#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

#COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

Mbona hatusikii hata mtaani achilia mbali huko kutangazwa!! Yaani corona unaweza kuficha kishindo chale kweli mpaka iyo kamati ndo ije itupige sound?
msimamo wa serikali ni kutokutangaza kifo chochote kinachohusiana na covid.
hatusikii mtaani? nani atatangaza sasa?

ofisin tumepoteza watu watano ndani ya muda mfupi. wawili wakiwa wakuu wa idara.
na ni confirmed case.

jist because husikii mtaani kwako. haimaanish kwingine hakutokei.
 
Toka mwendazake atutoke hatujasikia vifo vya corona wala vinavyotokana na changamoto ya kupumua, je kwa nini sasa mnataka kuunda kamati na kwa maslahi ya nani?
Hawataki kufuata maelekezo ya WHO kuhusu kupima kutoa data kujikinga na maambukizi ya covid-19 kama kuvaa barakoa social distancing na sanitizer. Kazi ya kamati itakuwa kuendeleza msimamo huo.
 
Hawataki kufuata maelekezo ya WHO kuhusu kupima kutoa data kujikinga na maambukizi ya covid-19 kama kuvaa barakoa social distancing na sanitizer. Kazi ya kamati itakuwa kuendeleza msimamo huo.
Mbona umesahau na chanjo mkuu?
 
msimamo wa serikali ni kutokutangaza kifo chochote kinachohusiana na covid.
hatusikii mtaani? nani atatangaza sasa?

ofisin tumepoteza watu watano ndani ya muda mfupi. wawili wakiwa wakuu wa idara.
na ni confirmed case.

jist because husikii mtaani kwako. haimaanish kwingine hakutokei.
Hao waliokufa ofisini walizikwa huko huko ofisini? Mtaani hawakuletwa?
 
Toka nizunguke Mwanza na Arusha kufanya research sija sikia wala kuona msiba wa corona..
 
Tatizo hata ukiambiwa mtu kafa kwa corona ila bado mazishi yake yanakuwa ya kawaida kama waliyokufa kwa magonjwa mengine ya kawaida.
sasa kama mtu kafa anashida gani. ? ili mradi usiuguse mwili wa marehem. simple as that.

sion jipya hapo
 
sasa kama mtu kafa anashida gani. ? ili mradi usiuguse mwili wa marehem. simple as that.

sion jipya hapo
Nimemjibu kwa nini haoni misiba ya corona kwa sababu mwanzoni mazishi ya mtu aliyekufa kwa corona ilikuwa inajulikana,hivyo ndio maana jamaa sasa hivi haoni hayo mazishi ya namna hiyo anaona mazishi yote sawa tu.
 
Toka mwendazake atutoke hatujasikia vifo vya corona wala vinavyotokana na changamoto ya kupumua, je kwa nini sasa mnataka kuunda kamati na kwa maslahi ya nani?
Facts about Covid-19:
Recovery cases/wanaopona za wagonjwa wa Covid-19 ni zaidi ya 90% ya cases zote.

Severe cases za wagonjwa wa Covid-19 zinazoweza sababisha vifo ni less than 10 %

Kwa takwimu hizo, kwenye nchi kama Kenya, ajali za barabarani na Cholora au Malaria vinaua watu wengi kwa mwaka kuliko Covid-19.

Hakuna chanjo inayoweza kutibu variants zote za Covid-19 na mpaka sasa ziko zaidi ya variants 10.

Hii ndio sababu mganga mkuu wa Serikali ya Uongereza amesema wataanza kuchukulia Covid-19 kama magonjwa mengine ya mafua, because it is here to stay with us for a very long time.
 
Usiombe ipite kwenye familia! Tuliozika ndo tunajua uchungu wake
Kuna familia haijawahi kufiwa bana wewe kifo cha aina yoyote? Kifo ni kifo tu havizidiani, na after all kufa huwa lazima. Acheni siasa
 
Facts about Covid-19:
Recovery cases/wanaopona za wagonjwa wa Covid-19 ni zaidi ya 90% ya cases zote.

Severe cases za wagonjwa wa Covid-19 zinazoweza sababisha vifo ni less than 10 %

Kwa takwimu hizo, kwenye nchi kama Kenya, ajali za barabarani na Cholora au Malaria vinaua watu wengi kwa mwaka kuliko Covid-19.

Hakuna chanjo inayoweza kutibu variants zote za Covid-19 na mpaka sasa ziko zaidi ya variants 10.

Hii ndio sababu mganga mkuu wa Serikali ya Uongereza amesema wataanza kuchukulia Covid-19 kama magonjwa mengine ya mafua, because it is here to stay with us for a very long time.
Good clarification [emoji122]
 
Facts about Covid-19:
Recovery cases/wanaopona za wagonjwa wa Covid-19 ni zaidi ya 90% ya cases zote.

Severe cases za wagonjwa wa Covid-19 zinazoweza sababisha vifo ni less than 10 %

Kwa takwimu hizo, kwenye nchi kama Kenya, ajali za barabarani na Cholora au Malaria vinaua watu wengi kwa mwaka kuliko Covid-19.

Hakuna chanjo inayoweza kutibu variants zote za Covid-19 na mpaka sasa ziko zaidi ya variants 10.

Hii ndio sababu mganga mkuu wa Serikali ya Uongereza amesema wataanza kuchukulia Covid-19 kama magonjwa mengine ya mafua, because it is here to stay with us for a very long time.

Nimependa hiyo gbro halafu Bantu yake. Tuendelee kumtegemea Mungu, wako waliopigwa na wimbi la corona mara mbili na Mungu wa Mbinguni akawa okoa.
 
Lengo ni kurudisha mahusiano mazuri na wazungu hivyo tutalazimika kufuata yale wanayotaka tufanye kuhusiana na corona hasa kuagiza chanjo za corona,kwahiyo hayo ndio masilahi na ndio ikabidi atolewe pale Kabudi.
Duh. Kumbe
 
Nimemjibu kwa nini haoni misiba ya corona kwa sababu mwanzoni mazishi ya mtu aliyekufa kwa corona ilikuwa inajulikana,hivyo ndio maana jamaa sasa hivi haoni hayo mazishi ya namna hiyo anaona mazishi yote sawa tu.
haha yah. nimekusoma
 
SSH anakurupuka ili kuwafurahisha wazungu, she’s so desperate kupata recognition ya wazungu badala ya watz wenzie.
Wewe timu chato najua mmepoteza sana ni wakati wenu kukaa benchi la upinzani. Mlitesa watu sana laana yenu imeanza.
 
Back
Top Bottom