mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Kosa la Jiwe aliwafanya baadhi ya wafuasi wake mataahira. Waliofiwa wapendwa wao wakiona huu Uzi wanaumia Sana ni kebehi ya Hali ya juu.Kwa jinsi nilivyozika watu wangu wa karibu na jinsi ilivyomtesa mke wangu kaponea chupuchupu kwa gharama kubwa iliyolazimisha niuze hadi samani zangu amini nimekutukana tusi kubwa sana
Hautakaa uijue COVID 19 Mpaka pale itakapokugusa! Fanya subira! Hivi karibuni utaelewa!Hakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!
Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.
Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
Please guys hebu acheni kueneza ukabila, Bora uchangie hoja Kama huna baki kusoma comment ujifunze kitu kuliko huu upuuzi unaofanyaWewe ni sukuma gang
Hiyo inayogandisha damu hapana kwakweli, tuipinge kwa nguvu zotekinachoenda kutokea ni kuletewa astra zeneca hapo ndipo wagonjwa wataongezeka mara mia 500 na vifo kutapakaa
Usiwe mjinga wa kiwango hicho. Yaani wewe unadhani tahadhari ya corona ni Lockdown tu. Acha upumbavuHakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!
Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.
Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
...huyo mama kamwe hawezi kuongoza Nchi
Hata malaria imetuchukulia ndugu wengi tu.Sio kila mtu ni mtaalam!
Wacha mengine haya ya Covid wafanye wabobezi!!
Corona imetuchukulia ndugu zetu wengi sana ila hatujali.
Wacha wenge! Subiri ushauri wa wataalam
"tanzania hakuna covid" based on what research?Hakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!
Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.
Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
jitahidi kutumia akili timamu, rais hajatoa kauli yoyote inayoonesha Tanzania tuna corona ndio maana akasema wataalam ndio watatafiti tujue tunachukua hatua gani maana hatuwezi sema ipo au haipo......
unakurupuka bila kufatilia hata taarifa sahihi. Pole na msiba.
hakuna mahali serikal imesema wataleta hiyo chanjo. ndio maana inaundwa tume kuchunguza kwanza.kinachoenda kutokea ni kuletewa astra zeneca hapo ndipo wagonjwa wataongezeka mara mia 500 na vifo kutapakaa
Hata mm nimeona...huyo mama kamwe hawezi kuongoza Nchi
Wataalamu wenyewe si ndio akina Kigwa magangala? ambao leo wanashika microscope kesho wanashika tunguli?Sio kila mtu ni mtaalam!
Wacha mengine haya ya Covid wafanye wabobezi!!
Corona imetuchukulia ndugu zetu wengi sana ila hatujali.
Wacha wenge! Subiri ushauri wa wataalam
Mkuu tangia mama SAMIA awe RAIS ww ni kumpondea tu. Umeolowa tayari?...huyo mama kamwe hawezi kuongoza Nchi
mkuu kama huwezi kingereza andika kiswahili tu utaeleweka"tanzania hakuna covid" based on what research?
nyie ndio watu mnaopotosha alichokisema bi mkubwa. hakusema ataweka lockdown. bali ataunda kamati ya kuchunguza.. tena wataalam wa hapa nyumbani na hatua gani zichukuliwe.
acheni kupanic
Vp kuhusu malararia,Ukimwi, Cancer inaacha watu salama?.Nenda Hospitali kaone jinsi hayo magonjwa yanavyouwa maelfu ya watu,Corona kitu ganiSio kila mtu ni mtaalam!
Wacha mengine haya ya Covid wafanye wabobezi!!
Corona imetuchukulia ndugu zetu wengi sana ila hatujali.
Wacha wenge! Subiri ushauri wa wataalam
Atatekeleza ushauri wa kamati atakayoiundaHivi kuna mahali katika kuongea kwake alisema habari za lockdown? Nauliza tu pengine nilipitwa na hiyo hotuba
Kwani wewe hukumsikia!Ulimuona kavaa barakoa? Acha ramli?