chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Rais huyu anaakili sana, sayansi lazima iwe mbele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri hata hizo chanjo zikiletwa wewe hautalazimishwa kuchanja kwahiyo utulie tu na familia yako.
Ni kweli asichague upande haraka kwenye suala la korona awe na tahadhari nalo inaweza kuwani mapema sana kuanza kuonyesha kuwa yeye ni bora kuliko aliyetoka kwenye hili ama liyetoka hakutumia utaalam au aliutumia hali halisi Tanzania haiwezi himili lock-down kwa hali halisi ya vipato vya wananchi hata suala la chanjo bado lina mengiya kuangaliwa kabla ya kuruhusu yeye na washauri wake wasiwekeze kumnanga mwenda zake bali wawekeze kwenye kuonyesha njia wanayoilekea kwa mtazamo wake maana wanao onyesha unafiki kwa jpm leo ndo hao wataonyesha kwake kesho ikienda vibayaHivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je anataka Watanzania wa amini halikuchukuliwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Wewe ni nani mpk upinge alichosema rais wetu, kaa kimya wakt wenu ulishapita.Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
Its your choice and i think its good wampe kila mtu uhuru wa kuamuaMtapata chanjo🤣🤣🤣...
Hapo wamenikosa aseee sichanjwi mimi
Kweli kabisa Binadamu ni viumbe dhaifu sanaNimesikitika sana Kwa JPM kujitoa kwa Makusudi kwa Watu wasio na Shukrani na Wanafiki. Nimejifunza hapa Duniani ni kuamini katika imani ya Mungu tu na kujipenda na kusaidia wengine bila kujali nini nitalipwa. Binadamu ni Viumbe wa ajabu sana
Au awepo na mchungaji gwajima?Kwenye hiyo kamati awemo pia Dr Kigwangalla na Prof Mchembe!
Kama ikibainika kuna haja ya kupimwa MtapimwaTunapimwa CORONA.
Bafp haitufanyi sisi kuwa nje ya ulimwengu, itafika mahaki huwezi kusafiri nje ya nchi kwa sababu hujapata chanjo, labda tuhamie Mars au Jupiter tujue tunaishi maisha yetu wenyewe na viumbe visivyo haiKuwa makini sana na unachokitamani
Ivi unajua Tz ni kati ya nchi chache ambazo hazijaathirika sana na cv 19
Gwajima ni msanii bwashee!Au awepo na mchungaji gwajima?
Wewe ni nani mpk upinge alichosema rais wetu, kaa kimya wakt wenu ulishapita.
We kama hutaki endelea kupiga nyunguHivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je, anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.
We kama hutaki endelea kupiga nyungu
Hapo walikuwa hawajui kama afrika vijana ni wengi,sasa wanasema hatuokoti maiti barabarani kwa sababu afrika vijana ni wengi kuliko wazee hivyo hawaathiriki sana na coronaLockdown ya nini? Si walisema maiti zitaokotwa mtaani? Mbona hatuoni hivyo vitu?
Vipi nazile habari tunazosikia kuwa chanjo inafawanya damu zigande,kama taifa tunaweza kulihandle vipi hili??Bafp haitufanyi sisi kuwa nje ya ulimwengu, itafika mahaki huwezi kusafiri nje ya nchi kwa sababu hujapata chanjo, labda tuhamie Mars au Jupiter tujue tunaishi maisha yetu wenyewe na viumbe visivyo hai
Hahaha haaaa! Nakusikitikia,kwani hata ukiwa na mapenzi namna gani na JPM huwezi hata siku moja kuandika na kufikiri hivi. Najua leo ni siku ya 21 na ni ya mwisho kwa maombolezo kitaifa, lakini ukweli utabaki kuwa ukweli.Hivi Tanzania haikuwa na ushauri wa kitaalamu na JPM marehemu maamuzi ya corona na hatua alizochukua hakuzingatia ushauri wa wataalamu?
Fitina za aina hii kwa marehemu na utafutaji uungwaji mkono kwa njia hii hazitamsaidia mtu.
Je anataka Watanzania wa amini suala la corona halikuchukuliwa kwa uzito? Ama ndio njia ya mzunguko kwenda kukubaliana na chanjo za WHO na wajasiriakorona.