottom