#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Hakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!

Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.


Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
 
Hakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!

Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.


Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
Team magufuli mwacheni mama afanyekazi
 
Hakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!

Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.


Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
Akina Maria Sarungi wamekwisham-fix Rais wetu
 
jitahidi kutumia akili timamu, rais hajatoa kauli yoyote inayoonesha Tanzania tuna corona ndio maana akasema wataalam ndio watatafiti tujue tunachukua hatua gani maana hatuwezi sema ipo au haipo......

unakurupuka bila kufatilia hata taarifa sahihi. Pole na msiba.
 
Mods tafadhalini sana,tafuteni njia ya kuchuja wana Jamii Forum ili tusijd kukutana na wadada wasaidizi wetu wa nyumbani.
Hii ndio shida ya jf kutumia fake id, huenda uliyeniandikia ni mume wa dada yako ninayekulisha, naihudumia familia yenu, unagombania remote ya tv seating room kwangu na beki 3, na bando nimekununulia
 
Madam President awe Makini sana na Hili, Corona Imefika Ukingoni sisi ndio tunataka Kuanza Kujiingiza Kwenye Mitego ya Chanjo na Lockdown. Hali Ingekua Ni mbay Kiasi hicho Tungezishuhudia Maiti barabarana Kama Tulivyoaminishwa.
Hivi kuna mahali katika kuongea kwake alisema habari za lockdown? Nauliza tu pengine nilipitwa na hiyo hotuba
 
Hii ndio shida ya jf kutumia fake id, huenda uliyeniandikia ni mume wa dada yako ninayekulisha, naihudumia familia yenu, unagombania remote ya tv seating room kwangu na beki 3, na bando nimekununulia
Hamna namna mkuu. Ni kugombania remote tu ndo kitu kilichobaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua kuwa mungu wenu magufuli amekufa Kwa corona??
Hakika huyo anayemshauri Mh. Rais Samia Suluhu kwamba Tanzania kuna corona anampotosha!

Kwa nchi ilipofikia huko tumevuka na tumepita, mabeberu walituaminisha tutakufa na kuokota maiti barabarani lakini hii haikutokea
Wameenda mbali zaidi kututisha kwa second version ya corona ni tishio lakini Waswahili tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.


Tanzania hii haina corona, rais tuwache tuendelee na maisha tuliyozoea kwani naziona dalili za kuzuia mikusanyiko na lockdown
 
Back
Top Bottom